JIFUNZE JINSI YA KUCHEZEA CHUCHU ZA MWANAMKE


Kuna baadhi ya wanaume tena wengi hawajui kunyonya au kuchezea matiti ya wanawake. Badala ya kuwapa utamu wao wanakuwa wanawaumiza wanawake bila kujua.

Kila kitu kinataka ujanja na utaalamu ili ukifanye kwa ufasaha sana basi leo
tunafundishana jinsi ya kunyonya matiti au maziwa kama wengi wenu mnavyoita na
kama una maujanja mengne waweza kutupia hapa maana lengo ni kufundishana
wote maujanja ya kimapenz humu kwenye Utamu wa chumbani.

Ili mwanamke asikie raha sana lazima ujue kuyachezea
maziwa yake kwa ustadi wa hali ya juu,huku mwanzo ukiyapapasa kwa mbali sasa cha
kufanya hapa ni kitu kidogo sana na wala hutakiwi kutumia nguvu katika sekta hii.

Mweke mkao wa kula mpenz wako ambapo unajua utakuwa rahis kucheza na maziwa
yake, anza kwa kuyashika shika maziwa ya mpenz wako taratbu huku unayapapasa kwa mbali na kuyabinya binya kama vile
unabinya embe dodo kujua kama limeiva na wakat unafanya hivyo usisite kuyasifia matiti ya mpenz wak kwa jinsi unavoyapenda.

Endelea kuchezea titi la upande mmoja kwa kulipekecha chuchu yake kwa kutumia ncha za vidole vyako huku moja jingne anza kwa
kulinyonya ziwa huku ukicheza na ncha ya ulimi juu ya chuchu taratibu na kuzungusha ulimi wako juu ya chuchu ya mpenz wako.

Wakati Huo mkono mmoja unachezea ziwa lingne,
ingiza mdomo wote huku ukiwa
unamung’unya ziwa la mpenz wako kisha toa mdomo wako na ufunge na kisha weka
lips zako juu ya chuchu ya mpenz wako anza kusugua lips zako juu ya chuchu huku ukizungusha lips zako juu ya chuchu uku ukiibana chuchu na kuiachia.

Waakati ule mkono moja utakuwa unachezea ziwa moja na baada ya hapo waweza kuhamia ziwa lingne huku ukifanya kama hapo awali nilvyokueleza na
ule mkono ambao ulikuwa unachezea ziwa sasa uhamishie kwenye ziwa ambalo lilkuwa linanyonywa na kisha endelea kufanya hivyo ila epuka sana kutumia meno maana meno yatamkera mpenz wako.

Lakini ukijulia kuyatumia meno ni tamu sana kumpekechea mwanamke chuchu zake kwa kweli utamu atakaoupata ni lazima ahisi kuruka au kupaa.

Kama mwanaume ni mwepesi sana wakati unanyonya ziwa moja waweza panda juu ya shingo ya mpenz wako na kuanza
kuilamba huku ukiimung’unya kwa kutumia lips zako na meno kwa mbali ili kumuongezea raha mpenz wako.

Kisha waweza panda juu ya masikio yake na
kuingiza ncha ya ulimi na kuuzungusha taratibu huku ukiyapuliza mackio ya mpenz
wako kwa sauti fulani ya
mihemo ya kimapenz ili kumpa raha zaid beb wako kutokana na kijoto cha raha anachokipata.

Wanawake wengi hupata raha na hupendelea sana kushikwa ,kupapaswa na miminywaminywa matiti yao huku ukiwabembeleza kama mtoto.

Pia katika suala la kuyapapasa vizuri unaweza kuwa mashine yako ipo ndani,unaisukuma nje-ndani taratiiiibu…

Hapo sasa anaweza kuwa Kainama nawe unaingiza mikono yako kwa chini kisha unampa huduma,au Unaweka kuwa umempakata,amekalia mashine ananesa taratibu kwa sapoti ya mikono ya tena ukiweza mnakuwa mnafaidi supu ya ulimi kwa kunyonyana ndimi na lips,pia mnaweza kuwa wote mmesimama,wewe upo nyuma yake.Umemkumbatia vizuri huku mashine yako ulliisokomeza kwa upande wa nyuma (sio tundu la uani tafadhali) .

Kisha mikono yako inacheza na maziwa yake na yeye anakuwa kama anataka kugeuka kutizama nyuma kisha mnakutanisha ndimi zenu mnakula vilivyomo huku wewe unazungusha Kiuno taratiiibu kuchokonoa Kunako utamu wa Raha yaani unatafuta kipele chake kilipo ili umkune utamu….

FAHAMU | Jinsi ya kumfikisha mwanamke mwenye Msambwanda

Imezuka tabia ya wanaume wengi kupenda sana wanawake wenye msambwanda siku hadi siku tabia hii inazidi kuwa sugu kwani kwa sasa mwanamke mwenye msambwanda yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye ya wastani.

