Hii ndiyo Namna ya kutongoza msichana yeyote na akakubali fasta!

Muda au Pesa Nyingi!”
   Kutongoza ni sanaa ya ushawishi, ambayo lengo lake ni kuanzisha mahusiano ya karibu. 


Kuna sanaa zingine za ushawishi kama vile ushawishi wa kibiashara ambapo lengo ni kuuza bidhaa. Na kuna ushawishi wa kisiasa ambapo lengo ni kupata kura.   Wakati sanaa karibia zingine zote za ushawishi ni rahisi kujifunza, sanaa ya kutongoza watu wengi wanasema eti haifundishwi … eti kila mwanaume anajua kutongoza.Sio Kweli !!!


   Sio kweli kwamba kila mwanaume anajua kutongoza, kwa sababu kuna mwanaume anaweza akongea na demu mpya leo na wakapatana leo leo, au akichelewa sana basi ndani ya wiki moja; wakati huo huo kuna wanaume wengine wanahangaika miezi au hata miaka 5. Au wengine wanatoboka sana mifukoni …. unakuta mtu anampangishia demu nyumba, au anamlipia ada ndio ale mzigo. Wakati huo huo kuna wengine wanakula hapo hapo bure, tena bila kunawa!


 Je Unajua Njia Sahihi za Ku-handle Vikwazo vya Wanawake?  Wanawake ni watu wa vikwazo. Wenyewe wanasema wanaweka vikwazo ili kukupima kama una “mapenzi ya kweli”. Unachotaka wewe ni kimoja. Kula mzigo. Maana inabidi ule mzigo kwanza, ndo ujue kama uendeleze mapenzi yawe ya kweli … au upotezee. Au sio mzee?  Ila yeye atakuwekea vikwazo kibao kama vifuatavyo:

  • Niko kwenye period
  • Nina boyfriend / mume / mchumba
  • Ninaumwa (malaria/tumbo/kichwa/n.k.)
  • Mama yangu mgonjwa
  • Niko bize na kazi
  • Nimeokoka nampenda Yesu! Mwanaume wangu ni Yesu tu!
  • Wiki hii nina test (kwa wanavyuo)
  • Mi sitaki mambo hayo, mpaka nimalize masomo nipate na kazi
  • Mi bado mdogo
  • Sitaki!!
  • Nyumbani kwetu geti kali siwezi kutoka
  • Wewe sio mwanaume wa type yangu (mfupi sana/mweusi sana/mweupe sana/huna hela/n.k.)
  • Mi sitoki/siongei na watu nisiowajua (strangers)
  • Sijisikii kuwa na wewe / sikupendi!
  • na kadhalika

  Je ni mara ngapi umekwamishwa na mojawapo ya vikwazo kama hivyo hapo juu?  Utajisikiaje nikikwambia kuwa vikwazo vya dizaini hiyo vingi ni geresha tu … sio vikwazo kwa maana ya vikwazo bali ni fursa nzuri kwako kupata unachotaka?  Na bomba zaidi je unajua mbinu za kutumia ili kumfanya mwanamke asikupe kabisa vikwazo kama hivyo? Ukimtongoza mwanamke vibaya atakuwekea vikwazo vingi na hata kama utampata atakuwa ashakuzungusha sana na kukupotezea muda na pesa.

Ukiwa na mbinu za kuzuia vikwazo maisha yako yatakuwa rahisi zaidi.Sasa Mpango Mzima Uko Namna Hii…  Tuna wataalam wa kutongoza. Hao jamaa ni noma, we mwenyewe ukiwasikia sound zao, na ukiona swaga zao utawakubali.  Na uzuri zaidi sio sound na swaga tu, bali wanakula kweli mizigo fasta tena bure bure. Sio watu wa maneno miiiingi na resi kibao halafu mwisho wa siku wakaishia kunawa.

La hasha, wanasoundisha na wanakula mzigo.  Kila wiki tunarekodi na kurusha kupitia email (au CD) “episode” kadhaa ambapo wataalam wanatokea mademu kwenye mazingira mbali mbali. Njiani, barabarani, vyuoni, kazini, stendi za daladala, kwenye daladala, club, beach, n.k.  Ukisikiliza hizi “episode” utapata darasa kamili la ujanja wa kumtongoza mwanamke yoyote yule, mahali popote.  Si rahisi kukupa picha kamili kwa maneno tu, inabidi ujiunge nasi uanze darasa ndipo utajionea mwenyewe.  Kwenye “episode” zetu utasikia staili mbali mbali za kutongoza, kama vile:

  • Tongoza ya kistaarabu (kiupole)
  • Tongoza ya ki-gangsta (yaani kigumu gumu)
  • Tongoza ya ki-mafia (yaani no kubembeleza)
  • Tongoza ya kizungu
  • Tongoza ya kihindi
  • Tongoza ya kiarabu
  • Tongoza ya kimya kimya
  • Tongoza ya mchanganyiko wa aina mbali mbali hapo juu

  Kila tongoza ina mahali pake, utasikia na maelekezo ya ziada kuwa tongoza ipi itumike wapi … ukichanganya umeharibu!Na Si Hayo Tu.  Kwenye “episode” za kila wiki utapata sio tu kusikiliza laivu wanawake mbali mbali wanavyotongozwa mpaka kitandani, bali utapata na “track” za ziada ambapo mtaalam husika anaelezea na kufafanua kile alichokuwa anafanya na mahesabu aliyokuwa anapiga kichwani mwake wakati anamtongoza huyo mwanamke.  Kutongoza kunahitaji maandalizi makubwa nyuma ya pazia … maandalizi ya kiakili,

kimuonekano, kusoma mazingira, na kumsoma mwanamke.  Kwa hiyo utapata na maelezo ya ziada kwa nini mwanamke fulani katongozwa kwa staili fulani badala ya staili fulani. Hii itakusaidia kukujenga ndani na nje ili uwe “striker” hatari kuliko Emmanuel Okwi.Tusiandikie Mate.  Kukupa mfano wa “episode” zetu sikiliza hii ya Hidaya.

