Kuna wakati mwanamke ana weza kukosa amani kabisa katika mahusino , sio kwa sababu anakuwa amekosea kuingia katika mahusiano lakini ni kwa sababu ana mengi kichwani mwake ambapo hawezi kuyasema kwako mwanaume au kwa watu wake wa karibu.sio lazima aanze kulalamika ili uweze kumfanya mwenye furaha jambo la msingi ni kujua haya yafuatayo ambayo umfanya mwanamke awe mkimya na kushindwa kuyafurahia mahusiano yenu.Hizi ni siri ambazo wanamwek ukaa nazo moyoni muda mwingi.
Uamiifu wako kwake. Wanaume wengi wanawaza kuwa kumwambia kuwa mwanamke unampenda sana kunamaliza kila kitu katika mahusiano bila kujua kuwa unapoamua kumshirikisha maisha yako kunamfanya hakuamini zaidi.Mfanye mpenzi wako akuamini na kuwa na uhuru na mambo yako kwa kiasi kikubwa cha hata kujiona yuko salama unapokuwa mbali nae kikazi au vitu vingine.
Mahitaji ya fedha,kwa mwanamke anaekupenda na anataka kufika mbali na wewe anakuwa muoga sana katika swala la kukuomba ela,hata kama yuko na shida hawezi kuwa mwepesi wa kutaja kuwa anataka ela, n hata kama anataka hawezi kusema kiwango cha juu kama ambavyo ingekuwa kwa mwanamke ambae yuko na mwanaume kwa sababu ya maslahi tu.
Tabia ya kuwa bubu.wanawake wana tabia ya kukaa kimya hasa pale ambapo wanakuwa hawajafikishwa wanapopata wanapokuwa faragha, inaweza kuchukua hata mwaka na bado akashindwa kabisa kukukosoa kuhusu ilo, hivyo muda mwingie inabidi uwe mbunifu kujua na kumuuliza maswali ambayo yatamfanya na yeye afunguke kile kilichopo moyoni mwake,ni kweli wanawake ni wavumulivu lakini wanweza kuchoka kuvumilia hilo na wakajikuta wanajaribu na nje pia.
Uwazi wa mapenzi.Ukubali au kukataa ukweli ni kwamba wanawake huwa wanapenda sana kulio wanaume, na mara nyingi mwanamke anapokuwa amempenda sana mwanaume basi hujikuta akitaka kuwa waiz kwa kla mtu na kuwa huru kila sehemu, kama kuna marafiki atahitaji wajue na kuwaonapamoja kila muda.ingawa hatokaa kukwambia swala hilo lakini endapo atataka kukufanyia hivyo na ukawa unamkwepa basi ataanza kuwa na wasiwasi moyoni.
Jinsi gani unamjali.Wanawake wengi ni wagonjwa wa swala hilo, wanataka uwasikilize, uwe nao karibuni, anapotaka kitu lazima umsikilize na hata kama unataka kuikataa basi umpe neno la maana jepesi la kumjibu ili kuridhika na uhakikishe kuwa ameridhika.
Wanapokuwa watu wawili kwenye mahusiano, lengo lao linakuwa ni moja ambalo ni kupendana. Lakini kuna misunderstanding ambayo huwa hahikosi kwa wawili hawa hata kama ni wakamilifu kiasi gani. Cause no one who is perfect always!! Ila kuna jambo ambalo huwa lipo katikati yao pia ambalo ni kuelewana, na safari inaendelea.
Kwenye mapenzi kuna njia tofauti ambazo zinaweza kuonekana kutatua migogoro inayojitokeza ikiwa ni pamoja na kutumia washauri, lakini kuna dawa moja kubwa sana katika mahusiano na mapenzi kama to say am sorry, samahani ni neno dogo sana lakini matokeo yake ni makubwa sana.
Kusema samahani haimaanishi wewe ni mjinga, au hauna akili au wewe ndio ni mwenye makosa.
Samahani inapunguza mabishano na maneno mengi, inarudisha maelewano ndani ya nyumba.
Inahitaji moyo husiobeba visasi, ina maana kutopiliza kisasi kwa lililotokea hapo awali.
Lakini kwa kuliongelea swala hili ni rahisi sana lakini kwa kulitenda ni vigumu sana, fikiria kama wewe ndio umemkosea mpenzi wako alafu pale pale wewe ndio uombe msamaha,
unafikiri hilo ni rahisi kufanyika? Na vipi kama wewe umekosa na ukaomba msamaha husisamehewe utafanya nini? Will u walk out?? Na ni mara ngapi umetumia neno samahani kwa siku? Na je mahusiano yanaweza kudumu bila samahani??
Bila shaka hakuna mahusiano yanayoweza kudumu bila kujua thamani iliyopoa katika neno samahani, hivyo kusema samahani ni muhimu sana katika mahusiano ili kulifanya penzi lenu liwe bora zaidi.
Upendo ni kitu ambacho hakizuiliki. Napale patakaposhikilia ule upendo ipasavyo ndo husikii wala huoni utakaloambiwa juu ya akupendaye. Matendo mbalimbali yanayofanywa na wale wapenzi moja kwa moja huchochea upendo wa moyoni ambao hudumu milele, ndio hapo utasikia keshapewa madawa, mara mke wake kamkalia kila atakachoomba lazima apewe na mengine mengi ambayo umekumbana nayo au kuyashuhudia kwa watu wengine.
Moja kwa moja niende kwenye hivo vichochezi kama ifuatavyo: Kusikiliza na kua mshauri mwema kwa mwenzako. Iwe ni kuhusu familia yake au mipango yake ya baadae au kimasomo, kikazi na hata kibiashara. Ikumbukwe kuwa mafanikio ya mmoja ni chachu ya maendeleo mazuri hata mtakapokua katika familia.
Kujishusha panapotokea kutokuelewana (yaani kuwa mwepesi wa kuomba msamaha). Majibizano siku zote hayajengi hasa mnapokua mna hasira au mmoja kati yenu ana hasira.
Neno ahsante ni dogo sana ila lina couragement kubwa saana, Ukipongezwa na hata unapopewa pole shukuru. Unapopewa chochote na mwenzako iwe ni ushauri, maoni, mawazo mapya juu ya miradi mbalimbali au kazi huna budi kushukuru.
Mwepesi wa kusamehe na kusahau. Vilevile mwelekeze mwenzako pale alipokosea ili siku nyingine kitendo hicho kisitokee. Usiwe mwombaji mzuri wa msamaha huku wewe hautoi.
Msifie mwenzako anapopiga hatua ya maisha anapokua katika muonekano mzuri n.k Usisubiri jirani amwambie. Tena hapa muwe makini sana maana ni rahisi kwa mwingine kuvutika upande wa pili kwa ajili yakusifiwa(Kusifia kunajenga picha ya kujali) japokua sio wote wanamaanisha.
Kuwa mkweli na mwaminifu katika mahusiano yenu
Usisubiri matukio maalum ndo utoe zawadi kama vile birthday, valentine day n.k, Mpe wakati wowote unapokua na uwezo wakumpa.
Usimuulize mpenzio anataka zawadi gani. Siku zote zawadi ni kitu ambacho mpokeaji hakijui na wala hatakiwi kukijua kabla hujampelekea. Kuna zawadi nyiingi sana ambazo unaweza mpa mwenza. Na kupitia muda wa urafiki wenu naamini utaweza kujua walau nusu kama si robo tatu ya vitu anavyovipenda. Ila jitahidi uwe ni muibuaji wa vitu vipya sio vilivyozoeleka.
Natumaini kwa kiasi fulani vitu kama hivyo kutoka kwa mwenza wako vimekufanya au vinakufanya umpende zaidi. Au ukosaji wa vitu hivi kwa mwenzako vimekufanya mshindwe kuendelea kua katika mahusiano au kuvunjika moyo. Jiheshimu na pia muheshimu mwenzako pamoja na hisia zake, mjali, mthamini, mtie moyo, mrekebishe anapofanya ndivyo sivyo na lingine ni kuombeana Baraka za mwenyezi Mungu zikae nanyi nakuwaongoza katika kila jambo.
Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI
Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni
mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa
nakupenda, niamini mpenzi *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°*
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . . upendo ni lugha , kwamba kila mmoja anaongea, upendo hauwez kununuliwa, na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni siri ya maisha matamu nakupenda mpenzi *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* “Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe” nakupenda laazizi “Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati mawazo yangu yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla yako je wewe ungekuwepo nayo ungempa nani kwanza? “ *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear Figganigga •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu ili kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako mpenzi.nakupenda sana laazizi •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia moyoni mwangu mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa unaempenda •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nimetuma ndege wangu auzunguke ”moyo” wako kwa ” upendo ” auguse ”uso” wako kwa ”faraja” na mwisho akunong’oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana Figganigga •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku wakigombana wataachana. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• yapitayo mdomon yametokea moyon,uyaonayo hadharani nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa yakini. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nakupenda sana mpenzi wangu ,we ndo wa pekee mwenye kujua furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo karibu nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu tabibu ,we ndo wangu wa manani. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo huhitaji uwepo wako na hasa nikukumbukapo kumbato lako,nakupenda mpenzi •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
>>———>>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk maisha yangu na kama umekutana nao usiukwepe uache uchome Moyo wako gharama za matibabu juu yangu. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi unayonipatia, moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima kukupatia nakupenda •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi lako. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa sasa siwezi kukupatia kwa maana mgeni kashakuharibia nakupenda dear
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Ni yangu mazoea kila cku cm yako kuipokea kama si meseji kunitumia leo naumia kila napo fikiria nini kimetokea hadi mawasiliano yetu yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali ya kawida itarejea na majonzi moyoni yatanipotea nakupenda mpz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nimezunguka pande zote za Tanzania macho nikiyaangaza kumsaka mrembo wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo ndani yake na kulila TUNDA lake kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi kama wewe ndiye ulie uteka moyo wangu. nakupenda laaziz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Raha ya ucngz ni ucngz . . . .”tamu”ya penzi ni ndoto . Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi nikiwa mimi, •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute nakupenda mpz moyoni mwako unitulize. Nakupenda mpz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda mpz,nakupenda tukwepe fitina mpz. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong’oneze mwambie nampenda sanaaaa Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati ,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa? •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbal nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• kamwe cwez kuacha kukupenda,utaendelea kujificha moyo mwangu cku zote za maisha yang,maana wewe ndiye mhimili wa maisha yangu,tafadhal naomba unipende milele! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez kuipeza,nakupenda wewe pekee •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Kama safari tumeianza,kama chakula sinto kusanza,kama nyumba wewe kibaraza na kama ukingo wewe kiambaza. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• kiangazi aumasika kukupenda nitawajibika kwenye chupa au birika chai yako ya uhakika ,iwe ndoo au pipa ujazo wa penzi kimiminika. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ila nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi ni ujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenzi ramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila
kujali. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi gani unanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako haliwezi futika. NAKUPENDA •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharani nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa yakini. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa haya nisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nakupéndä mpènzi wèwè ùnåumuhimu mkubwa kwenye maisha yangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalo halitapona .nakupenda sana Figganigga •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwa dakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni mwangu nimeridhia. . . .nakupenda daima mpenzi! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba sili nikamaliza,nikimaliza nitakula nini kesho?nakuahidi kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha hamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi asubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopa wengine wanaweza kukupa. . . .njoo leo uniambie unataka nini? •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo,kuridhishana,kupeana bila kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus ikilizana.je utaweza kujifanyia yote hayo?nijibu mpenzi. . •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyo wangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu ni machozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozini haitochuruzika ila mishipani. . . . •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunia nzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langu kwako ni nuru daima halizimiki. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. . .njo leo uniambie unataka nini? •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nipe niridhike,nionjeshe usinilambishe,nikigonga nikaribishe na penzi le2 2listawishe. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo kuridhishana,kupeana bila kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus ikilizana,je utaweza kujifanyia yote hayo? •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Utakuwa wangu wa maisha daima na penzi le2 litakuwa km mfuko wa hazina,2talitunza km zaidi ya mboni la jicho. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• ni bora mnara ukitikisika kuliko kupata pengo lisilozibika moyoni umeniachia jeraha lisilotibika na ufa usiozibika.rudi mpenzi unautesa mtima wa moyo wangu. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Swt ulivyoumbika wengi wanateseka juu yako ,najua wanakusumbua ni vema usiwakubalie, ukweli umebarikiwa uzuri umeshushiwa na dhati ya penzi umetunukiwa nakupenda •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• wengi walisema penzi letu lisingedumu,lakini leo twawaacha midomo wazi kwa misengenyo yao isiyo na maana ,tuendelee kupendana,wanafiki roho ziwaume! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• kama ni usafiri wewe ni gari salama,kama ni kiwanda wewe ni namba moja ,kama ni maji kwako kuna chemchem,kama ni mapenzi kwako nimefika,niahidi utakuwa nami siku zote maishani mwangu. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nilivyokutana nawe siku ya kwanza nilikupenda kwa dhati,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,siwezi kuchezea nafasi hiyo laaziz,nitakushika daima. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo tambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupo anayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudani tambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hata km upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu, napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu, mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibu yakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Joto ndio kitu nachotarajia kutoka kwao mke wangu mtarajiwa, usisikilize maneno yakuambiwa, ni wewe tu mwenye thamani kwangu katika hii dunia. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo huhitaji uwepo wako na hasa nikumbukapo kumbato lako, nakupenda mpenzi. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Hakika wewe ndiye wangu mahabuba unayejua kunipa huba, napenda unavyoniganda mithili ya ruba, nahahidi kukupa mahaba yanayozidi shaba. Nakupenda Figganigga[ mtaje jina]. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitoto na zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto, nahitaji uwe wangu mama watoto! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyo wangu mahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendo lkn kwa msamaha wa raisi mapenzi nmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapo daima milele. nakupenda mpz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mahakama ya upendo iliyopo mtaa wa busu imenihukumu kufungwa kwenye gereza la moyo la mcchana huyo milele kwa kuutesa mtima wa moyo wa mcchana mmoja ,asiye na mashauz,mwenye wing upendo ,maneno matamu ,mahaba ya dhat na mapenz mazito zito, •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• macho yang hutaman kukuona,mdomo wang hutaman kukubusu,mikono hutaman kukutomasa,uko mbali nami ila mwili wangu upo kwa ajili yako dear •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno hayapo kwake, nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo tayar kumsaliti na lbd aanze yeye •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwa moyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu, tupendane daima lahazizi… •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe ndiyo ua la moyo wangu! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani.Ucheshi na mahaba yako nifananishe na nini? Kupata mfano wako hatotokea amini. Elewa mimiwako sikuachi asilani •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Penzi langu kwako ni la milele, nitakuhifadhi moyoni mwangu siku zote za maisha yangu, uwe wangu nami niwe wako daima, nakupenda dear… •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu umeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangu peke yako dear… •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Hata kama watasema mengi kiasi gani, kwako wewe nitaendelea kuwa mpole, maana nakupenda sana… •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . . upendo ni lugha , kwamba kila mmoja anaongea, upendo hauwez kununuliwa, na icyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni siri ya maisha matamu nakupenda mpz •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mapenzi ni hisia zilizopo moyoni mwetu,hujidhihirishe pale unapopata umpendaye,utamu wake ni zaidi ya sukari uchungu wake ni zaidi ya shubiri je kwako yapo je? •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia na hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo ,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongeza furaha,je we unaitumiaje silaha hiyo? •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• ,,,,,,,,,,,,, |~<¤>~| “””””””'””” Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe. Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwa kupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako, nimeambiwa ili nipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha
yk, (3)upendo wk, (3)tabasam yk. Je! uko tayari kuokoa maisha yangu? •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni, naishia kukuota ndotoni, hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniacha kuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yako hifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi, amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbe huu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvuno hayapo kwake, nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpo tayar kumsaliti na lbd aanze yeye •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mpenzi huwa unanipagawisha unaponipumulia pumzi masikioni nasikia raha. Niliandika upendo wangu kwako kwenye majani ng’ombe akala,nikaandika kwenye jiwe mvua ikafuta ,nikaandika kwenye sms likafutwa lakini nimeandika moyoni mwangu halitafutika kamwe. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Imara hautikisiki,kakamavu halishikiki penzi langu kwako ni nuru daima halizimiki.upo juu katika mapenzi. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiac hk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl na unitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin. Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwa ukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz. Nakupenda kipenz cha moyo wangu. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengi watakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapo ambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako ,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakini hawajapata wa kuwaowa •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
/”””””””””/! / %¤ / ! !”””””””””! ! !………!/
Ndani ya box hili kuna silaha tatu za maisha ambazo ni Aman, Upendo na Furaha, zawadi maalumu kwa watu muhimu
kama wewe.” •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mti usiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww ni mrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwani na kupenda xana tabua hilo mpnz wangu *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°*
upendo sio tigo eti ongea kwa nusu shilingi wala sio voda kazi ni kwako, pia sio airtel jisikie huru bali upendo ni zawadi pekee sana mungu aliyoiweka ndani ya mioyo yetu.hili ni la kuzingatia dear nakupenda sana *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* yakumbuke haya sana katika maisha yako wahurumie wenye kukupenda hasa mwenye pendo la dhati kama langu,wapende wanaokupenda japo kwa chembe ya upendo,thamini pendo la akupendae kwa kila mara japo sekunde moja. *°·.¸¸.°