Licha ya kuwa watu wengi huzimika na wanawake wenye msambwanda lakini ukweli upo tofauti kabisa kwani wanawake hawa wamekuwa na kero kadhaa ambazo ni sugu sana,zifuatazo ni kero zao kuu tatu.

*Mwanaume huwa hapati mwanya au nafasi nzuri ya kumwingizia mashine na ukafika kunako kwani maranyingi ukubwa wa msambwanda huzuia mashine kusakua utamu kisawasawa hivyo badala ya kupata burudani unakesha ukihangaika kupekenyua tu msambwanda na kujikuta umemwaga hata bila ya kula mzigo inavyotakiwa.

*Wanawake wenye mzigo mkubwa wa makalio huwa wazito na hivyo inakuwa ngumu sana kuwakunja ipasavyo au kumlalia mwanamke kwa juu hivyo mara nyingi wamekuwa wakiwekwa mkao wa kifo cha mende tu wakati zipo staili nyingi na tamu kuliko maelezo ambazo wanawake wengi wenye mafurushi ya makalio hawawezi kukaa.

*Wanawake wenye Msambwanda kwa asilimia kubwa wamekuwa wavivu katika uzungushaji wa kiuno na mautundu mengine ya kitandani ambayo yanahitaji mdada mwepesi ili aweze kumrusharusha mwanaume huku na kulejambo linalompagawisha sana mwanaume.

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAMKE CHUMBANI

Hapa ni mambo 10 muhimu, ambayo mwanaume ukiyafanya kwa mwanamke wako, hakika utakuwa umejijengea ulinzi wa yeye mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje.

#1 – Mfanye apate raha kabla hujaanza kumuingilia (kungonoka)

Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo.
Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi.
Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye utupu, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo.

Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke akojoe kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la kutiana zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake.
Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa mashine yako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kufika kileleni haraka sana.
Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu…Mruhusu!!!

#2 – Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua

Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, ki**mi, kiharage, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu.
Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo.
Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atakojoa namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke.

Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kufika kileleni kabla ya tendo.
Tumezoea G-Sport kwa mfano, lakini ni wangapi tunajua kuhusu U-Spot katika utupu wa mwanamke?
Wangapi tunajua kuhusu A-Spot? ….. ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kufanya naye, na hakika utakuwa shujaa wake.

Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke!

#3 – Usiwe kama kuku

Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke afike kileleni kabla ya kulala nae, unamjengea mazingira ya kufika kileleni haraka pindi unapolala nae, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika.

Mwanaume kudumu kwenye tendo kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwa yu shujaa.
Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao?

Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hujamiiana kwa minajili ya kufika kileleni, ilhali wanawake hujamiiana kwa minajili ya kustarehe.
So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja…lakini pia usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke utupu hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa.
Nusu saa hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa.

#4 – Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji

Ndio, wapo wanaume wengi tu wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya vi**mi, kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo.
Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya tendo, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia.

Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia hamu hadi ikiwezekana aanze kuulilia muhogo.
Jidai kama unataka kumnyonya ki**mi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa papuchi yake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani…sio lazima kila siku iwe kwenye utamu wake kati……
Haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee.
Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji….cheki namba 5 hapa chini

Tumichezo kama hutu twa Manaiki Sanga tunasaidia…

#5 – Kutiana kwa ulimi/mdomo

Inashangaza sana kwa kweli…wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao.
Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwapagawisha.

Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa.
Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania?
Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya aseme “Oh…am going crazy”

#6 – Msisimue kwa kauli zako

Wanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati walipeana nao raha ..
lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao?
Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kufika mshindo, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha?

Nong’ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu….hata zile oooh….sss….mmmm zako, zifanye sikioni kwake…..
wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kupeana raha, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake.

Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa.
Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee akisema “hapo hapo…hapo hapo jamani raaaha”….
Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani.
Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza….

#7 – Jenga mahusiano ya macho yenu

Hivi, ishakutokea ukafika mshindo ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kufika mshindo?
Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anafika mshindo?
Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno.
Mawasiliano ya macho wakati wa kujamiiana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaume ambaye wakati wanajamiiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza “mbona ulifumba macho wakati unafika mshindo”, na hapa atakuwa akimaanisha kuwa kuna ulichomnyima.

Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnanapeana raha, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia.
Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea hakika atakuwa akikufurahia zaidi.

#8 – Mzingatie baada ya kumaliza kupeana raha

Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza starehe chumbani..
Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule.
Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la chumbani.

So, unaweza kuwa umemnogesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia “asante”, huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya.
Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji.