Hidaya tulikutana naye mitaa ya Kinondoni mida ya jioni jioni akiwa na haraka anakwenda Ilala.  Mtaalam mmoja akamtokea, sikiliza mwanzoni alivyokuwa anajifanya yeye mgumu … halafu mwishoni mwenyewe akalainika na kukubali kwenda na “Mtaalam”  Hidaya aligongwa usiku huo huo kwenye getto la Mtaalam, halafu akasindikizwa tu kituoni aendelee na safari yake. Hakupewa hata shilingi … bali maneno matamu matamu tu.

ZIJUE SEHEMU KUU 2 ZA KUMSISIMUA MWANAUME MKIWA FARAGHA

Zifuatazo ni sehemu kuu mbili (2) zenye msisimko katika mwili wa mwanaume:

1. SEHEMU YA KWANZA:Kwenye KIFUA

Kifua ni moja ya sehemu alieumbiwa kila mwanadamu jinsia zote na sehemu hii ya kifua inamfumo wa kuamsha hisia katika mapenzi kwa sehemu tofauti kwa wanawake huleta msisimko katika maziwa na kwa upande wa mwanaume ni eneo zima pindi eneo hili likitumiwa ipasavyo kikubwa uwapo ndani na mpenzi wako jitahidi kutumia viganja,vidole na ulimi wako kuvichezesha taratibu kwenye kifua cha mpenzi wako ili kuamsha hisia.


2. SEHEMU YA PILI:Kwenye UUME:

Uume wa mwanaume ni sehemu moja wapo inayoleta msisimko wa raha katika mapenzi pindi unapotaka kumuandaa mpenzi wako kwa ajili ya tendo husika, sehemu hii inaweza kutumiwa vizuri na wakina dada kwa wapenzi wao kwa mtindo wa kunyonya uume au kwa kuu papasa papasa taratibu fahamu sehemu kubwa ya kushughulika nayo katika kuuchezea uume wa mwenza wako kama unaunyonya basi tembeza ulimi wako taratibu katika kichwa cha uume huku ukifanya kama unauvuta vuta na lips zako za mdomo pia kama unatumia vidole vyako kuuchezea papasa papasa taratibu juu ya kichwa cha uume. Kwa kufanya hivi utamsisimua mpenzi wako na kumfanya azidi kuhisi raha na itamfanya aweze kufurahia penzi.

ZINGATIA tumia muda mwingi kuonesha maufundi yako katika maandalizi ya Awali.
Hizo ndio sehemu muhimu zenye kuleta hamasa katika mapenzi kwa upande wa wanaume. Ushauri wangu kwa wakina dada wajaribu kuzingatia maeneo haya muhimu na si haya tu yapo mengi ila kubwa zaidi ni haya niliyoyaeleza inakubidi wewe kama mwanamke uweze kutumia ulimi wako na mikono yako katika kuvitembeza kwenye mwili wa mpenzi wako ni vyema ukabaini ni wapi mwenza wako ukimshika anajisikia raha.

SMS ZA KUELEZEA UNAVYOMPENDA

*********Ask my eyes to stop looking at you… Ask my brain to stop thinking about you.. Ask my imagination to stop dreaming about you.. Ask my heart to stop beating. Ask me everything. But don’t u ever stop me from loving you.********

🔥♥♥♥
Ugali, pilau, ndizi na nyama si vitamu unajua kwanini? Ukiula haupigi kelele, haukutoi machozi, kuna kitu kimoja ambacho hakiwekwi jikoni lakini cha moto na  kitamu sana, nakipenda sana chakula chako kwani hakipoi milele, hakiishi utamu, ukila lazima ujirambe…*******

🔥♥♥♥
Mapenzi ya senema yana mwisho, mapenzi ya kweli talaka yake kifo, sasa mbona nimekupa mwili wangu umeingia mitini, tambua mapenzi ya kuonja si mema, kuwa na mimi ili usiendelee kuutesa moyo wangu..I need you….******

🔥♥♥♥
Kama hunihitaji kwanini unitafutie sababu ya kuniacha, sweet najuta sana kukukubalia, umenifedhehesha kwa rafiki na ndugu zangu, ni wengi walitaka tuachane sasa sherehe kwao, naomba turudiane..kama nina kosa nijirekebishe hakuna mkamilifu sweet wangu…*******

🔥♥♥♥
Penzi tamu ni langu, umetunukiwa ndani ya moyo wangu, niwapo kifuani napoteza kumbukumbu zote kwa  utamu wa penzi lako, tupendane tusiachane wacha waseme usishituke na tuaminiane tusianguke….mapenzi sio matusi..njoo unifariji…*********

🔥♥♥♥
Sweet napenda kuzama chumvini kunako bahari, napenda kugusa shangazi zako ninywapo maji ya bahari iliyosalama, penzi tamu halipimwi kwa macho, njoo upate vingi vitamu visivyoisha ladha..Nakupenda sana baby wangu…******

🔥♥♥♥
Love the heart that hurts u, but never hurt the heart that loves u,  coz for the world u may be someone but for someone u may be world.********

🔥♥♥♥
What is the difference between blood and you? Blood enters the heart and flows
out but you entered the heart and stayed.*********

🔥♥♥♥
Sweet unajua kwanini ninapokubusu nafumba macho, unaponipa mautamu pia nafumba macho. Fahamu vitu vitamu siku zote vinaingia kwa moyo na kumfanya apate raha na utamu afumbe macho, usishangae pia nikihema kwa kasi si kuchoka mpenzi bali ni raha….******


🔥♥♥♥
Anayekupenda hahesabu makosa, haweki kitu moyoni, hafichi siri zake, hapendi kumuudhi mpenziwe ikitokea huomba radhi, hana kiburi na dharau, hajisikii wala kujiona. Anakuwa tayari kusamehe.Je, wewe  vipi? Mbona hujanisamehe?

