UHUSIANO wa kimapenzi ni jambo gumu sana. Ugumu wake unatokana na ukweli kwamba, mwanaume aliyezaliwa na kulelewa katika mazingira tofauti, anakutana na mwanamke ambaye naye amezaliwa na kukulia katika mazingira mengine. Wawili hawa wanaanza ukurasa mpya wa maisha, kila mmoja akiwa na historia tofauti kabisa ya huko alikotoka, unategemea itakuwa rahisi kwa wawili hawa kuishi …
Category Archives: mahusiano
JE WAJUA UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO HAWEZI KUKUSAHAU KAMWE
Habari yako ndugu msomaji? Natumaini u mzima na mwenye afya njema. 1. KILA siku usisahau kumsifia kwa kumwambia ni kiasi gani alivyo mzuri. Kumbuka kila msichana anapenda kusifiwa hivyo unapomuambia yeye ni mzuri anaona una mthamini kuliko msichana yeyote awaye. 2. Wakati wowote ukipata nafasi muandikie barua au msg kwenye simu mueleze hisia zako kiasi …
Continue reading “JE WAJUA UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO HAWEZI KUKUSAHAU KAMWE”
MAMBO AMBAYO MWANAMKE HAWEZI KUYAWEKA WAZI KATIKA MAHUSIANO
Unapoanzisha mahusaino na mwanamke yeyote yule fahamu fika yapo baadhi yavitu hawezikukwambia na baadhi ya mambo hayo ni;1. Idadi ya wapenzi wake wa zamaniWanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi …
Continue reading “MAMBO AMBAYO MWANAMKE HAWEZI KUYAWEKA WAZI KATIKA MAHUSIANO”
Wanaume kabla ya kuoa huangalia mwanamke mwenye sifa hizi
Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao wanadhani kwamba wanaweza kuwa pamoja kwa kipindi chote cha maisha. Wanawake wengi wanajisahau na kudhani kwamba kitu kinachoweza kuwafanya wakapata wachumba ni uzuri hivyo kupoteza muda …
Continue reading “Wanaume kabla ya kuoa huangalia mwanamke mwenye sifa hizi”
Aina 10 ya wanawake wanaopendwa na wanaume
WENYE MSIMAMOWanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio. WAPENDA USAWAAina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari kubeba majukumu …
Continue reading “Aina 10 ya wanawake wanaopendwa na wanaume”
Hizi ndio Sehemu 10 Zenye Msisimko Mkali zaidi Kwenye Mwili wa Mwanamke
Kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya kumsisimua mwanamke kwani kila mwanamke ana eneo lake ambalo likiguswa anakua taabani hivyo ni wajibu wa mwanaume kulitafuta na kuligundua eneo hilo. Mazoea ya kufanya mambo yaleyale kila siku kwa muda …
Continue reading “Hizi ndio Sehemu 10 Zenye Msisimko Mkali zaidi Kwenye Mwili wa Mwanamke”
Mambo yatakayomfanya mpenzi wako asikuache kamwe.
Upendo ni kitu ambacho hakizuiliki. Napale patakaposhikilia ule upendo ipasavyo ndo husikii wala huoni utakaloambiwa juu ya akupendaye. Matendo mbalimbali yanayofanywa na wale wapenzi moja kwa moja huchochea upendo wa moyoni ambao hudumu milele, ndio hapo utasikia keshapewa madawa, mara mke wake kamkalia kila atakachoomba lazima apewe na mengine mengi ambayo umekumbana nayo au kuyashuhudia …
Continue reading “Mambo yatakayomfanya mpenzi wako asikuache kamwe.”
Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Atabasamu Na Apende Kuwa Na Wewe Wakati Wote.
Kama tunataka kutongoza mwanamke, kuwafurahisha ama wajiskie huru mbele zetu huwa tunatumia mbinu ya kuwafanya watabasamu. Kutabasamu ni njia moja wapo ya kuondoa misongo ya mawazo, uchovu, na hata kuondoa uzee. Ndio maana wazungu walikuja na ule msemo wa laughter is the best medicine. Kabla hatujaingia katika swala la jinsi ya kumfanya mwanamke atabasamu, lazima …
Continue reading “Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Atabasamu Na Apende Kuwa Na Wewe Wakati Wote.”
Hii Hapa Siri Kwa Wanawake Wasaka Ndoa..Chunga Sana la Sivyo Utaishia Kumegwa na Kuachwa
Hizi ndo marks (majibu) ya kupata ndoa mapema……….Hii inawahusu hadi wale walio kwenye uchumba chronic/sugu Hamna haja ya kunywa mchina uongeze makalio,wala kuenda kwa sangoma upate ndoa ndani ya siku 3 ,ukiona miaka mvua za masika zinakukatikia hujaitwa Mrs somebody habari Haya hapa Mambo ambayo mwanaume anafanya kukutest kama wewe msichana unafaa kuwa mke wake: …
Siri Muhimu Unazotakiwa Kuzijua Kuhusu Wanawake
Wanawake wana siri nyingi sana mioyoni mwao na kwa kawaida huwa hawawezi kuonesha hisia zao za ndani moja kwa moja. Ni watu ambao mara nyingi hupenda kuwasilisha vilivyomo ndani yao kwa ishara. Kwa mtindo wa maisha ya wanaume wengi wa sasa ni vigumu kusoma ishara hizo na kujua mahitaji ya mwanamke husika. Bahati mbaya ni …
Continue reading “Siri Muhimu Unazotakiwa Kuzijua Kuhusu Wanawake”