Jinsi Ya Kuwaepuka Wanaume Wanaokutongoza Ilhali Unawachukia

Ishawahi kutokea kwa kila mwanamke ya kuwa kuna mwanaume mmoja ambaye anakutongoza ilhali unamchukia. Halafu mbaya zaidi ni kuwa mwanaume kama huyu haskii kabisa, kila ukijaribu kumkataa ndivyo anavyozidi kukuapproach.Mara nyingi huwa inaanza hivi. Anakuapproach, anakutongoza halafu unamkubali kiasi cha kuwa unataka kumsoma akili yake. Baada ya kutoka out ama deti mara kadha ukakuja kugundua …

Hivi Ndivyo Mwanamke Anavyoweza Kufanya Mpenzi Wake Atembee Na Mashosti Zake

Maisha ya kimapenzi yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana kwani kuna changamoto nyingi zinazoweza kujitokeza kiasi kwamba usipoangalia unaweza kuishia kusema hutakuja kumpenda mtu, heri uishi peke yako! Tatizo kubwa ambalo limekuwa likiwasumbua wengi walio kwenye ndoa na wale walio kwenye uhusiano wa kawaida ni usaliti. Lakini naomba leo niseme kwamba, wapo watu wanajitakia …

Siri ya kudumu katika Mahusiano ya Ndoa .

Sabrina Adriani ambaye ni mtafiti wa masuala ya mahusiano ni miongoni mwa wanawake ambao wamedumu miaka mingi katika ndoa. Na alipoulizwa ni kwanini ameweza kukaa kwa miaka mingi katika ndoa bila kufarakana na mumewe alisema “siri kubwa ambayo imenifanya nidumu katika ndoa ni kwamba niliweza kutumia muda mwingi zaidi ya miaka kumi kuweza kumfahamu mume …

Mambo muhimu ya kufanya ili kumfurahisha mwanamke katika mahusiano ya mapenzi

Hakuna kitu chenye thamani kubwa kwa msichana yeyote yule  kama kumfanya mtu huyo afurahi, hivyo kila wakati mwanaume unatakiwa kumfanya mpenzi wako afurahi ili uwezo kuongeze asilimia nyingi za upendo kutoka kwake kuja kwako. Yafautayo ndiyo mambo ya kufanya ili kufurahisha mwanamke katika mahusianao ya mapenzi; Mtanie Unapoongea na msichana, ni rahisi sana kumfanya na yeye …

HIZI NDIZO TOP 4 YA STAILI ZA KUFANYA MAPENZI ZITAKAZOKUSAIDIA USIKOJOE MAPEMA,SOMA HAPA KIJANA NIKUJUZE.

stairi kufanya mapenzi huko mtaani,lakini sio zote ni nzuri kwa ajili yako na kwa ajili ya kumridhisha mpenzi wako,labda kama unataka kukojoa mapema. Kama unachelewa kukojoa kunastaili ambazo ni bora kwa ajili yako ili uweze kuwahi mapema,lakini kama unajua huwa hudumu kitandani na mpenzi wako basi kuna aina aina ya stairi ambazo unatakiwa kuzitumia ili …

Ni kweli Wanaume Wanapenda Wanawake Wenye Matiti Makubwa ?

Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani na Uingereza kisha kuripotiwa na Jarida la New Study umebainisha kwamba, wanawake wenye matiti makubwa huwasisimua zaidi wanaume kimapenzi kuliko wengine. Jane Pincott Mwandishi wa masuala ya sayansi amekiri katika kitabu chake cha ‘Do Gentleman Really Prefer Brondes’ kwa kueleza kinagaubaga juu ya utafiti …

HIVI NDIO VIGEZO WANAVYOTUMIA WANAWAKE KUPENDA

Watu wengu hujisikia vizuri wanapowavutia wenzao wa jinsia nyingine. Je, unafikiri ni kitu gani kinachomfanya mwanamke aonekane wa kuvutia?Kuna vitu vingi vinavyojulikana vizuri zaidi kwa upande wa mwanamke kama vile; mwili mzuri, sauti yenye mvuto, nywele, mikono mizuri na mengineyo mengi. Lakini, kuna vingine ambavyo siyo vya kawaida vinavyohusu mwanaume kumvutia mwanamke. Je, ni vitu …

TUMIA MBINU HII KUMSHANGAZA MPENZI WAKO AKUPENDE ZAIDI

Ufunguo wa moyo wa mwanamke huwa ni kupitia kwa rafiki zake, kama rafiki zake wakipendezwa na wewe, huyo mwanamke aliekukonga moyo basi nawe utakuwa umeanza kuuteka taratibu, kiufupi utakuwa umeupata kila kitu kuhusu yeye, namba ya mwenye nyumba wake mpaka namba ya jirani yake, ukiwafurahisha rafiki zake basi barabara yako ya wewe na yeye imeshaanza …

MAMBO YQ KUZINGATIA WAKATI WA KUCHAGUA MCHUMBA

Hamna raha ya pekee kama kuwa kwenye mahusiano ambayo mume na mke au ‘boyfriend’ na ‘girlfriend’ wanaelewana vizuri. Ni vigumu kupata mtu ambaye mnaelewana kila jambo.Sio lazima kama mwenzako anasapoti Arsenal na wewe usapoti Arsenal. Wataalamu wa masuala ya mahusiano wanashauri kuwa, ili uweze kuishi vizuri na mtu kama mume na mke ni vizuri kuwa …

Fahamu Aina ya Kulala Inavyoelezea Kipimo cha Mapenzi Katika Mausiano.

Wakati wa kulala si lazima wapenzi wafuate utaratibu ule ule kila mara.Hii inawezekana msimamo wa akili ulivyo kwa wakati huo.Fuatilia mitindo ya ulalaji na maana yake::KUKUMBATIANAMtindo huu hutumika sana kwa miaka 5 ya mwanzo wa ndoa.Mume huweka miguu juu ya mkewe na mikono kumkumbatia eneo la kifuani.Aina hii hupendwa sana na wanawake kwani hujiona yuko …

Design a site like this with WordPress.com
Get started