SMS ZA MAHABA

Raha kwako naipata, hakika nimeridhika,Kwako hakuna matata, moyo wangu umefika,Usiku ninakuota, kwako naliwazika,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 🔥♥♥♥


Upendo uso kipimo, wewe nimekupatia,Moyo unalo tuwamo, raha naipata pia,Kwenye moyo wangu umo, raha yangu ya dunia,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 🔥♥♥♥


Wenye kusema waseme, waseme hadi wachoke,Roho zao ziwaume, ziwaume wakereke,Mioyoni ziwachome, wachomeke wakauke,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 🔥♥♥♥


Wenye wivu uwashike, uwashike uwagande,Zaidi wahuzunike, wahuzunike wakonde,Chakula kisiwashuke, wacha mie nikupende,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema.


Ni raha mwangu moyoni, wewe kuwa ndiwe wangu,Nimezama furahani, rahani chini ya mbingu,Sisi tumo mapenzini, tuache ya walimwengu,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 

Mpenzi nakusifia, uzuri wa malaika,Urembo ulozidia, hakika umeumbika,Nami ninajivunia, kwako wewe nimefika,U pekee duniani.
Hakika we u mzuri, kwa sifa zenye kujaa,Kama nyota alfajiri, maishani unang’aa,Uzuriwo u dhahiri, hakuna anokataa,U pekee duniani. 🔥♥♥♥


Unayo sauti tamu, nyoka kutoka pangoni,Mejaa mashamshamu, utamu masikioni,Huniletea wazimu, kusisimuwa moyoni,U pekee duniani. 🔥♥♥♥


Una rangi asilia, yang’ara kama dhahabu,Rangi iliyotulia, wengine yawapa gubu,Sichoki kukusifia, wewe ndo wangu muhibu,U pekee duniani.Macho kama ya gololi, na mapole kama njiwa,Sifa wazistahili, kwani umebarikiwa,Leo nasema ukweli, wanifanya kunogewa,U pekee duniani. 🔥♥♥♥

Mwendo wako wa kuringa, mrembo mwendo mwendole,Moyo wangu waukonga, waujaza raha tele,Nipo radhi kukuhonga, sikupate watu wale,U pekee duniani. 🔥♥♥♥


Sifa zako zimezidi, wewe u nambari wani,Wewe kwangu maridadi, mwingine simtamani,Nakupa yangu ahadi, daima ‘takuthamini,U pekee duniani. 🔥♥♥♥


Wewe wanipa sababu, kufurahia mapenzi,Wako ustaarabu, hakika nitakuenzi,Kukutunza ni wajibu, udumu wetu upenzi,U pekee duniani. 🔥♥♥♥

leo nataka kuzungumzia maneno ya mahaba, jamani tunajuwa ya kwamba ukiwa na mpenzi wako unafurahi zaidi pale japo muda fulani atakupa maneno matamu, na mazuri na yenye kuzidi kukupa moyo wa wewe kuzidi kutaka kuwa naye…

sasa kuna wapenzi wengine hata mimi nilishapitia mmoja wakati fulani, jamani wanaume na wanawake wenzangu hebu tujitahidi maneno kama mpenzi, honey, sweety, mkiwa mbele za watu kumuita mpenzi wako sio mbaya maana wengine haswa waliozaa utasikia baba fulani mara mama fulani inamaana baada ya kuzaa mpenzi, sweety, honey umeisha?????? tunawapenda sana watoto wetu lakini wao wananafasi yao na mwenza wako ananafasi yake… 🔥♥♥♥

kwenye sita kwa sita watu utawakuta kimya tu madai wanasikilizia uhondo, jamani kuna maneno pale ama mnaoneana aibu sasa kwangu raha mpenzi aongee aniambie anavyojisikia wapi niongeze, vipi nikae, wapi nimshike kwa sauti ya taratibu na yenye mapenzi tele….sijui wewe mwenzangu 🔥♥♥♥

sasa pakiwa kimya tu jamani na ndio kwa mfano kitanda ndio vileeee ukigeuka tu majirani mpaka watujuwa hizo kwinyo kwinyo kwinyo hapo kwenye mechi sindio balaa maana utakuwa usikilizii raha unakilaani kitanda tu hichi nacho mpaka watu wajuwe leo napewa….. 🔥♥♥♥

kama mnaona aibu kuongea basi kama chumbani kuna redio wekeni hata mziki wa taratibu kuwahamasisha zaidi, maana ule ndio utakaoongea kwa niaba… 🔥♥♥♥

Njia Rahisi Ya Kuchukua Namba Kutoka Kwa Mwanamke Unayemjua

Kuchukua namba kutoka kwa mwanamke ni rahisi zaidi kuliko hata kutamka jina lako. Unachohitajika ni kuenda moja kwa moja kwa mwanamke unayetaka kumuomba namba halafu unamwagiza akupatie. Mara nyingi mwanamke hawezi kukataa kukupatia namba yake unless uwe umemuapproach kwa njia isiyofaa ama hakujui.

