Nogesha mahusiano yako ya kimapenzi kwa kufanya mambo haya .

Kutengeneza uhusiano wenye nguvu ni moja ya mambo yenye changamoto kubwa. Japo hakuna maelekezo maalum, kuna mambo machache na rahisi ambayo unaweza kumwambia mpenzi wako yakaujenga zaidi. Weka desturi ya kusema mambo haya kwa mpenzi wako na muda mfupi tu mtakuwa couple itakayowapa wivu marafiki zetu. NakupendaNakupenda ni kitu rahisi na cha wazi cha kumwambia …

SABABU KUU 3 KWANINI WANAWAKE WAMEAMUA KUKIMBILIA USAGAJI

Ni aibu sana kwake..Kwa familia…Kwa jamii,na ndio maana wanajificha…Haiko wazi coz its awkward…Wanawake ni viumbe so complicated…They need perfection…Sometimes wamejikuta wakichukua hatua ngumu sana kwa sababu tu hawapati Perfection wanayoitaka katika kitu fulani..Mathalani kwenye masuala ya mahusiano,Wanawake wamekuwa wakilalamika sana,sana sana especially siku hizi,na wameamua kutumia SHORTCUT…Wameamua kuwa Wasagaji iliwaweze kukabiliana na presha za vitu …

Tahadhari Kwa Wadada Mnaopenda Kuvaa Shanga Kiunoni…

Bwana Yesu asifiwe!!! Wanawake wengi wanapenda kuvaa shanga kiunoni wakiamini zinawavutia wanaume wengi katika mapenzi. Napenda kutoa tahadhali kwa wanaopenda kuzivaa hasa kiunoni kuwa asilimia 80% ya shanga zinazouzwa zikiwa zimeshasokotwa zinatengenezwa na waganga WA kienyeji au watu ambao ni mawakala WA shetani na kuzinuizia mapepo kwa malengo yafuatayo: Kuharibu au kuiba nyota za watuKuwafunga …

Mwanamke Akikujibu SMS yako Hivi Acha Haraka Sana Kuchat Nae

Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu. KWA MFANO:1. Ukimtumia sms ”Mambo mpenzi wangu?” akikujibu ”mambo mabaya”, usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza …

Namna ya Kujua Kama Umemridhisha Mpenzi Wako Kitandani

Raha ya kuwa katika mahusiano ya kimapenzi baina ya wapenzi wawili ni kila mmoja kuwa na furaha na kuridhika kwa yale anayofanyiwa na mwenzake. Siku zote kila mmoja hujitahidi kufanya mambo ambayo anahisi yatamridhisha na kumfurahisha mwenza wake ili kuendelea kuyastawisha mapenzi baina yao. Watu wengi wamekuwa wakifanya mambo kama vile kununuliana zawadi, kwenda kutembea …

Mambo 39 Yanayovunja Ndoa

Mambo 39 Yanayovunja Mahusiano Ya Kimapenzi Au Ndoa1. Kutokuwa na mawasiliano ya karibu na mwenzi wako.2. Kutojali maumivu ya mwenzi wako.3. Ubishi usiokuwa na maana.4. Kupenda kujihesabia haki.5. Kutokubali makosa.6. Kutokuwa na roho ya msamaha.7. Kutokuwa muwazi kwa mwenzi wako.8. Usaliti wa mapenzi.9. Kuigiza kupenda.10. Kutomheshimu mwenzi wako.11. Kuwa mjuaji kila kitu unajifanya unajua.12. Kutokutambua …

HIZI NDIO MBINU ZA KUMUWEZA MWANAMKE ALIYE MGUMU KUTONGOZEKA

wakati mwingine, vitu huweza kumaanisha zaidi ya tuwezavyo kutamka kwa vinywa vyetu MWANAMUME yeyote anapotaka kumtongoza mwanamke hulazimika kwanza kumwonesha – japo kwa matendo – kuwa anampenda, au kwamba amevutiwa naye, hata kama ni kimwili tu. Hatua hii ndiyo yenye changamoto kubwa zaidi kwa mwanamume, maana ndipo wakati anapokuwa anajaribu kufikisha ujumbe kwa mlengwa huku …

JE UNAHISI MPENZI WAKO AMEPOTEZA MSISIMKO KWAKO?FANYA HAYA KUNUSURU HALI HIYO

MSISIMKO ni jambo la msingi kwa walio kwenye uhusiano wa mapenzi. Ndiyo muongozo wa kihisia kwa wapenzi. Kwa maneno mengine kama mmoja akipoteza msisimko kwa mwenzake ni hatari kubwa sana inayoweza kugharimu uhusiano.Rafiki zangu, katika mapenzi ni jambo la kawaida kabisa kugombana na kufikia hatua ya kutengana kwa muda. Naomba hapa niweke wazi kitu kimoja, …

HIZI NDIZO SHIDA TATU KUBWA ZA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA AWAPO KWENYE KITANDA CHA 6X6….SOMA HAPA

Imezuka tabia ya wanaume wengi kupenda sana wanawake wenye makalio makubwa,siku hadi siku tabia hii inazidi kuwa sugu kwani kwa sasa mwanamke mwenye makalio makubwa yaliyojazia sawasawa huonekana anasoko kuliko wale wenye makalio ya wastani. Licha ya kuwa watu wengi huzimika na wanawake wenye makalio makubwa lakini ukweli upo tofauti kabisa kwani wanawake hawa wamekuwa …

KAMA MPENZI WAKO KAKASIRIKA MFANYIE HAYA

MPUNGUZE MHEMKOHasira hujaza kifua, huathiri mzunguko wa damu na ufahamu. Mtu aliyekasirika huwa vigumu kwake kusikiliza au kutazama mambo kwa jicho la tatu. Mwenye hasira huwa hafikirii matokea yajayo badala yake hutazama zaidi tukio na jinsi ya kupata ushindi iwe kwa maneno au kwa mapambano. Katika hali ya namna hiyo, mtu mwingine akija na busara …

Design a site like this with WordPress.com
Get started