Kuwa na wapenzi wengi ni tatizo la kisaikolojia

Katika ulimwengu wa sasa kuwa na uhusiano wa mapenzi na zaidi ya mtu mmoja ni kitu cha kawaida sana. Hapa nikilenga jinsia zote kuanzia wale walio ndani ya ndoa na ambao bado. ILIVYOZOELEKA Awali wanaume ambao kiasili huongozwa na tamaa ya muda mfupi ya kufanya mapenzi ndiyo pekee waliokuwa wakihusishwa na wapenzi wengi suala ambalo …

Unayetembea na Mume, Mke wa Mtu Hii Inakuhusu Sana !

LICHA ya kuwepo na msemo wa mke au mume wa mtu ni sumu bado watu wengi wameendelea kutenda tendo hilo. Hawahofii madhara yake. Wanaona kama ni jambo la kawaida. Wanahalalisha jambo hilo utafikiri kufanya hivyo ndiyo jambo jema.Kutembea na mke au mume wa mtu ni tabia. Huanza taratibu na baadaye hukua. Kama vile ilivyo kwa …

Usiforce kupendwa ukiachwa achika

Waziwazi unaonyeshwa kuwa HUPENDWI,HUSIKILIZWI,UNAPIGWA,HUHITAJIKI,UNADHARAULIWA,UNASALITIWA,UNATUKANWA,UNAFUKUZWA,NA UNAKASHIFIWA,,,,, Umemaliza ndugu wote kwa kuwapa malalamiko ya matendo ya mwenza wako bado hajabadilika,,,, mpaka imefikia hatua hata ndugu na marafiki hawapokei tena simu zako,,,,,kwa kujua wazi simu zako wewe ni za malalamiko tu,,,,, lakini bado umeng’ang’ana kama ruba huku ukijiona mvumilivu,,,,,,, huo sio UVUMILIVU huo ni UTUMWA#USIFORCEKUPENDWAUKIACHWAACHIKA.

Hii ndio Thamani ya MWANAMKE

Mwanamke ni kama Jua unaweza usione umuhimu wake, yaani kila siku unaenda mjini jua lipo tu,unaliangalia lakini huangalii umuhimu wake kwako. Wakati mwingine likiwa kali unaanza kulalamika kuwa linachoma na lina kera. Lakini ukitafakari kidogo tu utajua kuwa bila jua maisha yasingekuwepo. Chakula tunachokula ni kwasababu ya Jua, mvua ikinyesha sana mafuriko yakitokea tunatamani jua,kwenye …

Jinsi yakujua Mwanamke ambae hajatulia

Mwanamke ambaye ni muhuni kwa hapa mtaani kwetu huwa anaitwa majina mengi sana, wengine humuita danga, kicheche, kiwembe na mengineyo mengi. Hata hivyo pamoja na kuwapo kwa majina hayo wengi wa wanaume bado hawajajua ni kwa namna gani wanaweza kumjua mwanamke ambaye hajatulia, makala haya ni jibu tosha.Hivi ndivyo utakavyoweza kumjua mwanamke ambaye hajatulia: Siyo …

Sirikubwa mpezi wako hatakiwi kuzijua

1. Idadi ya wapenzi wake wa zamani Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli. 2. Anakulinganisha na mpenzi wa zamani Mwanamke mara nyingi anakulinganisha na mpenzi wake wa …

Zijue Hatua Za Kumfanya Mwanamke Akutamani

Ungehisi vipi kama kila unapoamka asubuhi mwanamke unayemjua anakuwa wa kwanza kukutumia jumbe za kimahaba na kukuambia, “Jana sikulala, nilikuwa nakufikiria wewe”?Ama je, kila ukikutana na huyu mwanamke anakwambia, “bebi usiende, nataka muda mwingi na wewe. Nakumiss sana”? Ni raha iliyoje hii? Sasa fikiria ungekuwa na uwezo wa kufanyia hivi mwanamke yeyote yule unayekumbana naye! …

Ukiyaona haya Kwa mwenza wako tambua ana mtu nje

1.Nakupenda lakini Sina Hisia nawe(Kwa wale ambao bado hawajaoana)Hii ni dalili kwamba Mpenzi wako ana mtu mwingine nje na inawezekana kabisa kwamba yeye ndo anapendwa zaidi yako wewe hata kama muda mwingi upo nae! Anakutumia tu huyo ! 2Sisi ni Marafiki tu!Kwa ambao bado hawajaoana Ukimuuliza Mpenzio unanichukuliaje au mimi ni nani kwako anakuwa anasuasua …

Mambo 7 Ya Kumfanyia Mpenzi Wako Hii Valentine’s Day

Siku ya Valentine ndio hio imetufikia. Wengi wamekuwa wakiongea kuhusiana na hii siku. Siku hii kwa wale ambao wanaisherehekea wanadai ni siku ya wapendanao. Wengi huichukulia siku hii ni spesho kwa wawili wapendanao kujumuika pamoja. Well, kwa wale ambao wanaisherehekea siku hii, ni mambo gani ambayo unayafanya? Wengi watakuambia wanangojea jioni wakakutane na wapenzi wao …

Jiulize unataka mwanamkegani mwaishani mwako

Wadada wengi wanaolia kisa mahaba,,,wengi wao ni wale wanaopenda wakaka/wanaume wa show off yaani wanaolelewa na wazazi wao,,,Wewe unashoboka na mwanaume/mkaka anayelala kwa mama yake hata akikujaza mimba hana pa kukupeleka wala hawezi kukuhudumia,,,,,Na msipojielewa mtaishia kuwa mabango ya shabaha za mapenzi mpaka kiama,,,,Tulia weka malengo unataka aina gani ya mwanaume maishani mwako na akija …

Design a site like this with WordPress.com
Get started