Mara ya mwisho mimi binafsi nilichukua namba kwa mwanamke chini ya dakika moja ya kukutana na yeye. Nilikuwa nimeandamana na marafiki zangu halafu mwanamke mmoja akapita kando yetu halafu muda wa dakika nikaamua kumuaproach na kunipatia namba yake ya simu hapo hapo.

Kama bado unatatizika ni njia gani za kuchukua namba ya simu kutoka kwa mwanamke basi fuata maagizo haya ya haraka ambayo nitakuelezea.

#1 Jiamini. Kujiamini ni kitu muhimu. Wakati unapoamua kuapproach mwanamke lazima uwe unajiamini. Utajiamini vipi? Kujiamini ni rahisi. Kile unachohitajika kufanya ni kuweka nia kuwa wakati ambapo utamwaproach mwanamke lengwa basi lazima namba yake ya simu atakupatia. Huko ndiko nikujiamini.

#2 Kuwa na mawazo chanya. Mawazo chanya ni mawazo ambayo yanakubaliana na wewe. Mfano unaweza kuwa unataka kufanya kitu, halafu katika akili yako umeweka dhana ya kuwa kile ambacho unakusudia kufanya basi kitafanikiwa. Haya ndio tunayaita mawazo chanya. Ni dhana ambayo unaamini kuwa itatokezea. Ukiweka mawazo chanya kuwa ukiapproach mwanamke flani na atakupa namba yake ya simu basi bila shaka utafanikiwa. Lakini ukiweka mawazo ya kuwa hautafanikiwa basi kweli hautafanikiwa.

#3 Kuwa mwigo. Wakati mwingine inakuwa vigumu kabisa kwa wanaume flani kuongea na mwanamke. Inakuwa vigumu zaidi kuomba namba kutoka kwa mwanamke. Njia rahisi ya kutatua shida hii haraka ni kuigiza. Kuomba mwanamke namba haichukui zaidi ya dakika mbili, hivyo unaweza kuwa mwigo. Unaweza kuigiza vile rafiki yako anavyoomba namba ya simu ama unaweza kufanya mazoezi kivyako kabla kumuapproach mwanamke kumuomba namba ya simu.

#4  Relax. Wakati unapoach mwanamke lazima uwe umetulia. Punguza wasiwasi, toa kijasho chochote ambacho uko nacho, pumua kiutulivu na uondoe ubabaifu wowote ulio nao. Hii itakusaidia kwa kuwa ukiwa umerelax utakuwa na nafasi nzuri ya kukumbuka mambo ambayo umeyapanga kumwambia mwanamke flani. Hivyo ni muhimu kurelax kabla ya kuchukua approach yeyote.

 Njia nzuri ya kumuapproach mwanamke

Njia rahisi ya kuomba namba ya simu kutoka kwa mwanamke ambaye unamjua na anakutambua ni ile ya moja kwa moja. Ukimwona anatembea mtaani halafu wewe umesimama na marafiki zako, mwanzo hakikisha umefuata masharti tuliyoyaeleza hapo juu; jiamini, relax, mawazo chanya na mwigo. Nenda moja kwa moja na umwambie hivi: 


“Mambo Mamito. Niko na ishu flani nataka kukuambia lakini sahizi naona si wakati mzuri wa kukuambia… Nipatie namba yako ya simu nitakupigia simu usiku.”
ama
“Mambo Mamito. Napatie namba yako ya simu nataka kukupikia simu jioni nikwambie kitu flani”


Hii ndio njia ya moja kwa moja. Mwanamke wa kawaida, ambaye anakutambua hawezi kukataa kukupatia namba yake ya simu. Mwanzo unaweza kuwa na bahati ya kuwa huyu mwanamke alikuwa inteested na wewe tangu kitambo lakini anashindwa jinsi angeweza kuwasiliana na wewe.


Kama ni mwanamke ambaye humjui na hakujui, basi ni vyema kwanza ujitambulishe ili akufahamu. Si lazima uchukue namba yake ya simu siku io hio bali unaweza kungojea muda mpaka mzoeane.
Wanaume wengi wanatatizwa na tatizo la kutojiamini na woga. Lakini naamini kama unaweza kutatua mambo hayo mawili basi kazi yako itakuwa rahisi.

Mwanamke Zingatia Haya Wakati wa Kuomba Pesa Kwa Mwanaume Usije Kuonekana Kicheche.

Ukweli ni kwamba raha ya mapenzi ni pamoja na kupunguziana makali ya maisha. Na katika kupunguziana uko makali ya maisha ndio matumizi pesa yanapochomoza.
Kusaidiana ni kwa pande zote iwe kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume au kinyume chake, Ingawa kwa kiasi kikubwa ni wanaume ndio wanawajibika zaidi kutunza wapenzi au wake zao.

Nilichotaka kuwakumbusha wanawake zaidi ni kwamba kweli ni haki yao kutunzwa na waume zao lakini kunavigezo na masharti uzingatie kwa mfano:-

1. Mda gani hasa unapaswa kuomba HELA tangu mahusiano kutokea.
Mapenzi ata wiki bado umeshaomba uchongeshewe kabati LA vyombo.

Haiwezekana kuomba HELA Mara tu mpenzi wako anapokuomba kukutana ata kwa salam tu za kawaida. Mkutano WA kwanza ushaomba HELA ya kusukia mweeh.

