1.Takwimu za kidunia zinaonyesha kuna idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume ,wanawake wamewazidi wanaume kwa 20%.Tukichukua ratio kila mwanaume asimame na mwanamke basi 20% ya wanawake watabaki pekee yao,je kila mwanaume aoe mwanamke mmoja hawa 20% wataolewa na kusitiriwa na nani? unakuta mwanamke ana miaka 36 yupo single siyo kwamba kapenda ila Takwimu za kidunia …
Category Archives: mahusiano
NOGESHA MAHUSIANO YAKO YA KIMAPENZI KWA KUFANYA MAMBO HAYA
Kutengeneza uhusiano wenye nguvu ni moja ya mambo yenye changamoto kubwa. Japo hakuna maelekezo maalum, kuna mambo machache na rahisi ambayo unaweza kumwambia mpenzi wako yakaujenga zaidi. Weka desturi ya kusema mambo haya kwa mpenzi wako na muda mfupi tu mtakuwa couple itakayowapa wivu marafiki zetu. NakupendaNakupenda ni kitu rahisi na cha wazi cha kumwambia …
Continue reading “NOGESHA MAHUSIANO YAKO YA KIMAPENZI KWA KUFANYA MAMBO HAYA”
SENTENSI 14 ZA UWONGO WA WANAWAKE:
1. I love u baby2. nipo singo3. nipo serious kuhusuwewe4. sikuwa na credit5. nitafanya chochote kwa ajili yako6. nataka unioe,7. NIAMINI…8. sinto achana na ww9. naomba usinache10. Usipge, Ntakupigia baada ya mda kidooogo,11. subir npo na baba12. nyumbani kulikuwa na wageni nkashindwa kutoka13. NAAPA..! we ndo pekee … 14. nipo period bby nitakuambia nikimaliza.wizi mtupu>>>>nimezikuta …
MBINU 7 ZA KUWAVUTIA WANAUME BILA KUTAMKA NENO LOLOTE
Ushawahi kujikuta katika hali ambayo unashindwa kujua utaanza vipi kuongea na mwanamke? Ni mwanamke mzuri ambaye moyo wako unamtamani lakini akili yako inashindwa kutengeneza mawazo ya jinsi utakavyoanzisha stori na yeye. Unabakiwa ukimuangalia akikupita mbele yako, ama mbaya zaidi anakuja kuchukuliwa na wanaume wasiokuwa na thamani yeyote kwa maisha yake. Unabakia na majutio na mawazo …
Continue reading “MBINU 7 ZA KUWAVUTIA WANAUME BILA KUTAMKA NENO LOLOTE”
UKIONA HIZI DALILI SITA UJUE MIMBA YAKO IMEHARIBIKA…
kuna sababu nyingi sana zinazoweza kuharibu mimba ya mama ikiwemo ugonjwa wa malaria, kaswende, kazi nyingi, magonjwa ya zinaa, u.t.i dawa fulani fulani mfano albendazole, misoprostol, metronidazole na kadhalika. lkiujumla sababu nyingi ambazo zinasababisha mimba kutoka huweza kuzuilika kwa kwenda kliniki mapema yaani pale tu unapohisi una mimba hata kama ni wiki mbili na kufuata …
Continue reading “UKIONA HIZI DALILI SITA UJUE MIMBA YAKO IMEHARIBIKA…”
JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE APATWE NA HAMU KWA HARAK
Kabla kufanya lolote na mwanamke unayeazimia kumfanyia kitendo hiki lazima ulete kemia ya kimapenzi kati yenu. Njia nzuri ya kufanikisha hivi ni kutumia mbinu ya kumtext ama kutumia jumbe fupi za kimapenzi. Tumia mbinu hii tumsuka na kumrushia maneno ya kuvutia mpaka akuzoee. Ukiona ama ukigundua kuwa kuna kemia ya kimapenzi kati yenu, sasa unaweza …
Continue reading “JINSI YA KUMFANYA MWANAMKE APATWE NA HAMU KWA HARAK”
Fahamu Hizi Hapa ni Aina 7 Ya Vyakula Vinavyoongeza Nguvu za Kiume.
Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwemo ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini. Ni jambo linaloweza kupata ufumbuzi kwa urahisi kama utazingatia kula vizuri na kufanya mazoezi.Ili kuongeza stamina kwenye mapenzi si lazima kutumia madawa …
Continue reading “Fahamu Hizi Hapa ni Aina 7 Ya Vyakula Vinavyoongeza Nguvu za Kiume.”
ATHARI ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUFIKA KILELENI NA CHANZO CHAKE
TATIZO hili la mwanamke kutofikishwa kileleni wakati wa kujamiiana huitwa ‘Female Orgasmic Disorders’ kufika kileleni tunaita ‘orgasm’ au ‘climax’. Kila mwanamke ni lazima afike kileleni wakati wa tendo hili. Hii ni hali ya kimaumbile ambayo imeumbwa na Mungu.Mwanamke hufika kileleni pale anapokuwa amesisimka kwa kiwango cha hali ya juu. Hali ya msisimko kwa mwanamke tunaita …
Continue reading “ATHARI ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUFIKA KILELENI NA CHANZO CHAKE”
AMBINU ZA KUJIWEKA ILI MWANAUME AKUTONGOZE HARAKAuto Draft
Kando na itikadi ambazo umekuwa ukifikiria, kuapproachiwa ama kufukuziwa na mwanaume si gemu ya bahati nasimu ambayo mtu anaingojea ijitokezee. Na pia kando na itikadi nyingi za wanawake wanazozifikia, si lazima ufanye kitendo kikubwa ama cha inadi ili mwanaume aweze kukutongoza. Ukweli ni kuwa, kama unaielewa akili ya mwanaume na jinsi inavyofanya kazi kabla ya …
Continue reading “AMBINU ZA KUJIWEKA ILI MWANAUME AKUTONGOZE HARAKAuto Draft”
Mwanamke uangalia haya kabla yaaaaa????
Hebu tuseme ukweli, kuna wakati mwingine ambao wanaume wanashindwa kuwaelewa wanawake. Unaweza ukamwaproach mwanamke huku ukijua wazi hutatoboa lakini unashangazwa mwanamke kama huyo anakukubali fasta.Na wakati mwingine utaapproach mwanamke ambaye unaamini kuwa ni rahisi kabisa kumtongoza lakini ukirusha nyavu badala ya kushika samaki inanasa mawe (sitaki kusema kinachotokea wakati mwanamke anakuzima mbele ya hadhira) …halafu …