Hii ndiyo Namna ya kutongoza msichana yeyote na akakubali fasta!

Muda au Pesa Nyingi!”   Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu.  Kuna sanaa zingine za ushawishi kama vile ushawishi wa kibiashara ambapo lengo ni kuuza bidhaa. Na kuna ushawishi wa kisiasa ambapo lengo ni kupata kura.   Wakati sanaa karibia zingine zote za ushawishi ni rahisi kujifunza, sanaa ya kutongoza watu wengi wanasema …

ZIJUE SEHEMU KUU 2 ZA KUMSISIMUA MWANAUME MKIWA FARAGHA

Zifuatazo ni sehemu kuu mbili (2) zenye msisimko katika mwili wa mwanaume: 1. SEHEMU YA KWANZA:Kwenye KIFUA Kifua ni moja ya sehemu alieumbiwa kila mwanadamu jinsia zote na sehemu hii ya kifua inamfumo wa kuamsha hisia katika mapenzi kwa sehemu tofauti kwa wanawake huleta msisimko katika maziwa na kwa upande wa mwanaume ni eneo zima …

SMS ZA KUELEZEA UNAVYOMPENDA

*********Ask my eyes to stop looking at you… Ask my brain to stop thinking about you.. Ask my imagination to stop dreaming about you.. Ask my heart to stop beating. Ask me everything. But don’t u ever stop me from loving you.******** 🔥♥♥♥ Ugali, pilau, ndizi na nyama si vitamu unajua kwanini? Ukiula haupigi kelele, …

SMS ZA MAHABA

Raha kwako naipata, hakika nimeridhika,Kwako hakuna matata, moyo wangu umefika,Usiku ninakuota, kwako naliwazika,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 🔥♥♥♥ Upendo uso kipimo, wewe nimekupatia,Moyo unalo tuwamo, raha naipata pia,Kwenye moyo wangu umo, raha yangu ya dunia,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 🔥♥♥♥ Wenye kusema waseme, waseme hadi wachoke,Roho zao ziwaume, ziwaume wakereke,Mioyoni ziwachome, wachomeke wakauke,Siogopi kukupenda, hata …

Njia Rahisi Ya Kuchukua Namba Kutoka Kwa Mwanamke Unayemjua

Kuchukua namba kutoka kwa mwanamke ni rahisi zaidi kuliko hata kutamka jina lako. Unachohitajika ni kuenda moja kwa moja kwa mwanamke unayetaka kumuomba namba halafu unamwagiza akupatie. Mara nyingi mwanamke hawezi kukataa kukupatia namba yake unless uwe umemuapproach kwa njia isiyofaa ama hakujui. Mara ya mwisho mimi binafsi nilichukua namba kwa mwanamke chini ya dakika …

Mwanamke Zingatia Haya Wakati wa Kuomba Pesa Kwa Mwanaume Usije Kuonekana Kicheche.

Ukweli ni kwamba raha ya mapenzi ni pamoja na kupunguziana makali ya maisha. Na katika kupunguziana uko makali ya maisha ndio matumizi pesa yanapochomoza.Kusaidiana ni kwa pande zote iwe kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume au kinyume chake, Ingawa kwa kiasi kikubwa ni wanaume ndio wanawajibika zaidi kutunza wapenzi au wake zao. Nilichotaka kuwakumbusha wanawake zaidi …

PESA INAPOGEUKA KIUNGANISHI KWENYE MAPENZI, HESABU MAUMIVU

IJUMAA imewadia, karibu msomaji wangu kwenye uwanja huu na kama kawaida, mada ya leo ni kama inavyojieleza hapo juu. Uhusiano wa kimapenzi una changamoto nyingi, ukiachana na mambo ya usaliti na kuumizana mioyo, suala la pesa ni tatizo jingine linalowasumbua wengi.  Ukizungumza na wanaume wengi, watakueleza wazi kwamba wapo kwenye uhusiano na wanawake ambao wanajua kabisa kwamba …

Kama Unataka Kudumu Katika Mahusiano Epuka Kumwambia Maneno Haya Mpenzi Wako

Endapo umekwisha ingia katika mahusiano au unatarajia kuingia katika mahusiano ya kimapenzi, yapo mambo yanyofaa ambayo junaweza kumwambia mpenzi wako naye akafurahi, lakini yapo mambo ambayo kimsingi hupaswi kabisa kumwambia mpenzi wako. Kwani endapo utaamua kumwambia utatengeneza njia ambayo itawafanya mahusiono yenu yafe mara moja. Maneno yafuatayo ni hatari kwa kuwa yanaleta madhara makubwa moyoni …

JINSI YA KUMPAGAWISHA MPENZI WAKO

ili uweze kuwa na furaha maishani, lazima uwe katika uhusiano imara usiotetereka. Kama unaishi na mke au mume ambaye moyo wako umemchagua lazima furaha itatawala katika nyumba yenu. Lakini rafiki zangu, huwezi kuwa katika ndoa yenye furaha kama hukuwa na mchumba bora. Kwa maneno mengine, lazima uanze kuboresha uchumba wako kwanza, uwe na uhakika kwamba …

Huyu Mwanaume Anakupenda Kweli Mshikilie

Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50.  Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda. MIPANGO Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango …

Design a site like this with WordPress.com
Get started