Kuna ule utani wa mashemeji lakini utani wa shemeji yangu huyu umezidi ndugu zangu. Siku moja nilikuwa natoka zangu kwenye mizunguko yango ya kila siku mjini, nilipofika nyumbani nilimkuta shemeji yangu nyumbani, kaka alikuwa bado hajarudi. kama kawaida yake akaanza.“Haya mume wangu kipenzi leo umeniletea nini” Nikamwambia leo sina kitu wife kesho nitakuletea bonge la …
Continue reading “HUYU NI SHEMEJI YANGU KABISA, MKE WA KAKA YANGU LAKINI UTANI WAKE UMEPITILIZA”