Imezoeleka katika jamii kwamba wanaume hukimbiwa na wanawake kwa kukosa kipato au alichonacho ni kidogo, au muonekano na maumbile ya mwanaume bila kuzingatia kwamba wanawake huangalia vitu vingine zaidi ili kugundua kama wanaweza kuishi na aina hiyo ya mwanaume. Zifuatazo ni sababu zinazowafanya wanawake wakimbie mahusiano na wanaume wenye tabia hizi:- Kulazimishwa au kusukumwa kwenye …
Continue reading “Sababu za wanaume wengi kukimbiwa na wanawake”