FAHAMU SMS AMBAYO ITAMFAMYA MWANAMKE AKUTAMANI

wezekana kumtumia mwanamke SMS ambayo inaweza kumsisimua na pia kupata atenshen kutoka kwake. Hii inaweza kufanya kazi vizuri iwapo umeingiwa na kibaridi cha kuongea na mwanamke moja kwa moja.  Kabla ujumbe ufupi kuvumbuliwa, wanaume walikuwa wakifuata mbinu nyingine kuonyesha kuwa wamevutiwa na wanawake waliowapenda. Walikuwa wakituma barua, kuambia rafiki wa rafiki zao ama kuwafuata na …

Meseji za Mapenzi za kumtoa nyoka pangoni..enjoy

Heshima kwenu wakuu, Baada ya kuona Watu wanawaandikia wapenzi wao meseji za kawaida zisizo romantic, nmeona niwakusanyie meseji japo uwe unacopy na kumpastia umpendae.  Hii itasaidia kuamsha mapenzi na kumfanya mpenzi wako ajisikie poa Just mtumie meseji moja kati ya hizi uone majibu yake;. Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda?  Nikuite jina gani …

Design a site like this with WordPress.com
Get started