Sio kwamba hana hisia, Unasababisha asikutake.

Kwa mwanamke mapenzi ni hisia, hisia za yeye kukuwaza wewe, hisia ya kutaka kukuona kwa sababu hajakuona na anatamani kukuona, hisia ya yeye kuwa na wasiwasi kuhusu mpenzi wake, ukiondoa hicho kitu cha kumfanya akuwaze, basi muda si muda utaanza kumtoka kichwani.Kuna sehemu kwenye maisha mwanaume kama mwanaume inabidi uwe mwanaume, ujitenganishe kati ya hisia …

Baadhi ya Mbinu za Kumridhisha mwanaume wako kimapenzi

Heshima kwenu wakuu, Mtaalam wa mapenzi, Bi. Layla Quinn, anasema wamaume ni viumbe rahisi sana kuridhishwa tunapokuja katika suala la unyumba. Mwanzoni, kitu kinachomhamasisha mwanaume kujamiiana ni muonekano wako (mwanamke) tu wakimahaba, lakini kadri siku zinavyokwenda ndani ya mahusiano, inakuwa ngumu kupandisha munkari wake, hata kama wewe ni mwanamke mrembo barabara! Bi. Layla anaendelea kusema …

JE ni Mzuri kitandani?

Tunapooana kama wanandoa tunakubaliana kwamba tutakuwa tunafanya tendo la ndoa sisi wawili tu maisha yetu yote  haijalishi tunafanya kwa kufikiria, au kwa kutofikiria, au tunafanya bora liende au kwa ufanisi, tunfanya kwa kupenda au kulazimishwa, tunafanya kwa ubunifu au kwa uchoyo au kwa kubania au kwa hiari au vyovyote vile kitabu kimefungwa na lazima kila …

FAHAMU SIFA HIZI ZA MWANAMKE ASIYEFAA KUOLEWA KABISA

SUALA la kuoa lipo tu licha ya kwamba wapo wanaochelewa kuingia kwenye maisha hayo wakihisi inaweza kusitisha furaha ya maisha yao. Nasema hivyo kwa kuwa najua wapo wanaoamini kuoa ama kuolewa ni kujiingiza kwenye matatizo. Dhana hiyo haina mashiko kiviile, asikuambie mtu unapoingia kwenye ndoa na mtu anayekupenda na wewe unampenda kwa dhati, karaha hakuna …

JIFUNZE KUFANYA MAPENZI KWA KUTUMIA SIMU

Hii ni kwa wanaume ambao wanapenda kuwafurahisha wapenzi wao wawapo faragha. Ukifanya hivi nakwambia mwanamke hatakuacha hata umfukuze hataondoka kwako. Mwanamke akijibinua binua namna hii inamaanisha kuwa anahamu aingiziwe mpaka kizazi kiguswe….sasa mwanaume akiwa legelege atashindwa kumtimizia haja yake. Mambo 5 ya kuzingatia ili umsasambue kikamilifu mwanamke anaye jiwekaweka hivi mpaka akuogope: 1: achana na …

ZIJUE FAIDA NA HASARA ZA MAJIBIZANO KATIKA MAPENZI

Sidhani kama kuna ambaye hajawahi kujikuta kwenye majibizano na mpenzi wake. Hata wakati mnaingia katika mlipuko wa majibizano hata mnashindwa kujua sababu ya kujibizana kwenu.Vitu kama vile mmoja kuchelewa kurudi nyumbani, kushindwa kuwasiliana sawa na mwingine alivyotarajia, kushindwa kutoa msaada pale ulipohitajika, hisia za kuwapo kwa mahusiano pembeni, tabia zisizoeleweka baina ya mmoja na simu …

KUNA LUGHA TANO ZA MAPENZI, UNAIJUA YA MPENZI WAKO

Kwanini uliachana na ‘ingiza jina’?”…“Ah tulikuwa hatuendani tu”Ushawahi kujikuta kwenye scenario hiyo?Unaweza kumfanyia mpenzi wako kila jambo uonalo ni jema kwake na bado akakuacha au akatoka nje ya penzi lenu(cheating). Unabaki kusema “Nilikuwa nampa pesa, zawadi, na kumhakikishia nampenda na nataka tuje kuwa pamoja maishani lakini aliniacha.Haya matatizo yote yanaweza kumalizwa au kupunguzwa kwa kiasi …

JE WAJUA MAENEO MUHIMU KATIKA MWILI WA MWANAMKE YA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA?SOMA HAPA

JINSI YA KUMFURAHISHA MWANAMKE KITANDANI KATIKA MAPENZI.    Why Women Prefer Bad Boys Hapa ni mambo 10 muhimu, ambayo mwanaume ukiyafanya kwa mwanamke wako, hakika utakuwa umejijengea ulinzi wa yeye mwenyewe kujilinda dhidi ya mwizi au dokozi yeyote huko nje.  Mfanye Mwanamke aanze kufika mlima kilimanjaro kabla hujaanza kumuingilia.  Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, …

SMS AMBAZO MWANAMKE HAPASWI KUMTUMIA MWANAUME

Wanaume hupenda sana kuwasiliana na wanawake kupitia kwa SMS na njia nyingine za mitandao. Wanaweza kukusumbua siku nzima na SMS hizi.Halafu pindi ukianza kuongea na wao wanaweza kuja na mitindo mingine ya jumbe ambazo zinakuamuru ufanye jambo flani ama kutaka uwaonyeshe kitu flani. Ijapokuwa unaweza kuona kuwa ni mbinu nzuri ya kuwasiliana nao, wakati mwingine …

HATUA ZA KUFANYA KAMA MWANAMKE HATAKI KUJIBU MESEJI ZAKO

kuongea na yeye mara ya kwanza. Anapendeza na kuvutia, na unaona kama ni mwanamke ambaye ni yule aliyekuwa ndotoni mwako maishani mwako. Mazungumzo yenu yanaenda vizuri mpaka ukwamwomba namba yake.Baadaye unajaribu kumtumia text na hazijibu. Labda mnaeza kuchat kwa madakika halafu baada ya hapa anakataa kujibu texts zako. Unabaki ukijiuliza maswali ni kitu gani ambacho …

Design a site like this with WordPress.com
Get started