utamu wa penzi hunogeshwa na pendo la dhati pia utamu wa penzi ni uwepo wangu na wako,ladha yake ni zaidi ya nazi kwenye wali au royco kwenye mchuzi au pilipili kwenye kachumbari, utamu wake ni zaidi ya asali au jam kwenye mkate ,blueband kwenye uji.penzi tamu halina kifani *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* unaweza ukafunga macho kwa usilolitaka kuliona lakini hauwez kufunga moyo wako kwa Unalo Lipenda. Nakupenda Mpenzi *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* upepo wangu wakupuliza wewe kutokana na joto kali usijaribu kwa kuvaa sweta ukapunguza ukali ninachotaka mi nikuwa na wewe naomb unielewe . *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* maumivu ya kulipoteza penzi lako ni kubwa,lakini ni makubwa zaidi baada ya kugundua haukuwa yule nileyedhani. inaniuma sana *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7 katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa…… lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu! *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna moja niijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yako kuwa pamoja *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, wale wanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huita ndoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, na mimi, mwisho wangu ni wewe. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Ni mapenzi gani yanayofanya simu yako ilie kila nitumapo meseji? *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Unaonekana kung’ara leo nilijuaje…….ni kwasababu unaonekana hivyo kila siku *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli, lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Baadhi ya watu huzaliwa na vipaji. Huweza kufanya mambo mazuri kwa ujuzi wao, lakini hamna anayekufikia wewe, kwani ukinisogelea tu kila kitu huwa kizuri. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mwanamke ni yule amfanyaye mwanamme auhisi uanaume wake, wewe ni mwanamke mwenye sifa hizo. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kukusahau wewe ni ngumu lakini kunisahau mimi ni juu yako. Usinisahau kamwe, unaweza kuisahau meseji hii, lakini si mtumaji. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi na mapenzi huanza na mimi na wewe. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchana hazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje, ‘tunafiti’ kuwa pamoja. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha, mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchi nyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo? *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemka na kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozi jichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utani pia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezi kukosa nafasi ya kukuweka. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Penzi, maisha yangu yote nimesoma juu ya neno hili, nimeota juu yake, nimelilia, nimelihitaji. Sasa pamoja nawe nimelipata. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kila mtu anataka kuwa jua linalong’arisha maisha yako, lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wa giza ambapo jua limechwea na haliangazi tena. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Unaweza usione kamwe ni kwa kiasi gani ninavyokujali. Unaweza usisikie ni kwa kiasi gani nilivyokushiba, unaweza usihisi namna gani ninavyokukumbuka. Sababu ni moyo wangu tu uliyoyaficha hayo. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kama busu ni maji ningekupatia bahari, kukumbatia ni majani, ningekupa msitu. Mapenzi ni maisha ningekupa yangu bure. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Dunia tofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja, hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maisha hayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitaji kuishi nikumbuke mimi. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila nikijitahidi unaipoteza akili yangu *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko na furaha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha mara
nyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapa
kukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtu
°·.¸¸.°* Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jambo
ambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kila
ninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua
kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini
kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka
moyo na akili yangu pia. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufua
yaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yote
yaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangu
kwa kuwa tunapendana! *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambo
muhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, la
pili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwa
kuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuungana
pamoja. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yule
atakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasi
inapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letu
laazizi wangu. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu ni
kubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe ni
mtu muhimu sana maishani mwangu. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu
hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana
sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa
kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Nakupenda mpenzi wangu, sifikirii kitu chochote zaidi yako na kwa kuwa nakupenda sipendi kuwa na urafiki hata na msichana kwani atakuwa anabana nafasi niliyokuwekea wewe. Noamba unipende nami nakupenda kila sikunde inayopita maishani mwangu. Mwaaaaaaaaa Figga. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi, ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupenda mpaka mwisho wa uhai wangu. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza kusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu nakusubiri daktari wangu. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Uchungu wa kifo hauna tofauti na maumivu nitakayoyapata ukiniachana, mpenzi usiniache nami siko tayari kukuacha *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°*
Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamu kusalimiana!!! Afya njema kutakiana!!! Huruma huoneana!!! Kwenye shida husaidiana!!! Makosa husameheana!!! Katika dhiki huvumiliana!!! Kila jambo zur hupeana!!! Maneno mazur yaliyo jaa upendo huambiana!!! Ushaur mwema hushauriana na njia za mafanikio huonyeshana!!! Mbele ya madui hulindana!!!nai ni mmoja katia ya wakupendao,hakika ni mm wa kwanza kwanza wengine wanafata
*°·.¸¸.°
°·.¸¸.°*
USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula na wali, usizidishe siki akawa mkali. Ni mimi niliye na dhiki nakujulia tu hali. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Kama upendo ni tone la mvua nakutumia !!!!! !!!!! !!!!! Kama furaha ni ua nakutumia maua
*%*%* )!( ( ) kama tabasamu ni sekunde nakutumia masaa . ’12’ . 9 _/ 3 ‘ .6. ‘ kama maombi ni maji nakutumia bahari -_-_-_-_-_- -_-_-_-_-_- -_-_-_-_-_- kama mafanikio ni majani nakutumia miti ,:*”*;, ,:*”*;, *;% ,,* *; %,,* __)(__ __)(__ kwasababu nataka uwe na furaha cku zote *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°*
.:””””\_____.-.-._ ( 0 .———–‘ ‘—‘ Tunza ufunguo huu,utautumia kufunga mwaka 2011 & kufungulia 2012. Mungu alizigawa nikakuchukulia na wewe …………………………
*°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mapenzi ni magumu na yatabaki kuwa hivyo, lakini kumbuka kuna akupendaye naye ni MIMI!. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°*
Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia, fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu, fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo kwa kukutumia sms mpenzi wangu, Nakutakia usiku mwema *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitaji kuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapo kama ukiwa mbali “NIACHE NIKUPENDE SWEET FIGGANIGGA “ *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Moyo wangu umehifadhi hisia zako, nakuahidi kamwe sintopunguza upendo kwako, tunza sms hii ya ahadi kwenye simu yako, iwe kumbukumbu kila uisomapo! “NAKUPENDA MALAIKA WANGU” *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Si vibaya mimi kukusifia kwani wewe ni wangu, nivingi umejaaliwa, vinavyouvutia moyo wangu, ama hakika uzuri wako umedhibiti matamanio yangu “SINTOMPENDA MWINGINE ZAIDI YAKO” *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu, huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU. Mchana mwema *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusaliti na wala sina wazo la kukutenda, nakuomba tuendelee kupendana siku zote habbity wangu *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. “NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu “UHALI GANI MPENZI?” *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* tazama, nimezama ndani ya bahari la penzi lako siwezi kusonga mbele kurudi nyuma sijielewi haya mapenzi ya fujo hayafai kama wanipenda jaribu kunipa raha *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na liku2miwa vbaya halna maana wala thaman. neno hlo haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2 Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi Mwenyewe Silijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus. Nakupenda Xana Dia *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mungu akubariki uwe mwiz wa ujuzi na maarifa, mlafi wa kushauri, mroho wa busara, mchoyo wa matusi, mlevi wa upendo na kiherehere cha kuabudu.say Amen! Ucku mwema mpenz *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Ckia ckupend, cktaki na wala ckhitji tena ww ni kikwzo ktka maisha yangu ucnizoee! Mwmbie shtan maneno hya kabla hjalala.g9t *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* pindi nikukumbukapo chozi langu huwa linatoka bila sababu,kasi Ya mapigo ya moyo Huongezea Pasipo Sababu,nimegundua Nakuhtaji Naomba Unikubalie. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* pendo la dhati lina sifa zifuatazo,kuvumilana,kusubiriana,kujaliana,kushauriana,na La Mwisho Ni Mimi Na Wewe. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Neno Nakupenda Hutamkwa Kwa Lugha Legeeevu Yenye Kuambatana Na Hisia Nzito Zilizofikicha Mioyoni Mwetu,hutamkwa Kwa Kauli Bashasha,nakshi Na Hofu Ndani Yake.raha Yake Umpate Anayekujali Kama Mi Ninavyokujali
Nakupenda Mpz *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Napenda Kuiga Na Kujifunza Nisivyovijua Lakini Kukupenda
°·.¸¸.°* ahsante mpz kwa kujua thaman yangu kwako,nashukuru umegundua hisia zangu mapema naomba unipe hifadh ya kudumu ndani ya wigo wa mtima wako. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Nakupenda zaidi ya Armasi inayo chimbwa ardhin,sipendi nikupoteze nikajutia Moyoni,naitaji nikuenzi,km mboni yng machoni. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi,sababu we ndo
wangu kipenZ,na sina mwengine lahazz. *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Mapenz yk hasari kwa mwengine sitamani,umeniteka akiri,mpaka najihisi punguani,nakupenda sana mpenzi!! *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Ewee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba,hakika n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa….!!! *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Wangu hayuni mwenye upendo wa dhati,hakika
nakupenda,mwengine sitamani,hamin mpenz kwa zangu hiz tenzi..! *°·.¸¸.°
°·.¸¸.°* Moyo hauna nafasi kwa pendo lilo na nia, sijali wala sihisi kwako nimejitolea, kwangu toa wasiwasi sishindwi kukuridhia, kwa yangu hii nafasi moyo umekuchagua ………….. Moyoni mwangu hutoki nakuomba ukubali, nawala sibadiliki hilo kwangu ni muhali, si km sikukumbuki zimenijaa shuhuli, ww kwangu si rafiki ni ndugu nnaekujali ……… Ewe ulo2lizana chaguo la moyo wng kila nnapokuona huniondoka machungu tabia zako mwanana zmeuteka moyo wangu yoyote atakaekuona mwambie ww ni wangu ……. Moyo unasikitika hauto acha daima. Machozi yatiririka siusiku si mchana. Huzuni imenishika kwa vile sijakuona ……… ndege tausi alimuuliza kasuku “hivi kuna viumbe wazuri kuliko sisi duniani?”kasuku akajibu,ndio wapo kama hujui mtizame huyu anayesoma msg hii ……….. Giza ndiyo laingia natamani ungekuwepo nipate kukumbatia, hakika nimechoka mto kukumbatia nakukesha ndotoni nikikufikiria, nakumiss dear fanya hima nyumbani kujongea wazazi wapate kukutambua! Nakupenda
dear ……… Penzi langu maarufu nakupa unienzie, Tena ni penzi nadhifu hilo lazima ujue, Wala si penzi la khofu wasiwasi likutie, Ni penzi la insaaf nampa nimpendae,Kama kupenda mauti kwako nitayarikufa,kama kupenda maradhi dawa kwako natafuta, kama kupenda bahati mwenzako naitafuta ,naomba nipe nafasi mwenzako nataab Na wala sitampa mwengine anayefanana na wewe …………………………………. UPENDO si ndege ukaonekana angani, UPENDO si tunda lichumwalo mtini, UPENDO si wimbo ningekuimbia, UPENDO si vazi ningekushonea, UPENDO si picha yangu ningekutumia bali UPENDO ni thamani iliyoko moyoni mwangu. nakupenda na nakutakia usku mwema. ………………….. salaam ni 1,nuru humfariji aliye na huzuni 2 ni jahazi huvusha aliye ng’ambo 3,pia ni nuru huangaza gizani, wewe ni lulu yangu nakupenda xana, …………………. “Umbali si shari ila kujua hali ni mali”, “jambo la wema ni asali ukimya ni ajali”, “japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali” I LOVE U ………………………….. Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,, STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2, SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua, ila napenda jinsi anavyo CORDINATE na wa2, nafurah kwa kuwa naongea nae SIMULTANEOUSLY, ila naamin ubongo wake una FUNCTION atajua kuwa nampenda yaan nahic kama niko kwny CIRCLE kwan najitahd kumpuuza lakin is very long MATRIX . Nafikir ushamjua kwan shep yake ni SIMPLE POLYGON namzungumzia MATHEMATICS!! Chezea …………………………. Naitaji kuku enzi na si nikutoe machozi, sababu we ndo wangu kipenZ, na sina mwengine lahazz. ………………………… wee wangu wa huba,mwenye tabasamu la mahaba, hakika n/penda, kwa mwengine sito kwendaaa….!!! ……………………… Nashndwa kulala haja ya moyo wng naijua machoz hayansh homa ya mapenzi naugua …………………………….. Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na
usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba
ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA …………………. Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwamba mwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linaweza kusimama,
lakini usiwaze hata siku moja kuwa naweza kukuacha. *°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°* Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu Figga
nakusubiri daktari wangu. *°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°* Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafiki zako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zako wanaotugombanisha
na wachawi wanotuotea mabaya, tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima. *°·.¸¸.° ? °·.¸¸.°* “Umbali si shari ila kujua hali ni mali”, “jambo la wema ni asali ukimya ni ajali”, “japo nipo mbali thamani yako kwangu ni kama medali” I LOVE U ………………………………. Nikwambie ki2? Kuna m2 nimetokea kumpenda,,,, STATISTICS ya tabia yake ni ana RELATION nzur na wa2, SERIES ya maisha yake ni PROBABILITY kuijua, ila napenda jinsi anavyo CORDINATE na wa2, nafurah kwa kuwa naongea nae SIMULTANEOUSLY, ila naamin ubongo wake una FUNCTION atajua kuwa nampenda yaan nahic kama niko kwny CIRCLE kwan najitahd kumpuuza lakin is very long MATRIX . Nafikir ushamjua kwan shep yake ni SIMPLE POLYGON namzungumzia MATHEMATICS!! Chezea ………………………….. Katu si kila rafiki ni msafi wa moyo. Wengine ni wanafiki wanakuonea choyo. Hutamani ufariki wachukuwe upendayo. Hawa hawafadhiliki husda ni kazi yao, kila unachomiliki hutamani kiwe chao. lau kama husadiki jaribu kukaa nao.Mchana mwema. …………………….. Ewe sms nenda kwa huyu mtu wangu wa karibu ukimkuta amechoka mpe “POLE” ukimkuta mpweke”MLIWAZE” ukimkuta anahuzun muulize kwa nn akikupa jibu “MTATULIE” ……………………….