#9 – Mpe fursa ya kuliongoza jahazi kwa niaba yako

Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye sita kwa sita, hupenda wao ndio waongoze kila move.
Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka.
Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo.

Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mhogo wangu unavyotaka, laa…atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu.
Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu.
Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji.

Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyonya muhogo ya wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo….au anamuacha ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa …. si umuache?
Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa? Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umfanye, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu.

Hata kama akitaka “akufanye” mruhusu tu…!!!

#10 – Ondoa mazoea

Wanaume ni watu wa ajabu sana.
Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kupeana raha..
Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea…kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo.

Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game.
Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea.
Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza

Namna ya kufanya “uke” kuwa mnato wakati wa tendo na mwenza wako

Endiketa” ni Msamiati  lakini maana yake ni kubana,kuvuta na kuachia uume kwa kutumia misuli ya uke. Mtindo huu wa ufanyaji ngono humpa mwanaume raha ya ajabu ambayo mara nyingi itamfanya akushikilie kwa nguvu au abaki anaguna-guna tu (jaribu kumsemesha kisha sikilizia sauti yake hehehehe sauti itakuwa haitoki vema kwa utamu)….Endiketa ukiipatia ni mwisho wa matatizo.

Kubana huku au niseme ubanaji wa Uume kwa kutumia misuli ya uke kuko tofauti inategemeana na mtu mwenyewe vilevile “timing” yako kwani unapaswa kujua ni wakati gani unatakiwa kubana, kamua na “kubanua”.

Vilevile kuna baadhi ya wanawake (kwa uzoefu wangu mwenyewe) kama mumeo amekufanya vizuri siku hiyo na kukaribia au kufikia mwisho wa uke utahisi utamu wa hali ya juu uliochanganyikana na maumivu fulani hivi, sasa mpenzi akiendelea na shughuli utahisi kila akienda juu unamvuta ndani (yeye atahisi hivyo pia) hii hutokea bila kubana misuli ya uke kwa mtindo ambao kila mtu anaujua au nitakaouelezea hapa chini.

Kabla sijakwambia inakuwaje wakati unapofanya mapenzi na mikao yake ambayo itakurahisishia “kuendiketa” kwa nafasi napenda utambue  jinsi ya kuibana misuli hiyo ya uke ambayo inahitaji mazoezi ambayo yatakusaidia pia kurudisha maumbile yako kama ilivyokuwa awali baada ya kujifungua mtoto/watoto.

Nitaiweka hapa kwa kiswahili rahisi ili unielewe vema….sawa! Sote tunafahamu jinsi ya kukata/zuia mkojo usitoke, kule kuzuia ndio kubana misuli ya uke na ukiachia mkojo utoke ina maana misuli ya uke imeachia pia, sasa hivi unavyosoma fanya hivyo bila kuwa na mkojo (yaani hujabanwa mkojo) bana kisha hesabu mpaka kumi kisha achia rudia tena na tena. Fanya hivi kila siku, mahali popote ulipo, wakati wowote……kumbuka kuendelea na zoezi hili kila unapofanya mapenzi.

Jinsi unavyofanya zoezi hili mara nyingi ndivyo misuli yako inavyozoeana na ile hali ya kubana na kuachia inaongezeka na siku moja mumeo akikuuliza “mbona siku nyingine K inakuwa mnato sana” ujue umeanza kufuzu…..hiyo ni namna moja ya kumpa “Endiketa” mpenzi wako.

Namna ya pili ni ile ya kutumia misuli ya uke na misuli ya tumbo kwa pamoja (kama tumbo lako linanyama nyingi pole kwani hutoweza kufanikisha hili)…….

Mikao na namna ya ku-Endiketa.

(1)-Kifo cha Mende haijalishi nani yuko juu/chini
(2)-Kipepeo (kitandani au kitini)

MADHARA ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:

Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
Kusahausahau,
Kupendelea story za mapenzi,
Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
Kuumwa na kichwa,
Kukakamaa mgongo (wanaume),
Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),

Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

MWANAUME ANAPENDA KUOA MWANAMKE WA AINA HII

Habari za wiki hii mpenzi msomaji. Mimi namshukuru Mungu kwa kuweza kunikutanisha na nyinyi kupitia safu hii ambayo pamoja na mambo mengine nazungumzia juu ya mada mbalimbali ambazo zinagusa maisha yetu ya kila siku.

Wiki hii nitazungumazia juu ya aina ya wanawake ambao wanaume wengi hupendelea kuoa. Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao wanadhani kwamba wanaweza kuwa pamoja kwa kipindi chote cha maisha. 

Wanawake wengi wanajisahau na kudhani kwamba kitu kinachoweza kuwafanya wakapata wachumba ni uzuri hivyo kupoteza muda wao kujichubua na kujiremba ili wawavutie wanaume bila kujua kwamba kuolewa ni zaidi ya uzuri.


