NJIA YA KUMTONGOZA MWANAMKE AWE MPENZI WAKO .

Kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaishi maisha ya bila kumvutia mwanamke yeyote. Hapa kuna njia 10 utakazozitumia wewe mwanaume ili kuhakikisha humkwazi mwanamke unayempenda mnapokuwa katika mazungumzo nae… 1. Wakati ukizungumza nae, jaribu kuzungumzia “hisia” kama vile kumbu kumbu yako ya utotoni, matarajio …

Siri ya kudumu katika Mahusiano ya Ndoa .

Sabrina Adriani ambaye ni mtafiti wa masuala ya mahusiano ni miongoni mwa wanawake ambao wamedumu miaka mingi katika ndoa. Na alipoulizwa ni kwanini ameweza kukaa kwa miaka mingi katika ndoa bila kufarakana na mumewe alisema “siri kubwa ambayo imenifanya nidumu katika ndoa ni kwamba niliweza kutumia muda mwingi zaidi ya miaka kumi kuweza kumfahamu mume …

Huyu Mwanamke Anapenda Mapenzi Kuliko Kawaida Mpaka Nakuwa Mtoro Kazini

Kuna jambo linanishinda hapa mwenzenu huyu mwanamke anapenda mapenzi sana mpaka nataka nihame nyumba. Kitu kinachonishinda nikiwa faragha na huyu mwandani wangu…. nikishamaliza huwa nakuwa nimechoka na kizunguzungu. sasa kama siku tatu zilizoissha niliitwa na bosi wangu kuhusu tabia nayoionyesha. nilijitetea sana. Nikaanzisha mtindo, namuomba work mate wangu anisainie kissha nakuja baadaye. kwa kweli hili …

Jinsi Ya Kus3xchat Na Mwanamke apandwe na hamu.

Kama mwanaume hajui kuanza kumsexchat mwanamke, kwa kawaida kuna mambo mawili ambayo huweza kutokea. Aidha hatowahi kujaribu, hivyo kukosa hatua muhimu ipasayo kutumika katika mchakato wa kutongoza mwanamke, ama atakuwa na wakati mgumu kujenga uhusiano kati yake na mwanamke wa maisha yake. Kama unataka kujua jinsi ya kujifunza kuanza kusexchat mwanamke kwa njia ambayo itamfanya …

Wanawake Mlioolewa Never Underestimate The Power Of Nyumba Ndogo

Seriously wanawake mlioolewa wengi Wenu mnaboa sana sana Aisee, Mnadharau sana Nguvu ya Nyumbandogo, Mnaviona Kama vimalayaflani visivyo Na Bahati. Na kurukia waume Za watu. Sure I am telling you stop this. Never underestimate the power of nyumbandogo. Umebweteka tu, ukirudi home umejitupia Kwa bed ukiguswa unamaka Eti umechoka, mumeo yuko bize Na simu down …

MAMBO YQ KUZINGATIA WAKATI WA KUCHAGUA MCHUMBA

Hamna raha ya pekee kama kuwa kwenye mahusiano ambayo mume na mke au ‘boyfriend’ na ‘girlfriend’ wanaelewana vizuri. Ni vigumu kupata mtu ambaye mnaelewana kila jambo.Sio lazima kama mwenzako anasapoti Arsenal na wewe usapoti Arsenal. Wataalamu wa masuala ya mahusiano wanashauri kuwa, ili uweze kuishi vizuri na mtu kama mume na mke ni vizuri kuwa …

Dalili zitakazowaonesha kuwa mnapendana na mnaendana katika mahusiano ya mapenzi

Wataalamu wa mahusiano wanasema kuwa kuna dalili nne ambazo ukiziona kwenye mahusiano yako basi amini kuwa ninyi mnaendana na pia mapenzi yenu yatadumu mpaka kifo kitakapowatenganisha. Zifuatazo ndizo dalili zitakazowaonesha wewe na mpenzi wako manendana; Uhusiano wenu uwe na uwiano. Mahusiano ambayo yamefanikiwa ni yale yenye uwiano sahihi. Katika mahusiano mtakuwa tofauti wakati mwingine, na utofauti …

Nogesha mahusiano yako ya kimapenzi kwa kufanya mambo haya .

Kutengeneza uhusiano wenye nguvu ni moja ya mambo yenye changamoto kubwa. Japo hakuna maelekezo maalum, kuna mambo machache na rahisi ambayo unaweza kumwambia mpenzi wako yakaujenga zaidi. Weka desturi ya kusema mambo haya kwa mpenzi wako na muda mfupi tu mtakuwa couple itakayowapa wivu marafiki zetu. NakupendaNakupenda ni kitu rahisi na cha wazi cha kumwambia …

Wanaume: Mnapokosea kudhani mnawaelewa wanawake..!

Tafiti nyingi zilizofanywa kwa muda mrefu zinaonyesha kwamba wanawake hutofautiana kabisa kimaumbile na wanaume kiasi kwamba inakuwa kama vile ni viumbe wawili tofauti. Mtaalamu mmoja wa mahusiano ya watu John Gray anamuelezea mwanaume kuwa anatoka sayari ya Mars na mwanamke anatoka kwenye sayari ya Venus, akiwa na maana kwamba hawa ni viumbe wawili tofauti kabisa kimaumbile.  Kimaumbile mwanamke …

SABABU KUU 3 KWANINI WANAWAKE WAMEAMUA KUKIMBILIA USAGAJI

Ni aibu sana kwake..Kwa familia…Kwa jamii,na ndio maana wanajificha…Haiko wazi coz its awkward…Wanawake ni viumbe so complicated…They need perfection…Sometimes wamejikuta wakichukua hatua ngumu sana kwa sababu tu hawapati Perfection wanayoitaka katika kitu fulani..Mathalani kwenye masuala ya mahusiano,Wanawake wamekuwa wakilalamika sana,sana sana especially siku hizi,na wameamua kutumia SHORTCUT…Wameamua kuwa Wasagaji iliwaweze kukabiliana na presha za vitu …

Design a site like this with WordPress.com
Get started