Uliposema wanipenda sikuamini ipo siu utaja nitenda!, nilikueleza nini napenda nawe ukaapa yote kutenda kwakuwa wanipenda, leo umebadirika waanza nitenda, hivi kweli bado wanipenda??
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ulipolihitaji langu penzi ulidiriki hata kulimwaga chozi leo umepata langu penzi waniletea pozi, siwezi lazimisha penzi pasipo na penzi, amini nilikupenda ila nimeshindwa na zako pozi, nakutakia maisha mema na huyo wako mpya mpenzi. Be blessed..!!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika uliuteka moyo wangu, nikaamini u wangu peke yangu, nikaziba masikio yangu yote niliyoambiwa na rafiki zangu, kumbe naidanganya nafsi yangu. Its over baby!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hivi kwanini kila siku mimi nimekuwa mtu wa majonzi, niliamini we ndiye wakunifuta machozi kumbe zilikuwa njozi, siamini kama umeniongezea majonzi, asante sana mpnz!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Tangu nilipokufunulia pozi waniletea, mawasiliano yamepotea na kila tupangapo mihadi kwako huwa ngumu kutokea, niweke wazi nijue kama ndiyo mwisho wa penzi letu
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Hakika mpenzi nimechoka kuvumilia kila siku naishia utamu kuuckilizia njozini unaponijia, najiuliza lini utanivulia niachane na ndoto tele ndotoni zinazonijia?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
m?y?ni naumia kila napofikiria yale uliyonitendea,
sijui ni nini nilikukosea kama mapenzi ya dhati naamini nilikupatia na moyoni nilikuwa najivunia na kujiona zaidi ya mfalme katika hii dunia kumbe kiini macho ulikuwa wanifanyia leo najutia muda ulionipotezea kumbuka nilikupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
kama kuvumilia nimevumilia na sasa yatosha,
nikoradhi mbivu zako kuzikosa,
kuliko kuendelea kujitesa,kumbuka nilikupenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
nimeamua kwenda kwani sihitaji kukutenda,penzi la
dhati nilikupa lakini hukutambua kuwa nakupenda
nakutakia maisha mema na utakaye mpenda
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ama kweli!vizuri havikosi kasoro ,mapenzi yetu kutwa
hayaishi migogoro,hivi sasa giza limetanda totoro
sijui lini tutamaliza hii migogoro?
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Ulisema wanipenda na katu kwa mwingine hutokwenda na leo umenitenda! Umeamua kwenda ingawa wajua bado nakupenda, leo ni siku kenda toka umekwenda, amini bado nakupenda na kwa mwingine siwezi kwenda!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Kila siku mimi ni mtu wa kulia, ipo siku uvumilivu utaniishia, hivi ni kwa nini hutaki kutulia na kila kitu nimekupatia, wewe wehuka na hao wanaokupapatikia, lakini utaja jutia siku ikiwadia.
Hakika najutia nafsi yangu kukupatia mwanaume kiruka njia kila mwanamke wewe akuvutia, nguo shuruti wataka akuvuliye, katu penzi sitakaa nikupatiye.
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Mpenzi mbona mapenzi yetu kama yanapoteza dira, kila siku huishi hila, kitu
kidogo wafura hasira. Wanichanganya dia!
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Najua ni kweli wanipenda,hata mimi nakupenda laaziz wangu,ila pendo lako litajidhihirisha zaidi kangu ukizidisha uaminifu.nakupenda mpenzi
•·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda siku zote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewe ndiyo ua la moyo wangu! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Najua una majonzi kwa kuwa uliyempenda kakumwaga machozi kwa kukuacha ungali walihitaji penzi lake, nimekuja mwokozi kukufuta machozi kwakukupa la dhati penzi. Nakupenda mpenzi amini sitalimwaga lako chozi, na daima nitakuenzi. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
Leo tukiwa katikati ya mwezi wa kumalizia nusu ya kwanza ya mwaka 2013, nachukua fursa hii kuwatakia MAFANIKIO BORA ya MAISHA wale wote wanaonipa ushirikiano mzuri katika maisha yangu.. Kila niliposoma sms zako zenye nasaha nyingi niligundua mambo makubwa matano. 1:KUNIJALI 2:UPENDO 3:FURAHA 4:WEMA 5:KUTHAMINI Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya maana sana kwangu, pia sikuhisi UPWEKE wa kukosa NDUGU katika huu uso wa DUNIA pia nakuomba unisamehe pale nilipokukosea. Hivyo nami nakutakia mambo makubwa matatu kwa MUNGU; 1. RADHI ZAKE 2. HAIBA KWA WATU 3. MAFANIKIO MEMA. “asante sana” •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• moyo wangu saafi kama upole wa tausi wingi wa baridi kama maji ya mtungi ,yote ni kutokana na mapenzi unayonipatia. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Mapenz hayana msimu walam majira isipokuwa ni kama majani yaotayo popote kwani siyo mimi ni msukumo na hisia zangu. Nakupenda sana •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• nashindwa kudanganya moyoni ulivyonijaa faraja na furaha uliyonipa moyoni umeshaniingia kwa tabasamu unalonipa moyo wangu wakuridhia. •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani, RAha ya ndege mpunga na wala sio majani, Raha ya ndege kuruka na kuimbia angani, Ndege salam nakupa zipeleke kwa makini, iwapo hukumkuta msubiri mlangoni, Usije ukaondoka ingia mpaka ndani, mwambie namkumbuka japo kuwa simuoni •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Ewe sms nenda kwa huyu mtu wangu wa karibu ukimkuta amechoka mpe “POLE” ukimkuta mpweke”MLIWAZE” ukimkuta anahuzun muulize kwa nn akikupa jibu “MTATULIE” •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Udugu wa kweli ndio wenye thamani, Utajiri na mali si chochote maishani, Upendo na kunijali ni faraja yangu moyoni, Hata kama upo mbali bado nakuthamini, Salam ni amani kwa yule aijuae, Salamu ni sunna kwa yule aitoae, Salamu ni thawabu kwa yule aitikiae , Na mimi nasema “Asalam Alykum” •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Alikosa raha ulipougua! alipigana na kutukanwa ulipoonewa, alikaa na njaa ili ww ushibe na kufurahi. Aliakikisha halali mpaka ww ulale, na kikubwa zaid mimi na wewe tusingejuana wala kupendana bila yeye, Je unamjua huyu? Si mwingine ni MAMA. KUMBUKA PEPO ZETU ZIKO CHINI YA NYAYO ZA MAMA ZETU. (MPENDE SAANA MAMA) AKIWA HAI MLIWAZE NA KM AMEFARIKI USIACHE KUMUOMBEA DUA. ……………. Ee’ kidole changu (jinalo index ka’skosei). . . Ni lini utavaa pete kuthibitisha ushakwalifai leseni ya kuishi na Binti Beyo nimpendae kwa dhati tokea kilindini? ………………. “%%%,,”Nina”,,%%%,,”busu”%%%,,”tam”%%%,,”kwa”%%%,,” ajili”%%%,,”yako”%%%,,”haya”%%%,,”% %%”,,”fumba”%%%,,”macho”%%%”,,”bac”%%%,,”nikubusu”%%” 1__2__3aah” umevunja”%%%,,”,,”masharti”%%%,,”,,”bado”%%%,,”,,”,,”,”unasoma”%%%,,”,, “sms”%%%,,”%%%,,” nimeairisha”%%%,,”siku”%%%,,”busu”,,”tena”%%%,,”%%%,,”labda”%%%,,”%%%,,”kesho”%%%,,”I “LOVE,,”,,”YOU”%%%%%FIGGANIGGA%%%%%%%%% ……………………… .*””* . *””*. * “”I-“”L-“”O “*.””V””E”* “*.U*”
Hii ni mizani ya mapenzi, wengine hutoa mali au zawadi, mimi natowa moyo wangu kwako.Je ww unatoa nini ? ……………………… Kwenye ubongo nimekusevu “I LOVE YOU,” na moyoni nimeandika “ONLY YOU,” na kila nimuonae nasema “NO ONE LIKE YOU,” wala cogopi kusem I’m “CRAZY” for you,every “SECOND” I think about “YOU” so napenda uamini “ME” for “YOU,” nice tym”MY DEAR” MWAAAAAAA!!!!pls kiss 4me ok ……………………….
