HUYU NI SHEMEJI YANGU KABISA, MKE WA KAKA YANGU LAKINI UTANI WAKE UMEPITILIZA

Kuna ule utani wa mashemeji lakini utani wa shemeji yangu huyu umezidi ndugu zangu. Siku moja nilikuwa natoka zangu kwenye mizunguko yango ya kila siku mjini, nilipofika nyumbani nilimkuta shemeji yangu nyumbani, kaka alikuwa bado hajarudi. kama kawaida yake akaanza.“Haya mume wangu kipenzi leo umeniletea nini”  Nikamwambia leo sina kitu wife kesho nitakuletea bonge la …

8 Relationship Checks All Couples Should Have for a Healthy Love Life

Have you ever talked to your guy, or even just stood in his presence, and had this nagging feeling that something was a little bit off? Call it a sixth sense or an unspoken undercurrent, but sometimes you just know when the train is beginning to run off the tracks. “There aren’t usually flashing red warning …

TABIA ZINAZOFANYA WADADA MSIOLEWE MAPEMA

1. CHOKOCHOKOWanaume wengi huwa hawapendi chokochoko. Hawapendi mwanamke ambaye yeye kila wakati ni kuanzisha chokochoko ambazo zinazalisha ugomvi. Wanaume wengi hawapendi mabishano. Hawapendi ugomvi hivyo mwanamke anapokuwa hodari wa kuleta chokochoko, huepukwa.Ni vyema basi mwanamke akachunga kauli. Akawa si mtu wa kuchimbachimba vitu ambavyo havina kichwa wala miguu. Asiwe na kisirani. Kinywa chake kitawaliwe na …

Have an Amazing Orgasm: Eat Right for a Bigger O!

A bigger O could be a few bites away. Incorporate these healthy foods into your diet for a crazy-good climax There’s a reason why romantic dates often involve wining and dining, says dietician Torey Jones Armul: “Eating causes the release of oxytocin, which is associated with feelings of pleasure. The act of eating, like a …

SABABU 4 ZA KUOA/KUOLEWA NA KUISHI MAISHA YA FURAHA BAADA YA NDOA

Kama upo katika uhusiano wa muda mrefu kwa sasa na unajiuliza kwamba kweli unaweza kuuvaa huu wajibu mpya wa kuishi na mtu maisha yako yote kwa kitu kinachoitwa ndoa, zifuatazo ni sababu 4 za kuingia katika ndoa ambazo unapaswa uzizingatie. Kama utazitafakari kwa makini hizi sababu, utaelewa upande mzuri wa ndoa na utajua kama upo …

The benefits of sleeping next to the one you love

1. You get to share warmth. 2. The most intimate and personal conversations happen in bed, head on pillow. You two will get to know each other deepest there. 3. People are most real in bed. No make up, no trying to look polished for the world. In bed, everything is raw and vulnerable, you …

MANENO MATAMU YA KUMWAMBIA MWANAUME NA KUUTEKA MOYO WAKE

Kunong’onezana maneno yalio na mvuto au kuandikiana barua  kutuma kwa umpendae, yamepitwa na wakati kwa kizazi hiki, mwanzo vitu hivyo vilikuwa vinaleta mapenzi na hisia za ndani kwa kila mtu. Siku za leo, tuna njia nyingine , bila shaka  unaweza kuwa bado unatuma  barua na kunong’ona kwa mwanaume  kwa maneno matamu  kwenye sikio lake. Hata …

Benefits of taking a Shower/Bath with your spouse

. Some of the most intimate conversations happen in the shower or bath tub. 2. It makes you two relax. The more relaxing things you do, the more comfortable you two will be with each other, the deeper your love. 3. You two can get to make love, thereby spicing up your sex life. 4. …

JIZUIE KUFIKA KILELENI MAPEMA KWA NJIA HIZI RAHISI

Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea kusoma. Kufanya mazoezi:Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa …

Possible reasons you keep falling for the wrong men

Dear lady, you see yourself as a good woman but you wonder why you keep attracting the wrong men. Below could be possible reasons why 1. “You go to the wrong places” Good men will be found in specific places. You are your environment, are you looking for a husband material man in places that …

Design a site like this with WordPress.com
Get started