Mambo 8 Yanayomfanya Mtu Kupendwa na Watu

Kila mtu anahitaji kupendwa kama mtu,mzazi,mwenza,mtoto au mfanyakazi. Inaleta raha na faraja kubwa moyoni. Lakini wakati mwingine si rahisi sana kupendwa na watu wengi. Wengine wanasema kuwa haiwezekani kupendwa na kila mtu,kwasababu kila mmoja ana vigezo tofauti vya kuchagua nani anampende na kinyume chake. Ila kuna vigezo ambavyo watu wengi wanathiriwa navyo juu ya maamuzi …

Hii ni njia rahisi kugundua kama mpenzi wako katoka kukusaliti!

Miongoni mwa mambo yanayowafanya wapenzi wakose amani ni suala la usaliti. Katika makala zangu nyingi ambazo nimekuwa nikiandika kupitia ukurasa huu, kila nilipogusia ishu ya usaliti nilipokea simu na sms nyingi. Wengi wamekuwa wakilalamikia jinsi wanavyoumia pale wanaposalitiwa au hata kuhisi kwamba kuna mtu mwingine wanashea penzi. Kiukweli hakuna kitu kibaya kama mtu unayempenda kujua …

Hizi hapa Sababu Kuu 10 za Ugomvi kati ya Mke na Mme Katika Mahusiano

Ugomvi baina ya wapenzi katika mahusiano ni kitu cha kawaida kutokana na watu hao wawili kutoka katika malezi na mazingira tofauti ya ukuaji toka wakiwa wadogo hadi watu wazima. Wawili hao wanapoaanza kujenga mahusiano na kukaa pamoja kama familia,kuna vitu kadhaa ambavyo kila mmoja wao huvitazama tofauti na hivyo kuleta migongano. Migongano ambayo inaweza ikarekebishika …

ZIJUE FAIDA UNAZOPATA UNAPOJAAMIANA

Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana    katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule.    Lakini, kuna faida zozote za kiafya za kufanya tendo hili? Ndiyo! Zipo faida …

AKINA DADA MSIJIDANGANYE LA SIVYO MTABAKI KUFUNULIWA MPAKA AKILI ZIWAKAE SAWA

Leo nimeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka masharti lukuki tena magumu Kinoma    Mara nataka Mwanaume Handsome, Mcha Mungu, mwenye elimu ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.    …

UKITAKA USINYANG’ANYWE MCHUMBA KUWA MWELEDI CHUMBAN

Wanavyosimulia vidosho ni kwamba wanaume hao huachilia goli moja na kuishiwa na nguvu huku wakiacha wachumba au wake zao wakitamani ngoma zaidi. Ukweli mchungu ni kuwa wanaume kama hao huwa na wasiwasi wakunyang’anywa wachumba au wake zao na mafisi wanaojua kuwashaghulikia propa na kukata kiu cha uroda.Kuachilia goli moja kwa dakika tatu humuacha mwanamke akiwaka …

Nikiwa na Msichana Namkinai, Hivi Nina Pepo au ni Tamaa tu?

Kuna rafiki yangu yupo kwenye mahusiano na msichana wake kwa miaka saba tangu wakiwa sekondari mpaka leo wamemaliza chuo kikuu wanaendelea poa. Mimi maishani mwangu sijawahi kuwa kwenye ahusiano kwa zaidi ya miezi sitanikilala na mwanamke mara mbili au tatu hata kama angekuwa mzuri vipi namkinai na nitamfanya visa mpaka aniache natafuta mwingine nae hivyohivyokuna …

Hii Ndio Jinsi ya Mwanamke Kuepuka Kuwa Mchepuko

Mara nyingi asilimia kubwa ya wanawake hupenda kuwa na wanaume wanaojiweza kiuchumi. Lakini baadae wanapotambua kwamba mwanaume huyo ameshaoa hushangaa sana, huumia na kusema waliwaamini kuwa wako single na kwamba wanaume wote ni mbwa tu. Wanaume sio mbwa au paka shume, ni nyie wenyewe ndio mnashindwa kuwaelewa na hamtaki kufanya uchunguzi. Mlishaambiwa kwamba nyuma ya …

Naomba Ushauri: Mama Mkwe Amemtafutia Mke Wangu Mchepuko

Naomba Ushauri: Mama Mkwe Amemtafutia Mke Wangu Mchepuko Nina jamaa yangu mpaka hivi sasa dunia anaiona chungu na hajui achukue uamuzi gani dhidi ya mkewe na mkwewe Jamaa ameoa mwanamke ambae tayari alishaolewa na kuzaa mtoto mmoja ila kutokana na maisha kuwa ya tabu mume aliondoka kuelekea mozambiq kuchimba madini na hakurudi tena mpaka jamaa …

SABABU ZA KITAALAMU NA ZA KISAYANSI KWANINI WANAUME WAOE WANAWAKE WENGI NA WATOKE NJE YA NDOA

1.Takwimu za kidunia zinaonyesha kuna idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume ,wanawake wamewazidi wanaume kwa 20%.Tukichukua ratio kila mwanaume asimame na mwanamke basi 20% ya wanawake watabaki pekee yao,je kila mwanaume aoe mwanamke mmoja hawa 20% wataolewa na kusitiriwa na nani? unakuta mwanamke ana miaka 36 yupo single siyo kwamba kapenda ila Takwimu za kidunia …

Design a site like this with WordPress.com
Get started