Kila nilipoona msg yako ndani yake niligundua mambo makubwa manne. 1/ KUNIJALI, 2/ UPENDO 3/ FURAHA 4/ WEMA. Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaon ………………………. Nimepanda gari la “KUKUPENDA” Nimefika kituo cha “KUKUWEKA” (moyoni) Ghafla nikapata ajali mbaya ya kuwa mbali “NAWE”, Nimelazwa hospital ya “KUKUMISS” (100%) Nimeandikiwa sindano za “KUKUWAZA” / kila saa,,, Nimetundikiwa dripu ya “UAMINIFU” na nimepewa dawa za kunizuia kumpenda “MWINGINE” zaidi yako!!(…..) ……………………… napenda wali nyama , ugali mchicha, pia roast nyama na supu mchemsho ila vyote sipendi zaidi ya ninavyokupenda. ………………… Sasa nimegundua DAWA ya MAISHA! N kulipiza VISASI yaani: Ukinichukia NAKUPENDA Ukiniudhi NAKUFURAHISHA, Ukinisahau NAKUKUMBUKA, ukikaa kimya NAKUSALIMIA! MAMBO? ……………………..
Salamu ni moyo ktk “IMANI”. Salamu ni uhai ktk “UPENDO”. Salamu ni ufunguo wa “RIZIKI” salamu ni chakula cha “NAFSI” salamu ni “MSAMAHA” wa kudumu milele. Salamu ni kinga ya maradhi” salamu huondosha “UADUI” Hakika salamu ni”UTAKASO” wa “NAFSI”. Nami nakupa wewe niliyekutunuku. ** ……………………….. Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. “NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANGU” ………………. Dhamira kuu ya Moyo wangu ni Mapenzi, kukupenda kwa dhati bila kipingamizi, kuishi nawewe kihalali kwa kudra za wazazi, Nipende nikupende Tudumishe Mapenzi. “NAKUTAKIA MCHANA MWEMA MPENZI WANGU”
………….. Siku niliyokutana na wewe kwa mara ya kwanza haiwezi kufutika mpenzi, ilikuwa siku nzuri sana kwangu, siku ya kutambulisha hisia zangu kwako! Ukanipokea na kunikaribisha moyoni mwako! Hakika nakupenda sana mpenzi wangu! ……………………. Samahani mpenzi kwa kukupa habari mbaya! Nimepata ajali ya MOYO, nimelazwa wodi ya MAPENZI, Daktari kaniandikia vidonge aina ya BUSU, nimetafuta katika maduka yote ya dawa nimekosa! Je, wewe waweza kunipatia mpenzi wangu? ……………… Kila chozi likidondoka linaandika jina lako, kila waridi nilipandalo latoa harufu yako, kila moyo udundapo hutaja jina lako, nakupeda mpenzi wangu wa ubani, kukusaliti siwezi asilani! …………………. Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu; ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu; wangu una wewe tu! ………………… Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu, basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bila kukupenda wewe. ………………. Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe. ………………….. Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechoka sababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimi sina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa. …………….. Mpenzi nakupa pole sana maana nimesikia habari mbaya kwamba unatafutwa na polisi kwa kosa kubwa sana ambalo huwezi kulikana na lina ushahidi wa kutosha kwamba unatuhumiwa kuiba moyo na mawazo yangu kiasi cha kunijeruhi mawazo yangu hadi sasa naonekana kama chizi. ……………………………………………………………… STORY NZURI YA UPENDO
Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA. Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda…!! Jee…!! wewe, utamuonesha nini umpendaye ili aone ni kiac gani ………………….. Tunda gani liwe mfano wako? Hamna ! Ladha gani ishinde ukarimu wako? Hamna! Ni nani nimfananishe na wewe? Hakuna! najickia furaha kukutakia uck mwema …………………….. Kwenye ubongo nimekusevu “I LOVE YOU,” na moyoni nimeandika “ONLY YOU,” na kila nimuonae nasema “NO ONE LIKE YOU,” wala cogopi kusem I’m “CRAZY” for you,every “SECOND” I think about “YOU” so napenda uamini “ME” for “YOU,” nice tym”MY DEAR” MWAAAAAAA!!!!pls kiss 4me ok …………………… Kila nilipoona msg yako ndani yake niligundua mambo makubwa manne. 1/ KUNIJALI, 2/ UPENDO 3/ FURAHA 4/ WEMA. Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya Maana pia sikuhisi UPWEKE wa kukosa NDUGU katika huu uso wa DUNIA.Mm nakutakia mambo makubwa matatu kwa MUNGU 1/ RADHI ZAKE, 2/ HAIBA KWA WATU 3/ MAFANIKIO KATIKA KAZI ZA MIKONO YAKO.USIKU,,MWEMA, …………………….. Nakupenda sana .Tafadhali nionyeshe mapenzi ya kweli kila mara na sio kwa msimu. Ningependa unishike kila mara, uniguse, unikumbatie kila wakati. Mimi ni msaada mkubwa sana kwako, nibusu popote utapokuwa nami usiniogope hakuna mtu wa kukushangaa,, nichukue hata ukiwa safarini sitalipa nauli. Kwani sina gharama kwako, hata kwenye mfuko wako wa nguo nitakaa. Nitumie kila unapojihisi upo mpweke sitaacha kukupa faraja, ni mimi mpenzio wa ukweli ‘QUR-AN,,NAKUTAKIA,,RAMADHANI,,KAREEM,,USIKU,,MWEMA!!!! …………………….. “%%%,,”Nina”,,%%%,,”busu”%%%,,”tam”%%%,,”kwa”%%%,,” ajili”%%%,,”yako”%%%,,”haya”%%%,,”% %%”,,”fumba”%%%,,”macho”%%%”,,”bac”%%%,,”nikubusu”%%” 1__2__3aah” umevunja”%%%,,”,,”masharti”%%%,,”,,”bado”%%%,,”,,”,,”,”unasoma”%%%,,”,, “sms”%%%,,”%%%,,” nimeairisha”%%%,,”siku”%%%,,”busu”,,”tena”%%%,,”%%%,,”labda”%%%,,”%%%,,”kesho”%%%,,”I “LOVE,,”,,”YOU” %%%%FIGGA%%% …………………… Nimepanda gari la “KUKUPENDA” Nimefika kituo cha “KUKUWEKA” (moyoni) Ghafla nikapata ajali mbaya ya kuwa mbali “NAWE”, Nimelazwa hospital ya “KUKUMISS” (100%) Nimeandikiwa sindano za “KUKUWAZA” / kila saa,,, Nimetundikiwa dripu ya “UAMINIFU” na nimepewa dawa za kunizuia kumpenda “MWINGINE” zaidi yako! ……………………. Neno “ASUBUHI NJEMA” ni dogo sana lakini huwezi kulipata kwa asiye kujali, kukukumbuka na kukupenda, lakini mimi naona umuhimu wa kukutakia “ASUBUHI NJEMA. JE, UMEAMKA SALAMA? si lazima ujibu kwa meseji! hata ukitabasamu na kutikisa kichwa tu inatosha! Asubuhi njema. …………………… AJABU YA PENZI: 1. Penzi sio UGONJWA lkn linauguza! 2. Penzi sio MSIBA lkn linaliza! 3. Penzi sio HARUSI lkn lafurahisha! 4. Penzi sio SUMU lkn linaua! 5.Penzi c MATESO lkn linatesa! 6. Penzi c KIDONDA lkn linatonesha! 7. Penzi c CHEO lkn laheshimiwa! 8. Penzi c MALI lkn linalindwa!miss u. ………………….. ITAKUA” Kama “NDOTO” Pale “MOYO” Wangu Utakapozima Kama “MSHUMAA” Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie “SAUTI” Yangu Lakini Utakuwa Tayari Umeshachelewa. “KILIO, HUZUNI, SIMANZI Na MAJONZI” Zitakuwa Zimetanda Katika Kuta Za “MOYO” Wako. MACHOZI” Yatakutoka Kila Utakapokumbuka UCHESHI Wangu Na Moyo Utakuwa Mpweke Kila Utakapoiona NAMBA Yangu Kwenye Simu Yako. Utatamani Uifute Ila Roho Itakuuma Kwa Kuwa Umenizoea. Hivyo Jaribu Kufurahia uwepo wangu angali nipo hai.tusameheane hakika sisi nibinadamu hatujakamilika.hakuna ambaye sio mkosefu”J.pili njema Hny. …………………… chozi langu adimu ila wewe waeza litoa,kilio changu cha msimu ila ww waeza niliza,nakupenda xana ………………….. chozi ni kimiminika chenye ladha,hutoka kwa sababu fulani au kuajili ya mtu fulani,kwangu mie chozi langu la tiririka bila sababu kila ninapo kuona,nashindwa kuelewa kwanini ?wakati najua chozi halitoki bila sababu,baada ya kutafakari kwa mda niligundua pendo la dhati nililo nalo kuajili yako ndilo hunifanya niwe katika hali hiyo. …………………… ***Pasipo na SALAMU hapana UPENDO***.
***Pasipo na UPENDO hapana AMANI***.
***Pasipo na AMANI hapana IMANI***.
***na bila ya IMANI huingii PEPONI***
Kama unayasadiki maneno haya mpe SALAMU yule unaye mpenda na unayemjali.
Mimi ninakupenda na ninakujali ndio maana ninakusalim na kukutakia asbh njema …………… => Wahenga walisema; ” Salamu ni Nusu ya kuonana “ => Wenye Hekma wamesema; ” Raha ya Salamu ni Kusalimiana “ => Waungwana nao wamesema; ” Ukipata Salamu, kamata Kalamu “ => Hao wote waliona Umuhimu wa Salamu, na ndio maana wakavumbua Misemo mbali mbali kwa ajili ya kuzidisha :- => URAFIKI, => UNDUGU, baina ya watu wanaosalimiana. => Nami kwa kulijua hilo, nafanya Hima kukusalimia ndugu yangu kwa kusema :UHALI GANI? …………………. Nalia ukiwa “MBALI” nachukia nisipo “KUONA” najuta ninapo “KUUDHI” naumia unapo”NITENGA” nateseka ukiwa “KIMYA” ninafurahi “UKINIKUMBUKA. UCKU MWEMA Hny. ………………….. Kabla ya ndoa mambo huwa hivi;-
MME: Natamani sana iwe hivyo. MKE: Vipi, wataka niondoke? MME: Hapana hata kidogo. MKE: unanipenda? MME: Ndo maanake. MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu? MME: Siwezi huo upuuzi. MKE: Utanibusu milele? MME: Kila mara. MKE: Je, utanipiga? MME: Aaaa haiwezi tokea. MKE: Naweza kukuamini? MME: Naam. MKE: Jamani mpenz!!