Hali sasa hivi imebadilika ni tofauti na kipindi cha nyuma ambapo ukiwa na sura nzuri na umbo la kuvutia basi una asilimia 100 za kuolewa.

Utafiti ambao nimeufanya unaonesha kwamba zaidi ya uzuri wa tabia na umbo, kuna kuna sifa nyingine za msingi ambazo mwanamke anatakiwa kuwa nazo ili aweze kuwa katika mazingira mazuri ya kupata mchumba wa kumuoa kiasi kwamba asipokuwa nazo ataishia kuchezewa tu lakini haitatokea mtu kumtakiwa kwamba anataka kumuoa

MWEYE MAPENZI YA KWELI
Lengo kubwa la mwanaume kuoa ni kutaka kupata mapenzi ya kweli kutoka kwa mwanamke na ikiwezekana waweze kupata watotoa ambapo watoto mara ndio wamekuwa furaha ya ndoa.

Wapo wanawake wengine ambao wanonesha wazi kutokuwa na mapenzi ya kweli bali wanakuwa na mapenzi ya kuzuga. Wanachotaka wao aidha kupata umaarufu tu kwamba yuko na mtu fulani ama kuweza kupata pesa alizonazo mwanaume lakini sio kwamba ana mapenzi ya dhati kutoka moyoni mwake.

Mwanamke asiye na mapenzi ya dhati utamgundua tu, muda mwingi utamuona macho yake yako kwenye mfuko wa mwanaume.

Akiona kwamba mfuko umetuna utaona anaonesha mapenzi ya hali ya juu lakini pindi hali inapokuwa kubwa mbaya kifedha mapenzi yanaanza kufifia.


Kwanini wanaume wanapenda wana wake wenye mapenzi ya dhati kutoka mioyoni mwao na si kutokana na fedha walizonazo? Hii inatokana na ukweli kwamba maisha siku zote yanabadilika, kama waswahili wanavyosema, kuna kupanda na kushuka.

Sio kwamba kila siku utakuwa na maisha mazuri na kama itatokea hivyo basi ushukuru mungu.

Hivyo basi mwanamke wa kuoa lazima afahamu hivyo na awe tayari kuonesha mapenzi yake ya dhati wakati wote wa maisha yao na si kwa kipindi fulani tu cha neema.

Si hivyo tu pia asilimia kubwa ya maisha ya ndoa yanatawaliwa na mapenzi, kwa hiyo nyanja hiyo inakuwa ya msingi sana kwa wanaume wengi kuiangalia ili wasije wakajikuta wanaoa mwanamke ambaye baada ya muda mapenzi yanakwenda likizo hali ambayo inaweza kuwafanya wasiishi maisha ya raha mustarehe.

WENYE TABIA NZURI
Tabia njema ndio silaha ya maisha, ukiwa na tabia nzuri kila mtu atakupenda, hiyo ni katika maisha ya kawaida.

Lakini linapokuja suala na kuoa tabia inakuwa kitu cha awali sana kungaliwa na hiyo inaweza kuwa na ukweli kwa sababu wapo wasichana wazuri wenye mvuto wa aina yake na maumbile mazuri, lakini wanakosa wanaume wa kuwaoa, ukiuliza kwani utaambiwa anatabia mbaya.

Naweza kusema hilo ndilo limekuwa tatizo kubwa kwa baadhi ya wanawake kukosa wanaume wa kuwaona.

Hakuna mwanaume hata mmoja kati ya wale ambao nimejaribu kuongea naye ambaye ameonesha kulidharau suala hilo la tabia.
Si hivyo tu wapo wanaume ambao wameingia kichwa kichwa na kuoa kwa kuangalia sura tu bila kujali tabia, matokeo yake baada ya siku chache yanatokea machafuko ya aina yake hali ambayo imepelekea kuvunjika kwa ndoa kutokana na tabia mbaya alizonazo mwanamke.

WENYE UCHU NA MAENDELEO

Hivi karibuni kumekuwepo na mabadiliko ya aina yake kwa wanaume, wengi sasa hivi hawapendi kabisa kuoa mwanamke ambaye hana kazi yaani ‘golikipa’.

Kama atakuwa hana kazi basi awe na uchu wa maendeleo kwa kujituma kufanya kazi mbalimbali za kimaendeleo kama vile kilimo kwa wale walio vijijini na biashara ndogondogo kwa wale ambao wako mijijini na hata vijijini. Ile dhana ya kusema mwanamke ni mama wa nyumbani wa kukaa na kujipodoa akimsubiria mwnaume arudi amstarehesha, sasa hivi imepitwa na wakati.

