SMS ZA MAHABA

Raha kwako naipata, hakika nimeridhika,Kwako hakuna matata, moyo wangu umefika,Usiku ninakuota, kwako naliwazika,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 🔥♥♥♥ Upendo uso kipimo, wewe nimekupatia,Moyo unalo tuwamo, raha naipata pia,Kwenye moyo wangu umo, raha yangu ya dunia,Siogopi kukupenda, hata watu wakisema. 🔥♥♥♥ Wenye kusema waseme, waseme hadi wachoke,Roho zao ziwaume, ziwaume wakereke,Mioyoni ziwachome, wachomeke wakauke,Siogopi kukupenda, hata …

Njia Rahisi Ya Kuchukua Namba Kutoka Kwa Mwanamke Unayemjua

Kuchukua namba kutoka kwa mwanamke ni rahisi zaidi kuliko hata kutamka jina lako. Unachohitajika ni kuenda moja kwa moja kwa mwanamke unayetaka kumuomba namba halafu unamwagiza akupatie. Mara nyingi mwanamke hawezi kukataa kukupatia namba yake unless uwe umemuapproach kwa njia isiyofaa ama hakujui. Mara ya mwisho mimi binafsi nilichukua namba kwa mwanamke chini ya dakika …

Mwanamke Zingatia Haya Wakati wa Kuomba Pesa Kwa Mwanaume Usije Kuonekana Kicheche.

Ukweli ni kwamba raha ya mapenzi ni pamoja na kupunguziana makali ya maisha. Na katika kupunguziana uko makali ya maisha ndio matumizi pesa yanapochomoza.Kusaidiana ni kwa pande zote iwe kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume au kinyume chake, Ingawa kwa kiasi kikubwa ni wanaume ndio wanawajibika zaidi kutunza wapenzi au wake zao. Nilichotaka kuwakumbusha wanawake zaidi …

Kama Unataka Kudumu Katika Mahusiano Epuka Kumwambia Maneno Haya Mpenzi Wako

Endapo umekwisha ingia katika mahusiano au unatarajia kuingia katika mahusiano ya kimapenzi, yapo mambo yanyofaa ambayo junaweza kumwambia mpenzi wako naye akafurahi, lakini yapo mambo ambayo kimsingi hupaswi kabisa kumwambia mpenzi wako. Kwani endapo utaamua kumwambia utatengeneza njia ambayo itawafanya mahusiono yenu yafe mara moja. Maneno yafuatayo ni hatari kwa kuwa yanaleta madhara makubwa moyoni …

JINSI YA KUMPAGAWISHA MPENZI WAKO

ili uweze kuwa na furaha maishani, lazima uwe katika uhusiano imara usiotetereka. Kama unaishi na mke au mume ambaye moyo wako umemchagua lazima furaha itatawala katika nyumba yenu. Lakini rafiki zangu, huwezi kuwa katika ndoa yenye furaha kama hukuwa na mchumba bora. Kwa maneno mengine, lazima uanze kuboresha uchumba wako kwanza, uwe na uhakika kwamba …

Huyu Mwanaume Anakupenda Kweli Mshikilie

Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni asilimia 30-50.  Hii ina maana kwamba mwanaume anapotumia muda wake mwingi kumtazama msichana na kugeuka taratibu kuangalia vitu vingine kama mtu asiyependa kuacha kumwangalia, ujue anampenda. MIPANGO Mwanaume anayekupenda atakushirikisha kwenye mipango …

KWANINI WANAUME WENGI WACHOVU KITANDANI?SOMA HAPA

Kuna kitu kinanishangaza sana, siku hizi wanaume wengi wamekuwa wakifurika kwa wataalam wa madawa ya asili kwa ajili ya kuweza kudumisha uwezo wao wa kitandani. Inadaiwa kuwa wanaume hao wakienda raundi moja hawawezi kurudia ile ya pili na hata wenye uwezo wa kurudia huwachukuwa muda mrefu sana, kama raundi ya kwanza iliisha saa tano usiku …

HAYA NDIYO MADHARA YA KUNYONYANA SEHEMU ZA SIRI KWA KUTUMIA MIDOMO

ZAIDI ya nusu ya vijana Duniani wanakumbwa na magonjwa mbalimbali yanayotokana na maambukizi ya virusi vinavyotokana na ngono zembe.Kwa muujibu wa utafii uliofanywa na jopo la Madaktari nchini Marekeni umebaini kwamba, vijana wengi hususan Barani Afrika wanakumbwa na magonjwa ya kuambukiza kutokana na tabia ya kufanya ngono zembe na kunyonyana sehemu mbalimbali za miili yao. …

VIGEZO VITAKAVYOMFANYA MWANAMKE AOLEWE MAPEMA

Wapo wanawake ambao wao wanajua kila siku ni Ijumaa, yaani hawatambui kwamba kuna Jumamosi na Jumapili pia. Watu hawa ni wale wanaodhani maisha ni raha tupu na kwamba wanaoishi kwenye shida ni wajinga. Ukweli hauko hivyo, maisha yana changamoto nyingi sana. Kuna siku mambo yanaweza kuwa si mazuri lakini siku nyingine mambo yakawa supa. Mwanamke …

MANENO AMBAYO HUMFURAHISHA MWANAMKE KATIKA MAHUSIANO YA MAPENZI

Wakati vijana wengine wanalalamika kuwa ni vigumu kuuteka moyo wa msichana, jibu ni rahisi kwa sababu hawatumii maneno sahihi. watu wengi pia huwa hawana maneno ya kusema na wengine hawajui kabisaaa hata jinsi ya kuanza. Sasa hebu tujifunze haya maneno ya kumwambia msichana unaempenda na unahitaji awe wako milele. 1. Macho yako ni mazuri , …

Design a site like this with WordPress.com
Get started