2. Usimuombe HELA kwa mume au mpenzi ambayo anatoaga ata bila kuomba, ni uroho.

3. Angalia aina ya kazi anayofanya mpenz au mume na kipato chake ujue aina ya kizinga kinachomfaa, usije kumuova dozi.

4. Weka nafasi ya kutosha kati ya kizinga kimoja na kingine.Isiwe Jana pango ya NYUMBA imeisha, wiki ijayo simu imeingia kwenye ndoo ya maji .

5. Muandalie mazingira mazuri ya furaha kutoka kwako,ikiwezekana baada ya kumpa mavituz yalioenda shule ndio unamkurupusha na kizinga.

6. Kukosa kupo pia sio kila utakapoomba utapata wakati mwingine atakua anasaidia na ndugu pia.
Mume au mpenzi akikuambia cna ujue ana na inatakiwa maisha yaendelelee sio ndio unaanza cm hapokei ppchi hautoi sio poa.

7. Vizingi vikue taratibu usianze tu kuomba laki noo!, anza na kitu cha msimbz then unaangalia upepo ukiona anakuja poa unaendelea usikurupuke tu.

8. Pima aina ya mapenzi unayotoa kwa mtu yana hadhi ya kupewa unachotaka kutokana na ulichotoa. Umenipa mende kafa,laki yangu unaitaka ya nini? Yako wewe ni 5000 kwa services hii.

9. Jitaidi na wewe kumpa chochote ata kama kitatokana na HELA yake nwenyewe poa tu si anajua wewe huna kazi na kipato chako kidogo.

10. Sio lazima kila mkikutana kimwili lazima afungue pochi cku nyingine muagane tu. Kuna watu waajabu mno udhani kila gemu inamtonyo sio ivo.

NB. Nazungumzia wale wasioelewa ayo apo juu na sijamaanisha wanawake wote.

Ukweli ni kwamba raha ya mapenzi ni pamoja na kupunguziana makali ya maisha. Na katika kupunguziana uko makali ya maisha ndio matumizi pesa yanapochomoza.
Kusaidiana ni kwa pande zote iwe kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume au kinyume chake, Ingawa kwa kiasi kikubwa ni wanaume ndio wanawajibika zaidi kutunza wapenzi au wake zao.

Nilichotaka kuwakumbusha wanawake zaidi ni kwamba kweli ni haki yao kutunzwa na waume zao lakini kunavigezo na masharti uzingatie kwa mfano:-

1. Mda gani hasa unapaswa kuomba HELA tangu mahusiano kutokea.
Mapenzi ata wiki bado umeshaomba uchongeshewe kabati LA vyombo.

Haiwezekana kuomba HELA Mara tu mpenzi wako anapokuomba kukutana ata kwa salam tu za kawaida. Mkutano WA kwanza ushaomba HELA ya kusukia mweeh.

2. Usimuombe HELA kwa mume au mpenzi ambayo anatoaga ata bila kuomba, ni uroho.

3. Angalia aina ya kazi anayofanya mpenz au mume na kipato chake ujue aina ya kizinga kinachomfaa, usije kumuova dozi.

4. Weka nafasi ya kutosha kati ya kizinga kimoja na kingine.Isiwe Jana pango ya NYUMBA imeisha, wiki ijayo simu imeingia kwenye ndoo ya maji .

5. Muandalie mazingira mazuri ya furaha kutoka kwako,ikiwezekana baada ya kumpa mavituz yalioenda shule ndio unamkurupusha na kizinga.

6. Kukosa kupo pia sio kila utakapoomba utapata wakati mwingine atakua anasaidia na ndugu pia.
Mume au mpenzi akikuambia cna ujue ana na inatakiwa maisha yaendelelee sio ndio unaanza cm hapokei ppchi hautoi sio poa.

7. Vizingi vikue taratibu usianze tu kuomba laki noo!, anza na kitu cha msimbz then unaangalia upepo ukiona anakuja poa unaendelea usikurupuke tu.

8. Pima aina ya mapenzi unayotoa kwa mtu yana hadhi ya kupewa unachotaka kutokana na ulichotoa. Umenipa mende kafa,laki yangu unaitaka ya nini? Yako wewe ni 5000 kwa services hii.

9. Jitaidi na wewe kumpa chochote ata kama kitatokana na HELA yake nwenyewe poa tu si anajua wewe huna kazi na kipato chako kidogo.

10. Sio lazima kila mkikutana kimwili lazima afungue pochi cku nyingine muagane tu. Kuna watu waajabu mno udhani kila gemu inamtonyo sio ivo.

NB. Nazungumzia wale wasioelewa ayo apo juu na sijamaanisha wanawake wote.

Ruksaa kuongeza kitu au kupunguza, onesha na namba iliokugusa

Ruksaa kuongeza kitu au kupunguza, onesha na namba iliokugusa

PESA INAPOGEUKA KIUNGANISHI KWENYE MAPENZI, HESABU MAUMIVU

IJUMAA imewadia, karibu msomaji wangu kwenye uwanja huu na kama kawaida, mada ya leo ni kama inavyojieleza hapo juu. Uhusiano wa kimapenzi una changamoto nyingi, ukiachana na mambo ya usaliti na kuumizana mioyo, suala la pesa ni tatizo jingine linalowasumbua wengi.  
Ukizungumza na wanaume wengi, watakueleza wazi kwamba wapo kwenye uhusiano na wanawake ambao wanajua kabisa kwamba hawawapendi bali wanafuata pesa kwao. Yaani haishi na wewe kwa sababu upo moyoni mwake, la hasha! Anaishi na wewe kwa sababu anajua atanufaika kiuchumi.


