JITAHIDI UISHI KATIKA UHARISIA KATIKA MAHUSIANO

Najua kila mmoja ana malengo na mahusiano yake,,,ni vizuri lakini kuna jambo moja ambalo naomba Mungu akusaidie,,kuna watu wana maneno mengi sana,wanapenda kujionyesha kwa watu,kujitangaza na kujisifia lakini hawaishi sawa na wanavyoongea,,na ndo hapo dada usipokuwa makini unaingia kirahisi na ahadi kibao na sifa kibao,,kakusifia kumbe mtu huyo ni wa mdomoni na siyo vitendo,,jifunze na …

Hii Hapa Siri Kwa Wanawake Wasaka Ndoa..Chunga Sana la Sivyo Utaishia Kumegwa na Kuachwa

Hizi ndo marks (majibu) ya kupata ndoa mapema……….Hii inawahusu hadi wale walio kwenye uchumba chronic/sugu Hamna haja ya kunywa mchina uongeze makalio,wala kuenda kwa sangoma upate ndoa ndani ya siku 3 ,ukiona miaka mvua za masika zinakukatikia hujaitwa Mrs somebody habari Haya hapa  Mambo ambayo mwanaume anafanya kukutest kama wewe msichana unafaa kuwa mke wake: …

AINA YA WANAWAKE AMBAO WATAFANYA MAISHA YAKO KUWA MAGUMU

Kila mtu hapa ulimwenguni ameumbwa na sifa tofauti tofauti. Kuna wengine wameumbwa na tabia za kuridhisha na wengine wameumbwa na tabia ambazo hazifurahishi. Hii pia inajitokeza katika wanawake. Katika mahusiano, utapata kuwa wanawake wanakuwa na tabia ambazo aidha zinawapendeza wanaume wao ama zinawachukiza. Ok. Katika kuangalia tabia za wanawake, tumekuja na orodha ya wanawake ambao …

AINA YA WANAWAKE AMBAO WATAFANYA MAISHA YAKO KUWA MAGUMU

Kila mtu hapa ulimwenguni ameumbwa na sifa tofauti tofauti. Kuna wengine wameumbwa na tabia za kuridhisha na wengine wameumbwa na tabia ambazo hazifurahishi. Hii pia inajitokeza katika wanawake. Katika mahusiano, utapata kuwa wanawake wanakuwa na tabia ambazo aidha zinawapendeza wanaume wao ama zinawachukiza. Ok. Katika kuangalia tabia za wanawake, tumekuja na orodha ya wanawake ambao …

Mbinu za kumfanya mwanamke akukubali

Uwe na muonekano mzuriWanawake wanapenda wanaume wasafi na watanashati kwa hiyo ukiwa msafi na mtanashati utakua na mvuto kwake. Hivyo utakapoamua kumshawishi kufanya mapenzi itakua rahisi yeye kuwa rahisi kukubali. Mfanye ajisikie huru Ni rahisi mwanamke kufanya mapenzi na mtu anayejisikia huru mbaele zake na ambaye yupo huru kuongea na kufanya nae mambo mengine ya …

Mfanye Aliyekuacha Akutamani tena kwa njia hizi.

Kumfanya mpenzi wako wa zamani kurudiana na wewe si jambo la rahisi kutimiza, haswa kama iwapo ameshachukua hatua ya kusahau yaliyopita na kupata mchumba mpya ambaye wanadate. jinsi ya kumvutia mpenzi wako wa zamani arudiane naweWakati mwingine, inafaa ujipende wewe mwenyewe zaidi ili kufanya mtu mwingine naye akupende. Inafaa uwashe kitu fulani ndani yako; ili …

Upendo wa Mapenzi unahitaji vitu hivi

Asante sana kwa kuendelea kutembelea Muungwana blog siku ya  leo tunataka kuzungumza na wewe mambo muhimu yatakoyokufanya uweze kudumu katika mahusiano.,Ili uweze kudumu katika masuala ya mahusiano ya kimapenzi ni lazima ujue ya kwamba ipo haja ya kujua mambo haya yatakayokusaidia wewe kudumu katika mahusiao hayo. 1. ImaniUpendo unahitaji imani ni kuwa na uhakika wa …

Umuhimu wa kusema samahani katika mahusiano ya mapenzi

Wanapokuwa watu wawili kwenye mahusiano, lengo lao linakuwa ni moja ambalo ni kupendana. Lakini kuna misunderstanding ambayo huwa hahikosi kwa wawili hawa hata kama ni wakamilifu kiasi gani. Cause no one who is perfect always!! Ila kuna jambo ambalo huwa lipo katikati yao pia ambalo ni kuelewana, na safari inaendelea. Kwenye mapenzi kuna njia tofauti …

Njia nyepesi ya kukonga moyo wa mwanamke pasipo gharama

Mawasiliano mazuri kati ya mke na mme ni muhimu sana kwa ajili ya ustawi wa mahusiano ya wawili wapendanao. Inasemwa kuwa kuvunjika kwa mawasiliano pekee katika mahusiano kunasababisha mifarakano au kuvunjika kwa mahusaiano kati ya mke na mme kuliko sababu nyingine. Wataalamu wa mapenzi na hisia za binadamu wanaeleza kuwa wanawake wanaguswa sana kwa maneno …

Fahamu jinsi ya kupata mpenzi bora

Unapochagua mpenzi wa maisha unatakiwa kuhakikisha unachagua mpenzi ambaye mtaendana naye kitabia, wengi wa wanawake na wanaume wengi wao utawasikia wakisema mimi nataka mpenzi asiye mlevi wakati huo yeye mwenyewe ni mlevi, kwa kufanya hivi kama utapata mpenzi, ni lazima mapenzi hayo hayatadumu kwa sababu utakuwa umepata mtu ambaye hamuendani kitabia na kihisia pia. Hivyo …

Design a site like this with WordPress.com
Get started