Na pia ukitaka kujua baada ya ndoa mambo huwaje?. Anza kusoma sms hii kuanzia chini kwenda juu. ……………………. AJABU YA PENZI: 1. Penzi sio UGONJWA lkn linauguza! 2. Penzi sio MSIBA lkn linaliza! 3. Penzi sio HARUSI lkn lafurahisha! 4. Penzi sio SUMU lkn linaua! 5.Penzi c MATESO lkn linatesa! 6. Penzi c KIDONDA lkn linatonesha! 7. Penzi c CHEO lkn laheshimiwa! 8. Penzi c MALI lkn linalindwa!miss u. …………………….. ITAKUA” Kama “NDOTO” Pale “MOYO” Wangu Utakapozima Kama “MSHUMAA” Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie “SAUTI” Yangu Lakini Utakuwa Tayari Umeshachelewa. “KILIO, HUZUNI, SIMANZI Na MAJONZI” Zitakuwa Zimetanda Katika Kuta Za “MOYO” Wako. MACHOZI” Yatakutoka Kila Utakapokumbuka UCHESHI Wangu Na Moyo Utakuwa Mpweke Kila Utakapoiona NAMBA Yangu Kwenye Simu Yako. Utatamani Uifute Ila Roho Itakuuma Kwa Kuwa Umenizoea. Hivyo Jaribu Kufurahia uwepo wangu angali nipo hai.tusameheane hakika sisi nibinadamu hatujakamilika.hakuna ambaye sio mkosefu”J.pili njema Hny. ………………….. Mpita njia kashkwa na kiu kaenda kuomba maji jiran,dogo akampa maziwa jamaa akanywa akasema kiu bado,dogo akampa tena glasi ya maziwa,jamaa akauliza mna maziwa mengi? Dogo akamjibu si hatuyataki kwani jana panya alidumbukia, jamaa kusikia hivyo akashtuka akaangusha glasi,basi dogo akaita mamaa mgeni kavunja ile glasi ya bibi ya kutemea mate!!! Jamaa akazimia…aa!! ……………………. ingekuwa upendo unauzwa nisingekuuzia kamwe,ingekuwa pendo ni mwandiko ningeandika counte nzima,ingekuwa pendo ni wino hakika kalamu yangu isiyoisha,ingekuwa pendo ni kisima maji kisimani kwangu kwa ajili yasingekauka.nakupenda hny ……………………… pendo ni mwandiko mzuri wenye vina ya kimapenzi,kwa utajo wake ni wenye kutamkwa vizuri,kwa uzuri wake hutufanya tupendane xana,acha nikupe mwandiko wangu nakuomba uuthamini. ……………………. Wagunduzi walifanya hivi kujua asali ni tamu walionja kwa ulimi, vile vile shubiri kujua kama ni chungu walionja kwa ulimi. Lakini wanasema mapenzi ni matamu zaidi ya asali na ni machungu kuliko shubiri. Je.? Unaweza kuniambia waliyaonja vipi kabla ya kujua? …………………… Udugu wa kweli ndio wenye thamani, Utajiri na mali si chochote maishani, Upendo na kunijali ni faraja ya moyoni, Hata kama upo mbali bado nakuthamini, Sa(…..) …………………….. “UPENDO” haupandwi ardhini, “UPENDO” hauoti baharini, “UPENDO” haununuliwi dukani, “UPENDO” hauna ushauri, “UPENDO” haufundishwi darasani, bali”UPENDO”hutoka ktk moyo wa mtu. Na ni tabia ya mtu aliyozaliwa nayo toka kwa”MUNGU”. na kudhihirisha hilo Napenda Kuktakia USKU MWMA. …………………….. mimi ni mkimbizi wa mapenzi na nimekimbilia kwako,sikwenda mwingine wewe ndiye chaguo langu,nipe hifadhi moyo mwako mwenzio sinayo hali. nihifadhi peke yangu nami nitakuhifadhi moyoni mwangu. ……………………. nakutakia usiku mwema kwako wewe wangu kipenzi,uote njozi njema,na uniote nami pia., usiku huu uwe wenye baraka kwako nami dua kukuombea,malaika wa kheri wazunguke kitanda chako.usiku mwema. …………………… mapenzi ni kama mti huchanua yanaponyeshewa,hunawiri yanapolelewa,na hutoa matunda pindi yanapo thaminiwa,gharama la tunda litokalo mtini hapo hutegemeana na ubora wake.nasi tulifanye penzi letu liwe bora,na lenye kuthaminiwa. …………………….. pendo ni dawa ya kidonda cha moyo,huleta faraja ulipokata tamaa,yaleta furaha ulipokwa unaraha,huleta thamani iliyopotea,huleta amani pasipo na amani,nakupa langu pendo kwa sababu nakupenda sana,usisahau kumeza kwani utaharibu dozi.
…………………….
ILOVE Y0U ”””””””””””””””””””” I NEED Y0U %%%%%%%%% I MISS Y0U ============= I’M HAPPY 2 U *************** Najua moyo wangu umekuchagua ww na kuku2mia zawadi hii ili uelewe kwamba nakupenda sana, nakujali zaid, nakuthamini kuliko, nakutakia kila la kheri pamoja na dua njema,Ucku mwema hny. ……………………….. Urafiki” “ni” “mzuri” “urafiki” “ni” “raha” “ikiwa” “mtapendana” “urafiki” “ni” “furaha” “kama” “mtasikilizana” “urafiki” “ni” “mtamu” “kama” “mtasaidiana” “urafiki” “ni” “mwema” “kama” “Mtakumbukana” “urafiki” ni hadhina ya maisha” urafiki unazidi undugu kama mtaudumisha” “hakika” “rafiki” “mwema” “ni” “wewe” “mwengine” “sijamuona” “ishaallah” “tumuombe” “M/mungu” “atujaalie” “tuzidi” “kukumbukana” na” Kupendana” “I miss”you” my friend …………………………..
STORY NZURI YA UPENDO Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA. Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda…!! Jee…!! wewe, utamuonesha nini umpendaye ili aone ni kiac gani . …………………….
kipi unataka kutoka kwangu Mwez huu wa july hii? 1=Moyo wangu
2=Tabasamu langu
3=Penzi langu
4=Hadithi
5=Urafiki
6=Muungano na mimi
7=Msamaha
8=Mahusiao
9=Tuchat sana
10=Muda wangu
11=Kwenda kuburudika na mimi sehem
12=Kuja kulala kwetu
13=Kuyashirikisha maisha na mimi.
14=Ushaur
15=Kukuchum.
Watumie sms hii rafiki zako woote ,uone nn wanataka uwafanyie,Lakini nijibu mm kwanza tafadhal… ……………………
Tukiwa tupo mwezi wa 9 robo 3 ya mwaka 2013 nachukua fursa hii kukushukuru sana kwa kutumia muda wako mwingi na fedha zako ili kuwasiliana nami. Kila niliposoma sms zako zenye nasaha,mzaha,kuelimisha n.k. niligundua mambo makubwa matano 1:KUNIJALI 2:UPENDO 3:FURAHA 4:WEMA 5:KUNITHAMINI Nilipogundua hayo nilifarijika na nikayaona MAISHA ni ya maana sn kwangu,sikuhisi UPWEKE wa kukosa rafiki katika huu uso wa DUNIA,nakuomba unisamehe nilipokosea na ninakuombea Kwa MUNGU akupe MAFANIKIO MEMA KTK MAISHA YAKO.
…………………. WEWE NI MFANO WA TUNDA GANI KATI YA HAYA? 1.EMBE-Furaha ya ndoa. 2.CHUNGWA-Mpweke lakin unatafuta. 3.LIMAU-Unampenda mtu lakin unaogopa kumwambia. 4.SHOKISHOKI-Upo ktk mahusiano ama ndoa lakin unaye mwengine ambaye unampenda. 5.PEASI-Bado unampenda mtu wako wa zaman. 6.PARACHICHI-Upo ktk mahusiano na m2 asiyekufaa na hujui ni kwann unaendelea naye. 7.ZABIBU-Mpweke lakin ni mwenye furaha 8.NANASI-Huna habari na mapenz 9.TANGO-Upo ktk mahusiano lakin hujui kitakachotokea baadae. 10.PERA-Unampenda m2 ambaye naye anampenda m2 mwengine 11.PENSHENI-Umechanganyikiwa…*Nijibu tafadhari ila Kuwa mkweli*
………………….. “MAISHA” ni ugomvi unapoyatafuta tayari umeingia bifu na walimwengu
“MAISHA” ni vita kali sana inahitaji maandalizi na zifuatazo ni silaha 9 Muhimu lazima uwenazo:-
1. Jiamini na uwe na nia ya unachokitafuta.
2. Uvumilivu kwa litakalokukuta.
3. Kuwa muaminifu kwa kila mtu.
4. Usikate tamaa iwapo haujafanikiwa.
5. Kuwa na malengo ktk kipato chako.
6. Jenga upendo kwa kila mtu.
7. Chunguza utakalo ambiwa kabla hujachukua hatua.
8. Epuka marafiki wanaopenda starehe.
9. Jua kuna faida na hasara!
NAKUTAKIA MSIMAMO MWEMA.
