Waziwazi unaonyeshwa kuwa HUPENDWI,HUSIKILIZWI,UNAPIGWA,HUHITAJIKI,UNADHARAULIWA,UNASALITIWA,UNATUKANWA,UNAFUKUZWA,NA UNAKASHIFIWA,,,,, Umemaliza ndugu wote kwa kuwapa malalamiko ya matendo ya mwenza wako bado hajabadilika,,,,
mpaka imefikia hatua hata ndugu na marafiki hawapokei tena simu zako,,,,,kwa kujua wazi simu zako wewe ni za malalamiko tu,,,,,
lakini bado umeng’ang’ana kama ruba huku ukijiona mvumilivu,,,,,,,
huo sio UVUMILIVU huo ni UTUMWA#USIFORCEKUPENDWAUKIACHWAACHIKA.