ZIJUE FAIDA 17 KIAFYA ZA KUFANYA MAPENZI SALAMA

Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule. Lakini, kuna faida zozote za kiafya za kufanya tendo hili? Ndiyo! Zipo …

KWANINI WANAWAKE HUKIMBILIA BAFUNI/CHOONI KABLA YA KUNGONOKA?

Kumekuwa na kasumba kubwa sana kwa wanawake wa ki bongo kukimbilia kunawa chini kabla tu hamujaanza kugegenana.Wengi wao husema kuwa mara wametembea sana hivo jasho mara ooh siko konfotabo n.k ila ukweli ni kwamba jamani K ni chafu muda mbaya. Wanawake wanajua. Hata uwe sasa ivi na baada ya dk 5 inagenerate harufu. Harufu huja …

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUINGIA KWENYE UCHUMBA-3

HUU ni uwanja wa boyfriend and girlfriend ambao hutoa mwanga kwa wasichana na wavulana walio kwenye uhusiano na ambao wanatarajia kuingia kwenye uhusiano ili waweze kupata mwongozo sahihi. Naamini mnanufaika na mafundisho yanayopatikana hapa. Somo ambalo tunamalizia leo ni kuhusu mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kuamua kumpa mtu moyo wako na kuingia kwenye …

KULA MKE WA MTU KWA STYLE HII NI MBAYA SANA

Wapo wanawake ambao wao wanajua kila siku ni Ijumaa, yaani hawatambui kwamba kuna Jumamosi na Jumapili pia. Watu hawa ni wale wanaodhani maisha ni raha tupu na kwamba wanaoishi kwenye shida ni wajinga.Ukweli hauko hivyo, maisha yana changamoto nyingi sana. Kuna siku mambo yanaweza kuwa si mazuri lakini siku nyingine mambo yakawa supa. Mwanamke wa …

JIZUIE KUFIKA KILELENI MAPEMA KWA NJIA HIZI RAHISI

Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea kusoma.Kufanya mazoezi:Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. …

Unajua Kwanini, Umemtongoza na Anasema Anakuchukulia Kama Rafiki?

“Hataki muwe zaidi ya hapo, anakuchukulia kama rafiki!” Stori inakwenda hivi; baada ya kumwangalia kwa muda mrefu, huyumwanamke anambae anakuuwa pole pole kwa mvuto wake, ambae anakila kitu ambacho wewe macho yako kwako unaona ndo kile kinachoitwa na kutengeneza uzuri usiopimika, ubongo wako unaamini ya kuwa mnaendana kwa kila kitu ila kinachokuchanganya ni wewe kutokua …

Tatizo sio Size Ndogo ya Dudu lako Tatizo ni Kukosa Ubunifu

Kwa wanaojua Mchezo wa Soccer; Kitu cha Msingi si Size ya Kiatu, Bali ni Skills za Mchezaji Mwenyewe ndiyo Zinawezesha Mchezo uwe mtamu na Kisha Magoli ya Kutosha. Maswali ambayo huwasumbua sana Wanandoa wengi na yamefika mezani kwa madaktari wa mambo ya afya na mahusiano ni kuhusu wanawake kutofika kileleni  na wanaume kumaliza haraka tendo …

JE WAJUA !?:KUTOVAA CHUPI KUNA FAIDA NYINGI IKIWEMO HII AMBAYO NI MUHIMU

Leo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi. Uvaaji wa chupi kihistoria ulianza karne ya 19 baada ya uvumbuzi wa viwanda na mapinduzi yake yaliyoambatana na mapinduzi ya teknolojia.  Enzi za mama zetu na babu zetu uvaaji wa …

HIZI NI DALILI KWAMBA MWANAMKE WAKO ANATOKA NJE YA MAHUSIANO , KUWA MAKINI

Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko ilivyo kwamwanaume. Hii inatokana na ukweli kwamba, hisia zinakuwa na nafasi kubwa sana kwa mwanamke, kwani mwanamke huishi kwa hisia zaidi kuliko mwanaume. Bado nasisitiza kwamba, haipaswi na siyo sahihi mtu kuchukulia dalili hizi kama …

Design a site like this with WordPress.com
Get started