“nakutakia cku njema” ……………………………
Salamu ni moyo ktk “IMANI”. Salamu ni uhai ktk “UPENDO”. Salamu ni ufunguo wa “RIZIKI” salamu ni chakula cha “NAFSI” salamu ni “MSAMAHA” wa kudumu milele. Salamu ni kinga ya maradhi” salamu huondosha “UADUI” Hakika salamu ni”UTAKASO” wa “NAFSI”. Nami nakupa wewe niliyekutunuku. *****MCHANA MWEMA!***** ………………… …………………
Neno gani? linaumiza zaidi kutoka kwa mpenzi wako unae mpenda kwa dhati kati ya haya:- 1.Tuachane.
2.Sikutaki tena. 3.Nimepata mwngne.
4.Mbona king’ang’anizi wewe. 5.Sikupendi.
6.Wazazi wangu hawakutaki.
7.Siwezi kua na wewe.
8.Kama nilikosea njia tu. 9.Huna mvuto. 10.Najuta kuwa na ww.
naomba jibu
…………………………………….
UKITAKA KUWA NA FURAHA KILA SIKU..fanya hivi…amini kuwa Mungu pekee ndie ana mamlaka ya kuamua lolote juu yako..na si binadamu….mpende anaekutakia mabaya kwa kuamini hajui atendalo…ishi kwa uhalisia wako na usìige maisha au mtindo wa maisha ya mtu…tii haja za moyo wako si maneno ya watu..ridhika na ulichonacho kwa kuamini ndicho mungu alichokupa na kuna siku utapata zaidi…Jipende jinsi ulivyo maana kuna wenye kasoro zaidi yako….wanaokudharau waheshim maana wanakupa uchungu wa kutafuta mafanikio…amini wewe ni bora na muhimu kwa jamii, ndio maana umeumbwa. Asubui.njema
Kanuni za kudumisha “PENZI” Milele. 1.Ukipenda ucpende tena. 2.Penda kwa dhati.3.Mheshimu Mpenzi wako. 4.Kuwa mvumilivu 5.Mjali umpendae 6.Jivunie kuwa nae 7.Ucmfiche jambo 8.Ucpende achukie 9.Unapokosea omba radhi.10.Uckubali kumpoteza (ukifanya hivyo mtapendana milele) nakupenda Sana.
……………………………………………………………..
Mapito ni mengi, ktk maisha… Utaumia, utalia, utahuzunika, utakata tamaa, utavunjika moyo na wakati mwingine kujuta kwanini ulizaliwa, lakini kaa ukijua hayo yote yanatakiwa kuwepo ili, kukufanya jasiri ktk kuzifikia ndoto na malengo yako, usikate tamaa MUNGU yupo pamoja na wewe.UCIKU MWEMA
…………………………………………..
ITAKUA” Kama “NDOTO” Pale “MOYO” Wangu Utakapozima Kama “MSHUMAA” Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie “SAUTI” Yangu Lakini Utakuwa umesha chelewa, ”KILIO’ ‘HUZUNI’ SIMANZI” na “MAJONZI zitakuwa zimetanda ktk KUTA za MOYO wako MACHOZI Yatakutoka kila utakapo kumbuka ucheshi WANGU tkwako na MOYO Utakuwa Mpweke kila utakapoiona namba YANGU Kwenye Cm YAKO Utatamani uifute ila ROHO Itakuuma kwa KUWA Umenizoea Hivyo Jaribu Kufurahia Uwepo WANGU Kabla Sijatoweka Dunian Ata Chura Ujua Umuhim Wa Maji Pindi Yanapo Kauka Tuishi Kwa Aman Na Upendo Maish Ya Dunian Ni Mafupi% ********************************* Ukiona vipi mpe haya maua
Naamini hii hali ishawahi kukutokea wakati mmoja au mwengine, kuna mwanaume flani ambaye umependezwa naye lakini bado fikra zake ameziweka kwa mpenzi wake wa zamani. Ama umeanza kuchumbiana na mwanaume halafu baadae ukagundua kuwa huyu mwanaume mara kwa mara anamtaja mpenzi wake wa zamani katika maongezi yenu.
Leo kama Daktari Mapenzi tumeamua kukomesha hili janga kwa kuja na mbinu madhubuti ambazo zitamzingiti mwanaume kama huyu ili aweze kukufikiria wewe pekeake na wala si mwingine.
Zama nasi…
#1 Mpe muda. Wakati mwingine ni bora zaidi kumpa mwenzako time ili aweze kusahau matukio ya awali. Mwanaume ambaye ameachana na mpenzi wake wa zamani kwa kawaida inaweza kuchukua muda mrefu kabla kurudi kawaida. So iwapo kweli unampenda mwanaume flani basi mpe muda anaouhitaji ili aweze kumsahau mpenzi wake wa zamani. Hilo si jambo baya kufanya.
Kumpa muda wa kufikiria kunasaidia kwa kuwa atakuwa anapoteza mawazo yake ya zamani na huyo mpenzi wake. Hakikisha unamkaa mbali kabisa ama anaweza kukuona kama nuksi ama kikwazo katika maisha yake. #2 Kuwa rafiki yake na umpatie sapoti anayohitaji. Jambo la kwanza la kufanya ni kuwa rafiki mzuri kwake. Ni kawaida kuwa na hisia za chini na mpweke wakati umetoka katika mahusiano. So ukiwa na tamaa ya kumrukia uanze mahusiano na yeye basi inaweza kukujeukia kwa sababu ishu zake bado hazijatatulika.
Kwa sasa unachohitajika ni kumwonyesha kuwa wewe ni rafiki yake mkubwa, msikilize kwa kila kitu atakachokuambia na pia umpatie sapoti anayoihitaji. Kufanya hivi kutamfanya akuone kuwa unamthamini na kukuona kama mtu aliyekuwa karibu yake muda huu ambao umekuwa wa majonzi kwake. Hata kama mambo uliyotarajia yafanyike kama vile ulivyokuwa unataka hayakufanyika, haitakuwa ni tatizo kubwa coz tayari ushaweka msingi mzuri wa yeye na wewe katika maisha yenu. #3 Jiepushe asikuingize katika himaya ya urafiki. Hapa ndipo kunakuja tatizo. Pindi utakapokuwa unaspend muda mwingi na yeye kwa kuenda kuangalia mpira pamoja, kutembea, kufanya shopping nk, tayari utakuwa ushaiteka atenshen yake. Lakini je, hii ndio atenshen umekuwa ukiitafuta?
Tatizo linakuja hapa: kuwa makini sana usijeuke kuwa kama “mmoja wa wanaume” ama unaweza kuwa mmoja wa wale –marafiki zake. Hakikisha unamake effort ya kuonekana mrembo, kuvutia, kuwa na confidence, na kufanya wale wanaume wengine wakunotice. Mfanye akuone wewe kama mchumba ‘mtarajiwa’ kwa kutangamana kama marafiki na pia uwe unampa ishara fioa/fiche za kumvutia.
#4 Hakikisha mnajuana. Ijapokuwa hauwezi kumlazimisha aingie katika mahusiano na wewe, huu utakuwa wakati mzuri wa kujuana bila ya presha yeyote. Nendeni mkale bata pamoja kwa kufanya mambo ambayo nyote wawili mnapenda. Hakikisha unaifanya inakuwa ya furaha, ucheshi, na kumpa mazingara ambayo hayatukuwa na vituko wala drama zozote.
Kama tulivyotangulia kusema awali ni kuwa lazima uwe unatumia mbinu fioa kumwonyesha kuwa unapendezwa na yeye. Lakini usiwe na pupa la sivyo utamwogopesha.
#5 Kuwa makini na vichocheo. Vichocheo vinaweza kuja kwa njia tofauti tofauti. inaweza kuwa marashi, sinema, nguo, mkahawa. Hivi vichocheo vinamkumbusha mpenzi wake wa zamani na jinsi walivyokuwa wakiinjoy maisha yao, jambo ambalo linaweza kuchubua vidonda vya moyoni ambavyo tayari amekuwa akijaribu kuviponesha.
So kuhakikisha kuwa hautaamsha hisia za mpenzi wake wa zamani basi lazima uepukane na vichocheo hivi. Kwa mfano iwapo alikuwa akienda katika mkahawa flani na mpenzi wake, basi huo mkahawa usithubutu kujaribu kupitia na hapo. Mavazi, marashi, vipodozi ambavyo mpenzi wake alikuwa akivitumia hakikisha kuwa unaviepuka kabisa. Hakikisha anasahau kabisa kuhusiana na mambo kama haya. Ukifanikiwa kutimiza jambo hili basi utakuwa wakati mzuri wa kwako kuanza kuifuta akili yake pole pole.
#6 Mwache aexperience uhuru wake. Kuna mambo ambayo mwanaume huyu alikuwa akikosa wakati alipokuwa na mpenzi wake. So wewe haupaswi kabisa kuwa kizingiti kwake kujaribu mambo mapya. Hii inaweza kuwa kama vile kutembea na marafiki zake nyakati za usiku, kusafiri sehemu za mbali, ama kuspend wiki nzima nyumbani huku akicheza gemu zake. Mwache ajihisi huru. Mpe sapoti yote ambayo anahitaji. Pia umuelewe shida na matatizo yake. #7 Jihusishe na activity za kimwili pamoja. Aidha iwapo mnafanya mazoezi ama mapenzi, ni muhimu kuufanya mwili wake kuwa mchangamfu kila wakati ilimradi akili yake isijazwe na fikra za matukio ya awali. Kufanya mazoezi ya mwili kwa kawaida kunatoa misongo ya mawazo na kuleta hisia chanya kwa maisha.
Unaweza kumchangamsha kwa kufanya mapenzi ambayo hajawahi kuyapitia tangu kuzaliwa kwake ama unaweza tu kuamua kumshawishi aachane na tabia ya kufagia nyumba yake badala yake muende gym kufanya mazoezi pamoja. Na usisahau kumuonyesha maungo yake vile ambavyo inastahili.
#8 Ichangamshe confidence yake. Mahusiano yake ya awali yanaweza kushusha kujiamini kwake. Anaweza kujiona hafai, na anaweza kuona kuwa hawezi kupata mwanamke mwingine mzuri kama mpenzi wake wa awali. Mjenge kwa kumsifia.