Kibaya zaidi, siku hizi upepo umebadilika, si wanawake tu wanaofuata pesa kwenye mapenzi, wapo wanaume ambao wanapenda mteremko, anakuwa na uhusiano na mwanamke fulani, hata kama amemzidi sana umri, si kwa sababu anampenda bali kwa sababu ana pesa, ana nyumba, magari, kazi nzuri na kwenye kutoa pesa, hana tatizo. Msomaji wangu utakuwa shahidi wa hili kwamba katika siku za hivi karibuni, mapenzi yamekuwa si kutoka moyoni tena, bali kutoka mfukoni! Toa pesa upate mapenzi.


Kwa kawaida, penzi la namna hii, haliwezi kuwa la kudumu mpaka pale tu, pesa au utajiri utakapokuwa wa kudumu, kitu ambacho hakiwezekani. Kama wewe ni mwanaume, unaishi na mwanamke ambaye anatazama zaidi pesa kuliko utu na mapenzi, siku pesa zitakapokauka, atakubadilikia tu.Siku utakapofukuzwa kazi, siku utakapofilisika kibiashara au utakapopata maradhi yatakayokuweka kitandani muda mrefu, utaanza kuona rangi yake halisi. Atabadilika kitabia, hatazijali tena hisia zako, hatokuheshimu, atakusaliti na kukuumiza moyo wako mpaka utajuta kuzaliwa.

Image result for COUPLES

Ndiyo! Si kiunganishi cha mapenzi yenu hakipo tena? Atakupendaje wakati hauna kitu na yeye alifuata pesa kwako?
Jambo la msingi, ni muhimu kumjua mtu ambaye yupo kwako kimaslahi mapema kwa sababu ukimchekea, ni kama kufuga nyoka mdogo ndani ya nyumba yako, ipo siku atakung’ata na kukuua hata kama kila siku ulikuwa ukimlisha unga. Mtihani unaweza kuwa hapo, kwamba utamjuaje huyo uliyenaye kama kweli anakupenda na hafuati pesa kwako? Utajuaje kama anakupenda kwa dhati na hayupo na wewe kimaslahi?
Zipo mbinu nyingi za kumgundua mtu wa namna hiyo na njia nyepesi lakini yenye changamoto kubwa, ni kumpitisha kwenye wakati mgumu. Wahenga wanasema, nahodha mahiri hapimwi kwenye bahari iliyotulia. Mpitishe katika kipindi ambacho yale maisha aliyoyazoea kutoka kwako, hayapo tena. kama ulizoea kumpa fedha za kuchezea, kila anachokitaka unampa, hebu badilisha mchezo.

Image result for COUPLES

Hatari ya jaribio hili, ni kwamba kama hakuwa anakupenda kwa dhati, haraka sana ataanza kuonyesha rangiyake halisi, mwingine anaweza hata kukuumiza moyo wako kwa kukusaliti kimapenzi kwa kutoka na watu wenye fedha kwa sababu wewe humpi tena pesa.
Inapotokea hali kama hii, hata kama ulikuwa unampenda kwa kiasi gani, elewa kwamba mwenzako yupo kwako kimaslahi, siku pesa zikikata, atakubadilikia mpaka utashangaa. Ukishaujua ukweli, hata kama utaamua kuendelea kuwa naye, utakuwa umeshajua mtu unayeishi naye ni wa aina gani.
Hakuna mapenzi yanayounganishwa na pesa yanayoweza kudumu, mapenzi lazima yaanze halafu pesa iwe matokeo!

Kama Unataka Kudumu Katika Mahusiano Epuka Kumwambia Maneno Haya Mpenzi Wako

Endapo umekwisha ingia katika mahusiano au unatarajia kuingia katika mahusiano ya kimapenzi, yapo mambo yanyofaa ambayo junaweza kumwambia mpenzi wako naye akafurahi, lakini yapo mambo ambayo kimsingi hupaswi kabisa kumwambia mpenzi wako. Kwani endapo utaamua kumwambia utatengeneza njia ambayo itawafanya mahusiono yenu yafe mara moja.


Maneno yafuatayo ni hatari kwa kuwa yanaleta madhara makubwa moyoni mwa mlengwa na ni vyema kuzuia kuyatamka kwa namna yoyote ile.
Maneno  Mabaya Ambayo Hutakiwi Kusema Kwa Mwenza Wako:


1. NakuchukiaChuki ni kitu kikubwa sana,kwa kweli huwezi kuishi na mtu ambaye unamchukia. Hutakiwi kumtamkia mwenza wako neno hili. Unaweza kuchukia tabia yake lakini si yeye mwenyewe. Njia nzuri ni kusema kuwa “Nachukia au sipendi tabia yako ya kuchelewa kurudi nyumbani” au maneno yanayofanana na hayo.

2. Maneno ya MatusiManeno kama “mjinga” au “mpumbavu” yasitumike kwa mwenza wako hata kama yana ukweli ndani yake. Japo ujinga ni kutofahamu kitu fulani lakini neno hili linaleta majeraha kama likitoka kwa mwenza. Hasa kama linatoka wakati wa ugomvi au kutofautiana.
Useseme maneno mabaya yanayomshusha mweza wako mfano kuhusu mwonekano mbaya wa mwenza wako kama “sura mbaya”,”Mnene kama nguruwe” n.k


3. Kumfananisha Tabia Mbaya mwezi wako na Wazazi Wake.“Tabia zako kama mama yako”, au “..kama baba yako” maneno yanayomfananisha mwenza wako na wazazi au familia anakotoka yanachokoza sana na huweka vidonga kwa muda mrefu moyoni na yaepukwe.