Wanaume wengi wanapenda wanawake ambao ni wahangaikaji, wenye ndoto za maendeleo katika maisha yao. Hata kama watakuwa si wafanyakazi lakini wawe wenye kutoa ushauri kwa waume zao juu ya jinsi gani wafanye ili wafanikiwe.

WASIOPENDA MAKUU

Kuna wanawake wengine wanakuwa na tabia za ajabu sana kiasi kwamba yaweza kuwa kero kwa wanaume.

Wapo wanawake ambao wanapenda makuu bila kujali hali halisi ilivyo. Kuna wanawake naweza kusema wana tamaa, kila wikiendi utamsikia “leo tunakwenda wapi dear?”

Akimuona rafiki yake kanunua simu ya laki tatu na yeye utamsikia akisema, ‘na mimi naomba uninunulie simu kama ya Grace’. Ukienda naye Pub anakuambia, “mimi sinywi pombe za chupa natumia za kopo tena Heineken’. Yeye hajali kiasi cha pesa mwanaume alicho nacho na usipotekelezea anachukia na anaweza hata kupunguza mapenzi.

Wanawake kama hawa wako katika mazingira magumu sana ya kuweza kupata wanaume wa kuwaoa. Mara nyingi katika maisha fedha huzungumza, kama mwanaume atakuwa na pesa ya kutosha itakuwa rahisi sana kwa mwanamke kupata kila atakachopenda lakini si kwa kumwambia mimi nataka kitu fulani.

Mwanaune mwenyewe utamsikia akisema, ‘unataka nikununulie simu ya aina gani, au leo unataka twende wapi?’ hapo ndipo utakuwa na nafasi ya kusema, ‘mimi nataka uninunulie simu kama ya fulani ama leo nataka twende sehemu fulani.’


Wanaume ni warahisi sana wa kuwapatia wale ambao wanatarajia kuwaoa chochote ambacho watahitaji kama tu pesa haitakuwa tatizo. Kitu ambacho kinawaudhi wanaume wengi ni ile tabia ya mwanamke kupenda mambo makubwa bila kuangalia uwezo uliopo kwa mwanume.


Kuna wanawake wengine wao si wasemaji kabisa, yeye anasubiri leo amemletea hiki, anapokea na kushukuru, kesho akiambiwa twende beach anakubali. Au wengine wanasubiri mpaka waulizwe wanataka nini, ndio wanasema.


Sisemi kwamba uwe mkimya tu hata kama una shida ya kitu fulani na unafahamu kwamba ukimweleza mwenza wako anaweza kukusaidia, hapana! kama unaona kwamba uwezekano wa kupata kile ambacho unakihitaji upo mweleze kwa utaratibu naamini atakuelewa na kukutimizia.Tabia ambayo hawaipendi wanaume wengi ni ile ya kulazimisha ufanyiwe kitu fulani wakati inawezekana uwezekano haupo.

WAVUMILIVU
Wapo wanawake ambao sio wavumilivu kabisa katika maisha.Tunajua kwamba maisha siku zote hayatabiriki, yanaweza kutokea matatizo ya kiafya ama kifedha.

Huu ndio wakati wa kuona uvumilivu wa mtu.Kama mwanamke anatarajia kwamba siku zote ni za raha tu na pindi matatizo yanapotokea anachukua uamuzi wa kumtoroka mwanume, huyo siyo mwanamke wa kuoa.

Wangapi leo hii huwatoroka waume zao pindi inapotea kuumwa, kufilisika ama kupatwa na tatizo lolote ambalo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kuwafanya maisha yao kutingishika?Uvumilivu kwa mwanamke utakuwepo kama tu atakuwa na mapenzi ya dhati kama nilivyozungumza hapo awali.

Mwanamke mweye mapenzi ya dhati ni lazima atakuwa mvumilivu na atakuwa tayari kuishi katika maisha ya aina yoyote, yawe ya raha ama ya starehe.Hawa ndio wale ambao wanaume wengi wengependa kuwa nao maishani mwao.

Licha ya kupenda kuoa wanawake amabo wana tabia hizo nilizozitaja hapo juu, wanachukizwa sana na wanawake ambao wanavijitabia vidogo vidogo ambavyo kimsingi havikubaliki katka jamii.

Tabia hizo ni kama wambea, wasio wakweli na wawazi, wasioridhika, wagumu kusamehe na wapesi wa kuchukia, wagomvi na wenye roho ya kwanini.


Utafiti huu umefanyikwa kwa baadhi ya wanaume ambao wanatarajia kuoa wanawake ambao wanaoishi katika maeneo mbalimbali jijini Dar-es-Salaam. Kwa maana hiyo basi hiyo iwe changamoto kwa wanawake. Wajue kwamba wanaume wanafurahi kuwa na wanawake wa aina gani.

