Faida zitokanazo na kufanya mapenzi pekee,

Kufanya mapenzi ni jambo muhimu sana katika mahusiano. Huwakutanisha na kuwaweka pamoja wewe na mpenzi wako. Mapenzi hulifanya penzi lenu kuwa hai. Kufanya mapenzi ni kichocheo muhimu cha kuamsha hisia zenu za kimahaba. Hii ni mada kuu inayopendwa na huongelewa sana na wanaume pamoja na wanawake. Ni kitu ambacho kila mtu hukifikiria hata kama hawako …

Auto DraftJUA MAMBO MUHIMU WAKTI WA KUFANYA TENDO LA NDOA (KWA WANENE TU)

Mmoja kati ya wanasayansi maarufu hapa duniani amegundua kuwa watu wanene wanapata raha zaidi katika tendo la ndoa ukilinganisha na watu wembamba.  Mwanasayansi huyo aitwaye Dr. James Watson ambaye amekwishawahi kushinda tuzo za NOBEL kwa ubingwa wake ulipelekea ugunduzi wa muundo wa DNA,anaamini kabisa kuwa watu wanene wana uwezo mkubwa wa kufurahia tendo la ndoa …

AINA 10 YA WANAWAKE WANAOPENDWA NA WANAUME

1. WENYE MSIMAMOWanawake daraja la kwanza wanaopendwa zaidi na wanaume ni wale wenye msimamo, uelewa mkubwa wa mambo na maamuzi sahihi, wako makini kwenye matendo yao na siku zote hufanya vitu kwa ajili ya kupata mafanikio. 2. WAPENDA USAWAAina ya pili inayohitajika katika katika ulimwengu wa kimapenzi ni wanawake wanaoheshimu usawa wa jinsia, walio tayari …

SABABU YA NDOA ZA SASA KUVUNJIKA MAPEMA

NAMSHUKURU Mungu kwa kunilinda, kuniongoza na kunijalia pumzi bure ili nizungumze nawe kupitia safu nzuri ya maisha na uhusiano ya XXLove. Mpenzi msomaji wimbi la kuvunjika kwa ndoa nyingi za zama hizi ni kubwa mno, tena wanandoa wenyewe wanaachana kwa kuvunjiana heshima, kukashifiana, kufikishana mahakamani na mambo mengine kadha wa kadha yanayoacha majeraha yasiyopona mioyoni …

KUNA HATUA KABLA YA KUZAMA PENZINI USIKOSEE!

 raha yake ni kupendana. Yananoga zaidi wapendanao wanapopendana kwa asilimia mia. Mwanaume ampende mwanamke kwa kiasi hicho, vivyo hivyo mwanamke ampende mwanaume.   Hapo ndipo utaiona tamu ya penzi. Wataalamu wa masuala ya uhusiano wanakuambia pendo la kweli halifi (true love never die). Halifi kwa sababu linatoka moyoni. Anampomweka mwenzake moyoni, hapo anakuwa tayari kwa lolote. …

SIRI ZA KUDUMU KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI

Watu wengi wanatamani kudumu kwenye uhusiano lakini bahati mbaya huwa inashindikana. Mtu ambaye hadumu kwenye uhusiano, si kwamba anakuwa hapendi bali inatokea tu kutokana na sababu mbalimbali. Inatokea kwa sababu, huenda pengine ni kutokana na tabia zake au za mwenzake. Mfano, yawezekana akawa na ‘mdomo’ sana, yawezekana akawa mbinafsi. Au ana hulka ya ugomvi lakini …

MAKOSA YANAYOFANYWA NA WANAWAKE WENGI KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI

Hakuna kitu kizuri kwenye uhusiano kama kuishi vizuri, uhusiano usiwe na ugomviugomvi wa kila mara. Kila mmoja aujue wajibu wake kwa mwenzake, amsome mwenzake ni mtu wa aina gani ili kuweza kujua namna ya kuishi naye. Mathalan ni vyema kumsoma mwenzi wako kama ni mtu wa hasira sana, ujue namna ya kuishi naye. Anapokuwa na …

MAMBO WANAYOPENDA KUFANYIWA WANAWAKE MUDA WOTE MKIWA PAMOJA.

Mapenzi yanataka elimu,lakini si wote wanaojielimisha namna ya kuwafanya wapenzi wao wajione kuwa ni salama na hivyo kuyafanya mapenzi yao kudumu kwa muda mrefu. Wanaume wa siku hizi wamekuwa hawafahamu ni vitu gani ambavyo wanawake wanapenda kuvipata kutoka kwao,,kushindwa kuwa na elimu hii,wanaume wengi wamejikuta wakitumia ukali kuwatawala wake zao,jambo ambalo limekuwa likizidisha migogoro ya …

SHORT LOVE MESSAGES GIRLS MOST LOVE

Sharing these charming and short love messages with your partner can fill their heart with joy.  Meeting you was fate, becoming your friend was a choice, but falling in love with you was beyond my control. You may not love me like I love you,You may not care for me like I care for you But …

MAMBO AMBAYO WANAUME HUKOSEA WAKATI WA KUTONGOZA

1.PAPARA wanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba hata akikupa ujue utasumbuka sana kumpata coz atakufikiria sana juu ya uharaka wako.  2.KUJIFAKE wanaume wengi tumekuwa tukijipandisha au kujionyesha tofauti na hali zetu.ukiwa unaaproach jaribu kuwa real.huwezi kumwambia mdada unafanya kazi …

Design a site like this with WordPress.com
Get started