4. Acha! Nitafanya MwenyeweKatika mahusiano kusaidiana ni jambo la kawaida na muhimu,maneno mabaya ya namna hii yanamvunja moyo mweza wako kutaka kufanya jambo kwako siku nyingine na linaleta utengano na kuvunjika kwa upendo.


5. Maneno Mabaya ya Kukatisha Tamaa“Hutaweza” ,”Hutafanikiwa” n.k yanavunja moyo kwa mwenza wako na kurudisha nyuma maendeleo.
Ni muhimu kwa wenza kupeana moyo na kusaidiana ili wote muende mbele kwa pamoja. Umoja ni nguvu.


Hivyo nikusihi ya kwamba kama kweli unataka kudumu katika mahusiano ya ndoa acha mara moja kumwambia maneno hayo, bali unatakiwa kumfariji kwa maneno mazuri yenye kuleta upendo wa kweli na kujenga hamasa ya kudumu milele.

JINSI YA KUMPAGAWISHA MPENZI WAKO

ili uweze kuwa na furaha maishani, lazima uwe katika uhusiano imara usiotetereka.

Kama unaishi na mke au mume ambaye moyo wako umemchagua lazima furaha itatawala katika nyumba yenu. Lakini rafiki zangu, huwezi kuwa katika ndoa yenye furaha kama hukuwa na mchumba bora. Kwa maneno mengine, lazima uanze kuboresha uchumba wako kwanza, uwe na uhakika kwamba mwenzi uliyenaye ni sahihi ili ukiingia kwenye ndoa usijute.Mapenzi ni sawa na bustani nzuri ya maua rafiki zangu, wakati mwingine inahitaji mbolea, kumwagiliwa maji na hata kupaliliwa.

Kwa kufanya hivyo utazidisha ladha ya mapenzi na kuyafanya yazidi kuwa na nguvu zaidi ya awali. Lakini kama hutamwagilia, hutaweka mbolea, hutapalilia, hesabu kwamba mapenzi yako yanaweza kuanza kupoteza nguvu taratibu na hatimaye kufa kabisa.Kikubwa ambacho nimepanga kuzungumza nanyi leo ni jinsi ya kumpagawisha mwenzi wako ili awe wako peke yako. Umeshawahi kufikiria kwamba, kama ukishindwa kutimiza mambo fulani katika penzi au ndoa yako, mwenzi wako anaweza kuwa wa kushea?Kama bado, inakubidi ufahamu hilo kuanzia leo. Mpenzi anahitaji mambo mengi ili aendelee kuwa mwaminifu kwenye penzi lenu.

Ni kweli kwamba uaminifu upo kwa mtu mwenyewe, kama mtu ni mwaminifu basi atadumisha uaminifu uliopo ndani yake, lakini kama kuna mambo unakosea, lazima utasalitiwa!Tena basi, kama mwenzi wako anakupenda, atakusaliti huku analia! Kwanini? Kwasababu analizwa ba kitendo ambacho hajapenda kukifanya ila wewe mwenyewe ndiyo umemlazimisha afanye hivyo.Kuna nini zaidi katika dhana ya usaliti?
Tukiachana na tamaa, hulka na ushawishi, wakati mwingine mpenzi anaweza kusaliti kwa kukosa yale ya muhimu zaidi katika penzi au ndoa yake.Kwa bahati mbaya sana, watu wa aina hii huwa hawasemi moja kwa moja kuwa wanakosa vitu fulani au wanapenda vitu fulani, badala yake hutumia lugha za ishara zaidi na kama hutaelewa basi huona suluhisho ni kutafuta pumziko lingine.Hapa sasa mwenzi wako

anakuwa si wako peke yako tena! Lakini lazima uhakikishe mpenzi wako anaendelea kuwa wako bila kushea na mtu yeyote na jambo hili linawezekana kabisa ikiwa wewe mwenyewe utataka iwe hivyo.Zipo hatua au mambo mengi ya kumfanyia mpenzi wako ili awe wako peke yako, lakini hapa nitakupa yale ya msingi zaidi yatakayokusaidia katika penzi lako.Njia hizi za siri nimezifananisha na shamba au bustani, ambayo ina mahitaji yake. Sasa katika uchambuzi huu, nitaainisha jinsi