Hata kama utakuwa umeshaolewa, kama kuna wakati kunakuwa na kutokuelewana baina yenu, chunguza yawezekana kwamba unakosa mojawapo ya tabia ambazo nimezitaja hapo juu. Waweza kubadilika kwani inawezekana.

USIMLAUMU KWA KUCHEPUKA YAWEZEKANA WEWE NDO CHANZO

N I  Alhamisi nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri, kujuzana na kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi.

  Leo nataka tujadiliane kitu tofauti kidogo ambacho huenda kikawaudhi baadhi ya watu na kuwafurahisha wengine. Lakini, kwa kuwa lengo letu ni kuwekana sawa, ni lazima tulizungumzie. Napenda kuzungumza zaidi na wanawake.

Kama wewe ni mwanamke, umewahi kujiuliza mumeo anahitaji nini zaidi kutoka kwako?Yawezekana likawa ni swali ambalo unaweza kulitafsiri kwamba halina maana, lakini majibu yake ni mapana zaidi.

Wengi huwa wanafikiri hitaji kubwa la mwanaume kwa mwanamke, ni kufanya mapenzi tu na huenda hata wewe ungenijibu hivyo.Lakini je, hilo ndiyo jibu sahihi? Ipo wazi kwamba tendo la ndoa ndiyo linalo-ikamilisha ndoa yoyote, iwe imefungwa Kikristo, Kiislam, Kimila au Kiserikali.

Hakuna ndoa ambayo inaweza kukamilika bila wanandoa kukutana kimwili, hakuna ubishi katika hili. Lakini je, hilo ndiyo hitaji pekee linaloweza kumfanya mumeo akaridhika na wewe?

Wanawake wengi, hasa wasichana wanaoanza kuingia kwenye ulimwengu wa mapenzi, huhisi kwa sababu wao ni warembo, wana mvuto machoni mwa wanaume au wana maumbo mazuri, basi hiyo ndiyo tiketi ya moja kwa moja ya wao kuolewa na wanaume wazuri na kudumu kwenye ndoa zao.

Hata hivyo, wanapoingia kwenye ndoa wanakutana na hali tofauti kabisa kiasi cha wengine kujuta kwa nini wameolewa.

Kinachowafanya wajute ni kwamba, wameingia kwenye ndoa wakiwa hawaelewi wanaume wanahitaji nini zaidi kutoka kwao.Kwa kutokufahamu huko, huelekeza nguvu zao nyingi kwenye tendo la ndoa, lakini mwisho hugundua kwamba kumbe tendo la ndoa siyo kitu pekee kinachoweza kuwafanya waume zao wakawapenda na kuwathamini

.Hali ni tofauti kwa wanaume wasiooa ambao kwao, ipo wazi kwamba hitaji lao la kwanza kwa wanawake, huwa ni ngono na wakishakidhi haja zao, huwa hawana tena mpango. Kwa hiyo, tukubaliane kwamba mwanaume akishakuoa na kukuweka ndani, hitaji lake kubwa siyo tendo la ndoa pekee.

Sasa kama ni hivyo, kumbe wanaume huwa wanahitaji nini kutoka kwa wake zao? Winston Parker, ni mshauri na mtaalamu wa mapenzi na uhusiano kutoka nchini Marekani, katika kitabu chake cha What a Man Needs From a Woman, anaeleza kuwa jambo kubwa ambalo wanaume wanahitaji, ni utiifu kutoka kwa wake zao.

Anaeleza kwamba udhaifu mkubwa wa wanaume, ni kuona wanasikilizwa na kupewa utii kutoka kwa wake zao na kudekezwa kama watoto. Hata kama mwanaume akiwa ‘mtata’ kiasi gani, anapokutana na mwanamke anayemheshimu, kumsikiliza, kumtii na kumdekeza, ni lazima atazama kwenye penzi lake hata kama si mzuri wa sura wala umbo kiasi cha watu wengine kuanza kuulizana

‘anampendea nini yule’?Ipo kasumba ya wanawake wengi siku hizi, kudai usawa hata katika mambo ambayo hayahitaji usawa. Mwanamke anakuwa jeuri, mkaidi na hamuheshimu kabisa mumewe.

Akikatazwa kufanya jambo fulani anaona kama anatawaliwa, anafanya hata kama anajua mumewe hapendi, kisa ‘haki sawa’.Matokeo yake, mwanaume wa aina hii akikutana na mwanamke anayemsikiliza na kumheshimu, hata kama ni hausigeli wake, yupo tayari kumkabidhi moyo wake na kumuonesha mapenzi ya dhati.

Huenda hii ni miongoni mwa sababu zinazowafanya mahausigeli wengi kupindua ndoa za mabosi wao.

