Jinsi ya kumchangamsha na kumfurahisha mwanamke

Kila mwanaume anapenda kujua jinsi ya kumchangamsha mwanamke ili ampende. Lakini wengi hushindwa njiani pale wanapojaribu kufanya hivyo kwa sababu hawajui vitu vitano vya kumchangamsha mwanamke. Yafahamu hayo mambo matano, na namna kuyatumia. Nadhani utakuwa ushashuhudia baadhi ya wanaume wakichati na wanawake(zao),wakati mwingi unakuta mwanamke anacheka na kumsifia kuwa anamfurahisha(“hahahaha!…. unanifurahisha”). Kuambiwa na msichana kuwa …

Jinsi Ya Kumsisimua Mwanamke Kabla Ya Kulala Naye

Wakati umemualika mwanamke sehemu unayoishi ama wakati umetoka deti katika, unapaswa kujua ya kuwa kumsisimua mwanamke huanza kabla ya nyinyi wawili kulala pamoja. Unapaswa kumsisimua kuanzia nafasi ya kwanza ambayo utaipata kutoka kwake. Kufanya hivyo kutamfanya akutake hata zaidi na kumfanya ajiandae na mapema kabla hata kulala naye. Lakini ni mbinu gani inayoweza kutumika kumsisimua …

JE ni Mzuri kitandani?

Tunapooana kama wanandoa tunakubaliana kwamba tutakuwa tunafanya tendo la ndoa sisi wawili tu maisha yetu yote  haijalishi tunafanya kwa kufikiria, au kwa kutofikiria, au tunafanya bora liende au kwa ufanisi, tunfanya kwa kupenda au kulazimishwa, tunafanya kwa ubunifu au kwa uchoyo au kwa kubania au kwa hiari au vyovyote vile kitabu kimefungwa na lazima kila …

FAHAMU SMS AMBAYO ITAMFAMYA MWANAMKE AKUTAMANI

wezekana kumtumia mwanamke SMS ambayo inaweza kumsisimua na pia kupata atenshen kutoka kwake. Hii inaweza kufanya kazi vizuri iwapo umeingiwa na kibaridi cha kuongea na mwanamke moja kwa moja.  Kabla ujumbe ufupi kuvumbuliwa, wanaume walikuwa wakifuata mbinu nyingine kuonyesha kuwa wamevutiwa na wanawake waliowapenda. Walikuwa wakituma barua, kuambia rafiki wa rafiki zao ama kuwafuata na …

FAHAMU SIFA HIZI ZA MWANAMKE ASIYEFAA KUOLEWA KABISA

SUALA la kuoa lipo tu licha ya kwamba wapo wanaochelewa kuingia kwenye maisha hayo wakihisi inaweza kusitisha furaha ya maisha yao. Nasema hivyo kwa kuwa najua wapo wanaoamini kuoa ama kuolewa ni kujiingiza kwenye matatizo. Dhana hiyo haina mashiko kiviile, asikuambie mtu unapoingia kwenye ndoa na mtu anayekupenda na wewe unampenda kwa dhati, karaha hakuna …

JIFUNZE KUFANYA MAPENZI KWA KUTUMIA SIMU

Hii ni kwa wanaume ambao wanapenda kuwafurahisha wapenzi wao wawapo faragha. Ukifanya hivi nakwambia mwanamke hatakuacha hata umfukuze hataondoka kwako. Mwanamke akijibinua binua namna hii inamaanisha kuwa anahamu aingiziwe mpaka kizazi kiguswe….sasa mwanaume akiwa legelege atashindwa kumtimizia haja yake. Mambo 5 ya kuzingatia ili umsasambue kikamilifu mwanamke anaye jiwekaweka hivi mpaka akuogope: 1: achana na …

KWANINI WADADA WENGI WAREMBO NA WANAOJIONA WAREMBO HUCHELEWA KUOLEWA,HUKOSEA KUOLEWA AU KUTOOLEWA KABISA?SOMA HAPA

1. Wengi wa namna hii wanajiabudu. Yaani akili zao na ufahamu wao unaishia juu ya miili yao na maumbile yao kwa kiwang ambacho akijiona au kujiangalia kwenye kioo anaona yeye hawezi kukosa mtu wa kuwa nae. Haya ni majivuno yanaozaa SELF WORSHIP, ni kiburi. Kutokana na hili, wadada wa namna hii wamekuwa wakiiingia na kutoka …

ZIJUE FAIDA NA HASARA ZA MAJIBIZANO KATIKA MAPENZI

Sidhani kama kuna ambaye hajawahi kujikuta kwenye majibizano na mpenzi wake. Hata wakati mnaingia katika mlipuko wa majibizano hata mnashindwa kujua sababu ya kujibizana kwenu.Vitu kama vile mmoja kuchelewa kurudi nyumbani, kushindwa kuwasiliana sawa na mwingine alivyotarajia, kushindwa kutoa msaada pale ulipohitajika, hisia za kuwapo kwa mahusiano pembeni, tabia zisizoeleweka baina ya mmoja na simu …

KUNA LUGHA TANO ZA MAPENZI, UNAIJUA YA MPENZI WAKO

Kwanini uliachana na ‘ingiza jina’?”…“Ah tulikuwa hatuendani tu”Ushawahi kujikuta kwenye scenario hiyo?Unaweza kumfanyia mpenzi wako kila jambo uonalo ni jema kwake na bado akakuacha au akatoka nje ya penzi lenu(cheating). Unabaki kusema “Nilikuwa nampa pesa, zawadi, na kumhakikishia nampenda na nataka tuje kuwa pamoja maishani lakini aliniacha.Haya matatizo yote yanaweza kumalizwa au kupunguzwa kwa kiasi …

MAMBO YA KUFANYA ILI KURUDIANA NA MPENZI MLIYEACHANA

Watu wengi wanaachana na wapenzi wao kwa sababu mbali mbali lakini unafanya Nini pale unapoachana naye halafu ukaja kugundua kuwa bado unampenda? Jibu ni rahisi ni kumrudisha tu kwa njia yoyote.Watu hawajui kumrudisha mpenzi mlioachana ni jambo rahisi sana kwa njia chache tu nitakazokufundisha leo basi unaweza ukamrudisha mpenzi aliyekuacha au uliyeachana naye.Siku ya leo …

Design a site like this with WordPress.com
Get started