Anza na mambo madogo madogo kama vile kuongea kuhusu hairstyle yake mpya, tai yake, halafu uanze kuongea zaidi kuhusu jinsi anaweza kumudu muda wake vizuri ama jinsi anavyokuwa na uhusiano mzuri na wenzake. Mfanye ajione kuwa yeye ni bora zaidi kwa kumpatia atenshen inayohitajika. Hakikisha unampa atenshen nzuri ili aweze kuwa na fikra chanya maishani mwake.
#9 Mpe nafasi ya kufunga ukurasa. Mara nyingi mtu anashindwa kuachana na mpenzi wake wa zamani kwa kuwa bado hajapata nafasi ya kufunga ukurasa. Kama hii ndio hali inayomkumba mwanaume ambaye unatoka naye, labda huu ndio utakuwa wakati mzuri wa kumpa nafasi afunge chapta kabisa na mpenzi wake wa zamani. Kama anahisi kuenda tu kuongea na yeye, mpatie uhuru. Inaweza kuwa tishio kwake na kwako, lakini labda hili ndilo jambo kuu ambalo anahitaji ili aweze kumuona mpenzi wake wa zamani kuwa mtu asiyekuwa na thamani yeyote maishani mwake.
Kumpa nafasi hii kunaweza kuwa mwisho wake wa kumfikiria mpenzi wake wa zamani kabisa.
#10 Kuwa wa thamani. Unaweza kuwa umemsaidia muda huu wote aweze kumsahau ex wake na sasa fikra zake zote zimekuja kwako – lakini wewe umekuwa hapo tu kuuchezea wakati wake muda huu wote. Kama fikra zako ni kumchezea mwanaume huyu, tafadhali mpe nafasi aishi kivyake, usimtatize! Kufanya bidii kumsahau mtu halafu tena upitie janga lilo hilo ni jinamizi kubwa sana. Risk anayoichukua mara ya pili huwa inahitaji ujasiri wa hali ya juu, so hakikisha kuwa unakuwa thamani kwake kwa kuwa amejitolea kubahatisha kwako.
Ukweli lazima nikwambiye kwa kuwa sina kimbilio nakupenda kijana mwenzio sijui kwanini hutaki kukisikia changu kilio, namwomba Mungu kila kukicha usikiye changu kilio, nakupenda na kama kukueleza hili nakukosea nisamehe kwani si langu kusudio,luv u mwaah.
SMS ya kimahaba ya upendo ya kumtumia mpenzi wako anapoenda kwa mwingine
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu. 🔥♥♥♥
SMS ya mshale wa mapenzi kwa umpendaye »–——»> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk maisha yangu na kama umekutana nao usiukwepe uache uchome Moyo wako gharama za matibabu juu yangu. 🔥♥♥♥
Meseji ya kumshauri mtu kuhusu kupenda Usimpende mtu tuu kwa sababu uko mpweke Au kwa sababu ana pesa, kwa sababu upendo Sio pesa wala siluhisho la matakwa yako. 🔥♥♥♥
SMS nzuri ya kumsihi mpenzi wako asikuchoke na asichoke kukupenda kwani unampenda sana Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifanani nachochote kwenye huu ulimwengu, sina budi kumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejali hisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI 🔥♥♥♥
Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa utampenda mpaka mwisho wa uhai wako Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi, ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupenda mpaka mwisho wa uhai wangu. 🔥♥♥♥
Ujumbe mzuri wa salamu kwa mpenzi wako Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu “UHALI GANI MPENZI?” 🔥♥♥♥
Ujumbe wa mapenzi wa kumpa umpendaye thamani kubwa Umbo lako kama sayari, lizungukapo umbile la jua ni kama upendo wa thamani usioweza kuuzika. 🔥♥♥♥
Ujumbe wa kimahaba kumuomba mpenzi wako asichoke kuwasiliana na wewe kwa kutumia simu Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane 🔥♥♥♥
Uwe na muonekano mzuri Wanawake wanapenda wanaume wasafi na watanashati kwa hiyo ukiwa msafi na mtanashati utakua na mvuto kwake. Hivyo utakapoamua kumshawishi kufanya mapenzi itakua rahisi yeye kuwa rahisi kukubali.
Mfanye ajisikie huru
Ni rahisi mwanamke kufanya mapenzi na mtu anayejisikia huru mbaele zake na ambaye yupo huru kuongea na kufanya nae mambo mengine ya kawaida katika maisha. Kwa hiyo ili uweze kumshawishi mwanamke kufanya mapenzi na wewe njia nzuri ni kumfanya ajisikie yupo huru mbele yako na kasha atakua huru kufanya mapenzi na wewe. Mfurahishe
Mfanye ajisikie mwenye furaha kila anapokuwa na wewe na atamani kuwa na wewe. Akishajiskia mwenye furaha kila anapokuwa na wewe ni rahisi kushawishika kuwa na wewe kimapenzi. Mfanye ajione kuwa yeye ni mzuri Mwanamke anapenda sana na anavutiwa na mwanamme anayeona ubora wake au anayemsifia kuwa ni mzuri. Mfanye akuamini Mfanye aamini kwamba hata baada ya kufanya mapenzi bado mtakua pamoja na sio mwisho wa mahusiano yenu au urafiki wenu. Usiwe na haraka, Mpe muda Usiwe na haraka ya kumwambia kuwa unataka kufanya mapenzi na yeye bali subiri mpaka utakapoona yupo tayari au anaelekea kukuhitaji. Mfanye akuone mwaminifu Mfanye akuone mwaminifu kwa kutomchanganya na wanawake wengine. Usimuonyeshe kuwa una mahusiano na wanawake wengine. Mfanye aamini kuwa unamuhitaji yeye tu. Mjali kama mwanamke Mfanye ajiskie kuwa mwanamke. Jaribu kuonyesha kuwa mwelewa, onyesha kuwa unajali, mkarimu na muonyeshe kuwa wewe ni msaada kwake. Mfungulie mlango, mbebee begi au pochi yake n.k. Onyesha kuwa unapenda kila kitu kutoka kwake Muonyeshe kuwa unampenda yeye na vyote vyake. Onyesha kuwa umevutiwa na yeye na mambo yake yote na sio mwili wake tuu.
Watu wengi siku hizi huwa wanaanza kuiwaza wikiendi pale tu jua la jumatano linapokuwa linaanza kuzama.
Usije kuwalaunu watu hawa maana huwa ni kawaida.
Ni kawaida maana wikiendi ni siku ambazo watu wengi huweza kukutana na wawapendao bila kuwa na mashaka au mawazo mengine ya kiofisi au shughuli yoyote nyingine.
Mihangaiko na jinsi mambo yanavyokuwa bize kipindi hiki cha kiutandawazi na maendeleo ni vigumu mtu kuwaza mapenzi hasa katikati ya wiki.
Na huwa inatokea na ni mara nyingi wikiendi inafika ila unajikuta haupati mapenzi ya kutosha kama vile moyo wako unavyokuwa unatamani itokee, kwa wale ambao wangependa mambo mazuri ya kubomoa chaga za vitanda yatokee wikiendi hi, hizi hapa ni njia za kufata ili ufanikishe unayoyawaza.
1. Mnunulie mpenzi wako zawadi. Zawadi ni njia moja nzuri na inayoweza kukufanikishia mambo yako yakaenda utakavyo na kuvunja buyu la asali, tafuta zawadi nzuri ambayo unajua atapendezwa nayo, iwe gauni zuri au mkoba mzuri na mapenzi yaliyozidi kipimo yatakuwa yako mwisho wa wiki hii.
2. Mtoe mtoko sehemu nzuri. Wikiendi hii inaweza kuwa wakati mzuri wa kumtoa kwenye mtoko msichana wako, jaribu kutafuta sehemu nyingine tofauti na chumbani kwako na utaona mafanikio ambayo yatajitokeza, mkitumia siku mbili kwenye hoteli flani, mapenzi yatakuwa mengi kama vile mpo kwenye hanimuni, maana itakuwa kula, kunywa na mambo yetu yakifuata katika kipimo ukipendacho wewe kwa wikiendi nzima.
3. Umtaarishavyo vizuri kimahaba ndivyo utakavyo pewa mapenzi mengi na mazito zaidi. Je wewe ni kati ya wale wanaohisi mapenzi ni kitendo cha uume kuingia sehemu ya kike tu? Hapana, kitu cha kwanza unatakiwa umtengenezee hakshi ya mahaba, mpeti peti umfanye apate hamu kwa kumtaarisha kwa hali nzuri na kwa mitekenyo inayohitajika, mtayarishe bila haraka, mbusu mabusu ya hisia, mashavuni, kwenye midomo yake telemka taratibu mpaka apate raha duniani na mpe maneno matamu ya kumchanganya zaidi.Mambo yote haya ukiyafanya vizuri na ukamfanya apagawe hakika lazima na yeye atataka zaidi na wewe utapata yakutosha pia.
4. Mwachie Aongoze Mambo. Ukweli ni kwamba wanaume wengi huwa hujiangalia wao tu, hawataki kusikiliza japo hata kumuuliza mwenza wao naye angependelea nini, wanawake wanapenda sana akipewa nafasi ya kuamua ni spidi gani itumike mkiwa kitandani, kwa hio badala ya wewe kufanya bila kumuuliza mwenzio anataka nini na mfanye mapenzi kwa staili gani, mwachie nae aamue, mwambie hii siku ni ya kwake yeye, wewe kwake ni mtumwa tu, atatakacho upo kwa ajili ya kumtimizi, muulize umshike wapi na umfanye nini maruhani yake yapande, muulize angependelea kasi gani ya ufanyaji wa mapenzi, mnongoneze maneno matamu ya kumpagawisha. Kama akitaka yeye ndo awe juu, na wewe uwe chini mwache dada wa watu afanye yake, ajifikishe mwenyewe apendako na kama ni kileleni, haya! jinsi atapokuwa anasikia raha na kufurahi ndipo atakapo hitaji zaidi na wewe mwisho wa siku kupewa zaidi.
Na hapo mpaka wikiendi iishe lazima uwe mwepesi kama bendera.