Sihalalishi kwamba kama mwanamke ana udhaifu huu basi aadhibiwe kwa usaliti, hapana. Wengine wanakuwa na tabia hizi kwa sababu ya malezi waliyolelewa, lakini kama wakieleweshwa kwa upole, huweza kubadilika.

Ni matumaini yangu kwamba wanawake watakaopata nafasi ya kusoma ukurasa huu, watabadilika kwa lengo la kuzilinda ndoa zao na kujenga uhusiano imara zaidi.

Lakini kwa wasiotaka kubadilika, niwaambie wazi kwamba, wao ndiyo sababu kubwa ya waume zao kuwa na michepuko.Tukutane tena kwenye maada zingine

MBINU ZA KUJIWEKE ILI MWANAUME AKUTONGOZE HARAKA

Je umekuwa ukijiuliza kwa nini haukuwi approached na wanawaume kama unavyotaka? Blog ya Nesi Mapenzi imeamua kukuandalia mbinu na maujanja ya kutumia ili uonekane mwanamke ambaye anaweza kufukuziwa na mwanaume kwa urahisi.

Owk….
Kando na itikadi ambazo umekuwa ukifikiria, kuapproachiwa ama kufukuziwa na mwanaume si gemu ya bahati nasimu ambayo mtu anaingojea ijitokezee.
Na pia kando na itikadi nyingi za wanawake wanazozifikia, si lazima ufanye kitendo kikubwa ama cha inadi ili mwanaume aweze kukutongoza.
Ukweli ni kuwa, kama unaielewa akili ya mwanaume na jinsi inavyofanya kazi kabla ya kuapproach mwanamke, unaweza kumfanya mwanaume yeyote kutaka kuongea na wewe dakika tano atakapokuja katika himaya yako.
So mbinu zenyewe ndizo zipi?
Zama nami…

Njia za kujiweka ili mwanaume apate nafasi rahisi ya kukutongoza

Kwanza jiweke nadhifu

Hii ni muhimu katika yote kama wataka mwanaume akutambue. Mwanaume kitu cha kwanza anachokiangalia huwa ni mwonekano wa mwanamke. Mwanaume anapoingia katika chumba, inamchukua sekunde ndogo zana kuamua iwapo anataka kuapproach mwanamke mfani au la.
Kama umevalia vizuri na unapendeza, itarahisisha kazi yako sana.


Pili usionekane kama una shughli

Usijishughlishe sana na simu yako, ama kitabu chako, ama kitu kingine. Unaweza kuwa umeboeka na unajaribu kujiweka buzy, lakini fursa iweza kuwa hivi, kufanya hivyo kunaweza kumfanya mwanaume anayetaka kukuapproach kuona ya kuwa uko buzy sana kiasi cha kuwa atashindwa kukufuata kwanu unaweza usiwe interested na maongezi yake.
Tatu ni kuwa mko ligi moja?

Hii inakinzana na hatua ya kwanza, lakini inaweza kuwa na tatizo iwapo unaoneka kama uko ligi tofauti na mwanaume. Kama utaoneka amakujiweka mtu wa hadhi ya juu wanawake watapenda kukuangalia lakini hawatakuaproach. Hii ni kwa sababu wanaume wengi hawapendi kudhalilishwa wakati wanapoamua kukuapproach….kiufupi ni kuwa ukiwa unavutia kupindukia wanaume watakuogopa.
Lakini tena, kuna wale wanaume ambao wanajiamini kupindukia ambao wanajua thamani ya kukuapproach, nao ni wanaume alfa, wanaume diriki, na pia wale wanaume mapleya.
Kama wataka kuteka atenshen ya mwanaume mzuri wa kawaida lakini anayeogopa kukuapproach, jaribu kutumia mbinu ya kuwa jamili na watu wanaokuzunguka. Huwa inasaidia.

Ujanja wa kumfanya mwanaume aweze kukuakuaproach

1. Jinsi utakavyovalia

Usivalie kana kwamba huna kitu cha kuficha. Utapata atenshen ya kila mtu lakini wanaume ambao wataamua kukuapproach ni wale ambao wanataka kulala nawe kwa usiku mmoja pekee. Enyewe kuvalia kwa kutamanisha kunasaidia kuteka atenshen ya mwanaume, lakini usivuke mipaka ya kawaida.
Kumbuka kuwa si lazima uonyeshe viungo vyako vyote vya mwili ili uweze kuteka macho ya mwanaume. Kama unavutia inatosha kumfanya mwanaume akugundue.
2. Unavyomuangalia

Mchungulie mara moja na nyingine, halafu mwangalie mara kwa mara. Hakikisha ya kuwa haujisahau ukamwangalia sana kupindukia ama atakuona kama wewe ni rahisi wa kuapproach na anaweza kukupuuza.
3. Mitindo ya kumwangalia

Kuna mitindo miwili mikuu ya kumwangalia mwanaume ili kumuonyesha ya kuwa umevutiwa naye. Unaweza kutumia mbinu zote mbili kulingana na vile unataka.


i) Kumwangalia polepole – wakati ambapo unaangalia pande zote, angalia upande wake na uyaangalie macho yake kwa sekunde kadhaa huku ukiweka tabasamu. Halafu pole pole zungusha kichwa chako uangalie kwingine.