ya kuitunza bustani hii ya mapenzi ili kuifanya bora zaidi kila siku.Kitu cha kwanza kabisa ni mbelea. Hapa nazungumzia penzi ambalo tayari limeshakuwa penzi! Kama ni bustani basi tayari mboga zako zimemea vizuri.Lakini ukumbuke kwamba, bustani yako haitaweza kuendelea kuwa bora kama haitakuwa na matunzo. Hapa penzi linahitaji mbolea.
Mbolea ninayoizungumzia hapa ni maneno matamu yaliyojaa huba. Fikisha hisia zako kwa mwenzi wako kwa namna ya kipekee iliyojaa penzi la dhati.Mweleze jinsi unavyompenda na jinsi maisha yako ambavyo hayawezi kukamilika bila yeye. Huu ni wakati wako wa kumsumbua kwa meseji zilizojaa tungo za mahaba, kadi, maua na zawadi ndogo ndogo.Baadhi ya wanandoa wakishaoana, huacha utaratibu huu. Kuna wanaosema: “Ah! Hayo mambo ya kizamani bwana, kipindi akiwa demu wangu, sasa hivi yupo ndani, kwanini nihangaike?”
Haya ni makosa makubwa ndugu yangu. Shamba bila mbolea kuna mavuno kweli? Huwezi kuvuna.Kitu kingine muhimu katika bustani, kama ujuavyo mpenzi msomaji wangu ni maji. Bustani yako itahitaji maji kwa ajili ya kuzidisha ustawi wa mazao yako. Hapa unatakiwa kuwa mbunifu zaidi katika mambo yanayohusu mapenzi moja kwa moja.
Unatakiwa kubadilisha aina ya ufanywaji wa mapenzi, mahali pa kukutana na hata sehemu za mitoko. Inashauriwa ili kuboresha penzi ni vizuri kutoka sehemu mbalimbali na mwenzi wako. Inapendeza zaidi angalau mara tatu kwa miezi sita, kulala na mwenzako hotelini.Hapa utakuwa unanakshi zaidi penzi lako. Outing yako ni vyema ikawa ya kimahaba zaidi, kuanzia mavazi, sehemu mnazotembelea n.kMfanyie mwenzi wako mambo ya kimahaba sana mnapokuwa wawili. Mbusu, mkumbatie, mwambie jinsi unavyojisikia wa pekee kuwa wake. Utundu wako wote umalizie hapa, ukifanya hivyo utakuwa umemwagilia bustani yako vyema.Baada ya muda bustani huota majani mengine ambayo si mboga! Yawezekana kabisa, kwa bahati mbaya uchafu ukaingia bustanini. Wakati wa palizi ni muda sahihi wa kuondoa vyote hivyo.Hata katika mapenzi pia hutakiwa kufanya jambo hili. Kugombana au kupishana kiswahili kwa wapenzi ni jambo la kawaida sana, hivyo ni vyema kuweka sawa tofauti hizo mapema, kabla tatizo halijawa kubwa zaidi. Hii ndiyo palizi ninayoizungumzia.Usikae na kinyongo moyoni mwako, kuwa mjanja, hata kama ni yeye ndiye aliyekosea, zungumza naye ukimweleza jinsi ambavyo hupendi mgombane, mkimweleza hisia zako kwamba unatamani sana muelewane katika siku zote za maisha yenu. Weka mambo sawa.

Huyu Mwanaume Anakupenda Kweli Mshikilie

Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50. 

Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda.

MIPANGO 
Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango yake hasa ya muda mrefu. Mfano akitaka kununua kiwanja, kujenga nyumba atakuambia na pengine kutaka mchango wako wa hali na mali katika kulifanikisha hilo. Ukiona mwanaume anakuficha mambo yake, tambua kuwa huyo ana walakini kwenye penzi la dhati na la muda mrefu.

ATAONESHA HUZUNI
Katika maisha ya mapenzi kuna wakati wa kuhuzunika. Mwanaume mwenye upendo wa dhati atashirikiana nawe wakati wa huzuni na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa unapata furaha. 

ATAKUAMINI

Dalili nyingine ya kupendwa na mwanaume ni kuaminiwa kwenye maisha kwa ujumla. Yaani mwanaume anayekupenda hatakuficha kitu, mfano pesa zake, atakupa uhuru kwenye simu yake na kukuamini katika usimamizi wa miradi yake.

ATAKUPA NAFASI
Ninapozungumzia nafasi nina maana atakukaribisha kwake bila hofu na kukupa nafasi ya kuingia na kutoka bila mipaka, atakupa nafasi ya kuweka vitu vyako kwenye kabati na kuruhusu nguo, picha na vitu vyako kuonekana wakati wote chumbani kwake.

UTAKUWA MWANAFAMILIA
Mwanaume aliyefikia chaguo la mwisho kwa mwanamke humshirikisha mpenzi wake kwenye masuala yake ya kifamilia, mfano atamwalika kwenye vikao vya harusi, kipaimara, atatoa nafasi ya kuambatana naye kuona wagonjwa, kusalimia ndugu na atakuwa huru kukutambulisha kwao.

ATAZUNGUMZA NAWE KUHUSU WATOTO
Kwa kuwa wanaume wengi hufikiria kuwa na familia, mwanaume anayekupenda atazungumza nawe mipango ya kupata watoto kwa kuwa atakuwa amekuchagua wewe kuwa mama wa wanaye na atapenda mazungumzo hayo.

ATAKUSAIDIA
Kwa kuwa kukwama ni sehemu ya maisha yetu, mwanaume anayekupenda atakuwa tayari kukusaidia unapokwama. Kila mara atahakikisha kuwa unakuwa na mafanikio na yeye atakuwa tayari kukupunguzia usumbufu wa maisha, kwa kukufuata kazini, kukusaidia baadhi ya mambo na hata ya nyumbani.

ATAJITOLEA

Ninaposema kujitolea ninamaanisha atakuwa tayari kufanya mambo yako na kuyaweka yake nyuma. Kwa mfano akiwa anapenda mpira na siku hiyo kuna mechi, lakini muda huo ukamwambia akufuate kwa mjomba wako atakuwa tayari kuacha furaha yake na kukujali wewe. Huyu ni mwanaume anayekupenda kwa dhati.

ATAAMBATANA NAWE
Wapenzi wengi wasiokuwa na mapenzi ya dhati huona aibu kuambatana na wapenzi wao kwenye mikusanyiko ya watu, lakini mwanaume anayekupenda atafurahia kutoka moyoni kuongozana nawe kwenye halaiki ya watu na kufurahia uwepo wako bila kuona aibu.

Mada hii inaishia hapa, hebu jiulize mwanadada, huyo uliyenaye anakufanyia haya, kama sivyo kwa kiwango kikubwa utakuwa na kazi ya kuhakiki penzi lako na pengine kujenga misingi mipya ya uhusiano wenu kabla haujavunjika

Design a site like this with WordPress.com
Get started