Mbinu hii ni ya kijasiri ya kumwonyesha mwanaume umevutiwa kwake.
ii) Kumwangalia kwa uharaka – hii ni mbinu ya kumwangalia kwa uharaka. Anza kumuangalia, ukiona kama anataka kukuangalia, ghafla angalia kando halafu utoe tabasamu ukiangalia chini. Mbinu hii inampa confidence na kukuona wewe ukipendeza.


4.Mfanyie kazi iwe rahisi

Inakuwa vigumu kwa mwanaume kumuapproach mwanamke sehemu ambapo yuko kundini na marafiki zake. Kama mawazo yako ni kufuatwa na mwanaume, hakikisha ya kuwa wakati mwingine unajipa time ukiwa pekeako ama zaidi uwe na rafiki yako wa kike mmoja.


5. Sehemu zifaazo

Si kila sehemu ni nzuri kufanya maongezi na mtu. Kama unataka mwanaume akuapproach, chagua sehemu ambayo si kila mtu ataanza kujeuza kichwa chake kutaka kujua ni nini kinachoendelea kati yenu. Sehemu za mkawahawa, supermarket, ama bookshop ni sehemu nzuri zaidi za kukutana na mwanaume kupiga stori.


6. Mpatie nafasi aongee na wewe

Hata kama uko katika group na marafiki zako halafu mwanaume akakugundua, mwonyeshe interest kwa kumuangalia kwa madakika. Ukiona kama yuko tayari kuongea na wewe, unaweza kujitenga na marafiki zako kwa muda. Aidha unaweza kuanza kuzunguka hio sehemu kiasi ama unaweza kujipeleka mahali ambapo itakuwa rahisi kwa mwanaume huyu kuzungumza na wewe.


7. Tabasamu

Onekana jamili, na nafasi ya wewe kufuatwa na wanaume itaongezeka mara dufu. Kupendwa kwa mwonekano wa kwanza ni kama baraka kwa mwanamke yeyote yule ambaye anataka macho ya mwanaume yamwone.


8. Usiboeke

Kuwa mwanamke mwenye furaha na mwenye hisia chanya mahali popote pale utakapokua. Mwanamke mwenye shangwe huvutia mwanaume yeyote yule. Kama utaonyesha chembechembe za kuboeka, mwanaume anayetaka kukuapproach anaweza kuwa na maswali mengi ya kujiuliza kwani ataona ya kuwa maisha yako huboesha na yasiyo na mwanga.


9. Usiwe mjeuri

Kama wewe ni mjeuri kwa yeyote, aidha weita ama mmoja wa rafiki yako, inaweza kutokea kuwa mwanaume ambaye anapania kukuapproach kusimamisha ari yake. Hakuna mtu anapenda mtu mjeuri, na hakuna mwanaume angependa kuapproach mwanamke ambaye anaweza kumpuuzia ama kumkataa.
10. Usitangamane na wanaume

Hii ni muhimu kwa mwanamke yeyote aelewe. Usiwahi kamwe kutangamana na marafiki zako wa kiume kama unataka kukuwa approached na mwanaume. Haitafanya kazi kamwe.


11. Mwonyeshe kuwa uko intrested

Mwonyeshe kuwa uko interested kwake kwa kutaka kumjulia hali zaidi. Hata kama uko na marafiki zako mnaongea halafu amekaa karibu na wewe, mwangalie iwapo anakuangalia hata kama unawajibu rafiki zako.


12. Onyesha uanawake wako

Mwangalie mara kwa mara, halafu ukishika macho yake, peta nywele zako nyuma ya sikio lako. Inaweza kuonekana kama jambo dogo kwako, lakini kwa mwanaume ni kama kugonga ndipo.


13. Mchokore

Pita mbele yake halafu mwangalie machoni mwake wakati unapompita. Mtese kihisia, ataipenda kuona atenshen yake.
14. Usilazimishe

Utakuwa unajiaibisha iwapo unalazimisha mambo. Wanaume si mabubwi, hivyo ukiwaangalia mara moja na nyingine ama kuwatabamia, wanajua kuwa uko tayari kuapprochiwa.
Ok hizi ni mbinu ambazo unafaa kuzitumia kama unataka mwanaume yeyote yule akunotice ama akufukuzie.

Design a site like this with WordPress.com
Get started